Waterbender
JF-Expert Member
- Oct 2, 2018
- 7,573
- 10,063
kula chuma icho, Ndo uongozi wetu huo zimekupwa pesa kwajili ya miradi pesa zimeisha mradi bado kwahyo tunalipa madeni tuDuh 🙄
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
kula chuma icho, Ndo uongozi wetu huo zimekupwa pesa kwajili ya miradi pesa zimeisha mradi bado kwahyo tunalipa madeni tuDuh 🙄
Nchi imeoza haswaWanajipakulia minyama tu.
Mbunge wa jimbo lipi ? Ili nami nikamsaidie kwenye kampeni ? !!😅Tutapata akili tu maana Makonda ndiye mbunge wetu mpya.
Unakaribia mwezi mmoja sasa tangu msafara Ndugu Paul Makonda, Katibu wa Itikadi, Uenezi na Mafunzo wa CCM Taifa, upate ajali kule Sululu, Masasi mkoani Mtwara. Ajali hiyo iliyohusisha magari yapatayo 10, ilitokea tarehe 11 mwezi uliopita na kusababisha uharibifu wa magari kadhaa yakiwamo ya serikali.
Katika kile kinachosemwa kama kiburi na jeuri ya kimadaraka chamani, Makonda amegoma kutoa ushirikiano kufanikisha marekebisho ya magari hayo yaliyohifadhiwa Wakala wa Ufundi na Umeme (TEMESA). Ushikirikiano utakiwao ni ripoti ya mkuu wa msafara juu ya ajali hiyo ambayo hadi sasa haijatolewa.
Makonda amewaambia maafisa wa kichama na kiserikali kuwa wakitaka kujua lolote wakakiulize chama kwakuwa ndicho kilichoruhusu na kuwezesha ziara yake mikoani-ikiwemo hiyo ailiyokuwa akitokea mkoani Ruvuma. Mkwamo wa matengenezo hasa unazikumba gari za serikali ambazo huhitaji ripoti kamilifu ili ziweze kutengenezwa.
Idara ambazo zinamiliki magari hayo ya serikali zilizopata ajali hiyo zinawataka maafisa wake na madereva wao waseme kwanini walikuwepo kwenye msafara huo wa kichama; hoja ambayo inapaswa kujibiwa na Makonda aliyegoma kufanya hivyo. Ripoti haijatolewa na magari hayajashughulikiwa.
Makonda, chama ni nani ili akaulizwe hata ajali yako ya Masasi?
Mzee Tupatupa wa Lumumba (kwasasa Sombetini, Arusha)
Mbunge wa majimbo yote, ndiyo sababu tumeamua kumtumia yeye atatue kero zetu baada ya wabunge wa Magufuli hawaonekani.Mbunge wa jimbo lipi ? Ili nami nikamsaidie kwenye kampeni ? !!😅
Okay Ngoja tuone. !Mbunge wa majimbo yote, ndiyo sababu tumeamua kumtumia yeye atatue kero zetu baada ya wabunge wa Magufuli hawaonekani.
Ukikutana na Afisa tawala au utumishi mkorofi anammsimamisha afisa usafirishaji na drivers kwa sababu ni kweli lazima wajibu walikua pale kwa maagizo ya nani ??Unakaribia mwezi mmoja sasa tangu msafara Ndugu Paul Makonda, Katibu wa Itikadi, Uenezi na Mafunzo wa CCM Taifa, upate ajali kule Sululu, Masasi mkoani Mtwara. Ajali hiyo iliyohusisha magari yapatayo 10, ilitokea tarehe 11 mwezi uliopita na kusababisha uharibifu wa magari kadhaa yakiwamo ya serikali.
Katika kile kinachosemwa kama kiburi na jeuri ya kimadaraka chamani, Makonda amegoma kutoa ushirikiano kufanikisha marekebisho ya magari hayo yaliyohifadhiwa Wakala wa Ufundi na Umeme (TEMESA). Ushikirikiano utakiwao ni ripoti ya mkuu wa msafara juu ya ajali hiyo ambayo hadi sasa haijatolewa.
Makonda amewaambia maafisa wa kichama na kiserikali kuwa wakitaka kujua lolote wakakiulize chama kwakuwa ndicho kilichoruhusu na kuwezesha ziara yake mikoani-ikiwemo hiyo ailiyokuwa akitokea mkoani Ruvuma. Mkwamo wa matengenezo hasa unazikumba gari za serikali ambazo huhitaji ripoti kamilifu ili ziweze kutengenezwa.
Idara ambazo zinamiliki magari hayo ya serikali zilizopata ajali hiyo zinawataka maafisa wake na madereva wao waseme kwanini walikuwepo kwenye msafara huo wa kichama; hoja ambayo inapaswa kujibiwa na Makonda aliyegoma kufanya hivyo. Ripoti haijatolewa na magari hayajashughulikiwa.
Makonda, chama ni nani ili akaulizwe hata ajali yako ya Masasi?
Mzee Tupatupa wa Lumumba (kwasasa Sombetini, Arusha)