'Magari ya Makonda' yakwama kukarabatiwa, mwenyewe agoma kutoa ushirikiano


Yeye si ndiye msemaji wa Chama ...... Anaposema kiulizwe chama ana maana gani..!!? Au ni swala la Katibu kujibu.
 
Ukikutana na Afisa tawala au utumishi mkorofi anammsimamisha afisa usafirishaji na drivers kwa sababu ni kweli lazima wajibu walikua pale kwa maagizo ya nani ??
Naambiwq hata mqgizo ya makonda ya senema hayajatekelezwa hata moja …. kiutumishi hakuna na mamlaka ili mqagizo yatekelezwe ni lazima yatolewe upya na maofisa wakuu wwnye dhamana kwenye sekta
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…