DOKEZO Magari ya Maji taka yamwaga maji kwenye Makazi ya Polisi Oysterbay

DOKEZO Magari ya Maji taka yamwaga maji kwenye Makazi ya Polisi Oysterbay

Hili ni dokezo maalum toka kwa mwananchi mtumiaji wa JF mwenye nia ya kuusaidia umma kuwa na taarifa 'maalum'
View attachment 3091843
Hali ni mbaya sana kwetu Askari Polisi tunaokaa kwenye nyumba za kesho hapa maeneo ya kituoni. OCD karuhusu magari ya maji taka yamwage kinyesi kwenye makazi ya Askari.

Simu yangu ina tatizo la camera, lakini nathibitisha kesho nitapata picha nzuri zaidi.

Dereva wa Gari la majitaka anatamba Boss wako katuruhusu, jiulize inakuwaje raia nije kumwaga mavi kwenye makazi ya Polisi?
Huo ni ujumbe. Mnatakiwa kujitafakari wapi mnapokosea
 
View attachment 3091843
Hali ni mbaya sana kwetu Askari Polisi tunaokaa kwenye nyumba za kesho hapa maeneo ya kituoni. OCD karuhusu magari ya maji taka yamwage kinyesi kwenye makazi ya Askari.

Simu yangu ina tatizo la camera, lakini nathibitisha kesho nitapata picha nzuri zaidi.

Dereva wa Gari la majitaka anatamba Boss wako katuruhusu, jiulize inakuwaje raia nije kumwaga mavi kwenye makazi ya Polisi?
sijawahi kuona askari anaomba msaada wewe ni wa kwanza.
 
View attachment 3091843
Hali ni mbaya sana kwetu Askari Polisi tunaokaa kwenye nyumba za kesho hapa maeneo ya kituoni. OCD karuhusu magari ya maji taka yamwage kinyesi kwenye makazi ya Askari.

Simu yangu ina tatizo la camera, lakini nathibitisha kesho nitapata picha nzuri zaidi.

Dereva wa Gari la majitaka anatamba Boss wako katuruhusu, jiulize inakuwaje raia nije kumwaga mavi kwenye makazi ya Polisi?
Tatizo nini?
 
Back
Top Bottom