DOKEZO Magari ya Maji taka yamwaga maji kwenye Makazi ya Polisi Oysterbay

DOKEZO Magari ya Maji taka yamwaga maji kwenye Makazi ya Polisi Oysterbay

Hili ni dokezo maalum toka kwa mwananchi mtumiaji wa JF mwenye nia ya kuusaidia umma kuwa na taarifa 'maalum'
View attachment 3091843
Hali ni mbaya sana kwetu Askari Polisi tunaokaa kwenye nyumba za kesho hapa maeneo ya kituoni. OCD karuhusu magari ya maji taka yamwage kinyesi kwenye makazi ya Askari.

Simu yangu ina tatizo la camera, lakini nathibitisha kesho nitapata picha nzuri zaidi.

Dereva wa Gari la majitaka anatamba Boss wako katuruhusu, jiulize inakuwaje raia nije kumwaga mavi kwenye makazi ya Polisi?
kwa nyie mngemwagiwa hata kinyesi kabisa.
 
View attachment 3091843
Hali ni mbaya sana kwetu Askari Polisi tunaokaa kwenye nyumba za kesho hapa maeneo ya kituoni. OCD karuhusu magari ya maji taka yamwage kinyesi kwenye makazi ya Askari.

Simu yangu ina tatizo la camera, lakini nathibitisha kesho nitapata picha nzuri zaidi.

Dereva wa Gari la majitaka anatamba Boss wako katuruhusu, jiulize inakuwaje raia nije kumwaga mavi kwenye makazi ya Polisi?
Kwa iyo wewe ni pot mkuu
 
Mbona fresh tu nyie si mnaua watuna kuteka akina Sativa kuletu hiyo NYA
 
Boss wenu ni mmoja wa wasiopenda namna mambo yanavyoenda especially kwenye issue ya utekaji na mauaji police wakishirikishwa so ametumia lugha ya vitendo kuonyesha kwamba ninyi kukubali kutumika kwenye mipango mibaya akili zenu moja kwa moja zinafanana na hicho kilichomwagwa hapo
 
View attachment 3091843
Hali ni mbaya sana kwetu Askari Polisi tunaokaa kwenye nyumba za kesho hapa maeneo ya kituoni. OCD karuhusu magari ya maji taka yamwage kinyesi kwenye makazi ya Askari.

Simu yangu ina tatizo la camera, lakini nathibitisha kesho nitapata picha nzuri zaidi.

Dereva wa Gari la majitaka anatamba Boss wako katuruhusu, jiulize inakuwaje raia nije kumwaga mavi kwenye makazi ya Polisi?
Afande tuwe wakweli Nina uhakika huwez kupata simu yenye camera nzuri hiyo ndio inaendana na uwezo wako mnaishi maisha magumu sana lakini kutwa kutumika na CCM kama toilet paper mnasikitisha sana hao madereva wote peponi
 
Back
Top Bottom