Kiranja Mkuu
JF-Expert Member
- Feb 18, 2010
- 4,219
- 4,608
🤣🤣🤣🤣Chafu tatuView attachment 3091843
Hali ni mbaya sana kwetu Askari Polisi tunaokaa kwenye nyumba za kesho hapa maeneo ya kituoni. OCD karuhusu magari ya maji taka yamwage kinyesi kwenye makazi ya Askari.
Simu yangu ina tatizo la camera, lakini nathibitisha kesho nitapata picha nzuri zaidi.
Dereva wa Gari la majitaka anatamba Boss wako katuruhusu, jiulize inakuwaje raia nije kumwaga mavi kwenye makazi ya Polisi?
Wale jamaa kazi imekua dubwiiiiii🤣😂😂😂ngoja waje afande utaipenda!
OCD ameskia au alikua vyombo🤣Pole Kwa askari wetu
Naamini ujumbe umefika Kwa wakubwa watalifanyia kazi
Na askari wetu watakuwa salama
Wame yatoa wapi hayo majitakaView attachment 3091843
Hali ni mbaya sana kwetu Askari Polisi tunaokaa kwenye nyumba za kesho hapa maeneo ya kituoni. OCD karuhusu magari ya maji taka yamwage kinyesi kwenye makazi ya Askari.
Simu yangu ina tatizo la camera, lakini nathibitisha kesho nitapata picha nzuri zaidi.
Dereva wa Gari la majitaka anatamba Boss wako katuruhusu, jiulize inakuwaje raia nije kumwaga mavi kwenye makazi ya Polisi?
nyie mkome na nya😂😂😂🤣View attachment 3091843
Hali ni mbaya sana kwetu Askari Polisi tunaokaa kwenye nyumba za kesho hapa maeneo ya kituoni. OCD karuhusu magari ya maji taka yamwage kinyesi kwenye makazi ya Askari.
Simu yangu ina tatizo la camera, lakini nathibitisha kesho nitapata picha nzuri zaidi.
Dereva wa Gari la majitaka anatamba Boss wako katuruhusu, jiulize inakuwaje raia nije kumwaga mavi kwenye makazi ya Polisi?
Na nanj!?Wanatafuta kuonewa huruma?
RaiaNa nanj!?
Mchicha gani unaota kwenye dimbwi la nnya?Hapo walipomwaga lima mchicha bro.....siku tatu unauuza
Raia tunawalaanj polisi na CCM yenuRaia