Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huo ni ujumbe. Mnatakiwa kujitafakari wapi mnapokoseaView attachment 3091843
Hali ni mbaya sana kwetu Askari Polisi tunaokaa kwenye nyumba za kesho hapa maeneo ya kituoni. OCD karuhusu magari ya maji taka yamwage kinyesi kwenye makazi ya Askari.
Simu yangu ina tatizo la camera, lakini nathibitisha kesho nitapata picha nzuri zaidi.
Dereva wa Gari la majitaka anatamba Boss wako katuruhusu, jiulize inakuwaje raia nije kumwaga mavi kwenye makazi ya Polisi?
Mchicha bwasiMchicha gani unaota kwenye dimbwi la nnya?
Kwenye makaro ya ChooniWame yatoa wapi hayo majitaka
Unataka tulawitiwe ndipo ufurahi?Polisi wakipata shida raia tunaona raha sana. Halafu hilo jambo dogo sana, nilitamani kusikia kubwa zaidi.
Kamanda kaona mna kounyer kounyer hovyo kaona mizigo yenu awa punguzie kidg kwa idadiKwenye makaro ya Chooni
Kamanda kaona mna kounyer kounyer hovyo kaona mizigo yenu awa punguzie kidg kwa idadi
Mimi ni raia wa kawaida tuuSawa afande
sijawahi kuona askari anaomba msaada wewe ni wa kwanza.View attachment 3091843
Hali ni mbaya sana kwetu Askari Polisi tunaokaa kwenye nyumba za kesho hapa maeneo ya kituoni. OCD karuhusu magari ya maji taka yamwage kinyesi kwenye makazi ya Askari.
Simu yangu ina tatizo la camera, lakini nathibitisha kesho nitapata picha nzuri zaidi.
Dereva wa Gari la majitaka anatamba Boss wako katuruhusu, jiulize inakuwaje raia nije kumwaga mavi kwenye makazi ya Polisi?
Dahh kama afande Rama 😹Unataka tulawitiwe ndipo ufurahi?
Alitaka ku 📉 au aliamuaDahh kama afande Rama 😹
Tatizo nini?View attachment 3091843
Hali ni mbaya sana kwetu Askari Polisi tunaokaa kwenye nyumba za kesho hapa maeneo ya kituoni. OCD karuhusu magari ya maji taka yamwage kinyesi kwenye makazi ya Askari.
Simu yangu ina tatizo la camera, lakini nathibitisha kesho nitapata picha nzuri zaidi.
Dereva wa Gari la majitaka anatamba Boss wako katuruhusu, jiulize inakuwaje raia nije kumwaga mavi kwenye makazi ya Polisi?
Haha haha hahaMlitakiwa mchapwe na viboko🐼
Usifanye mchezo na kumwagiwa kinyesi mlangonisijawahi kuona askari anaomba msaada wewe ni wa kwanza.