Magari ya milioni Tano (5M) kushuka chini

Mnyenz

JF-Expert Member
Joined
Apr 5, 2014
Posts
2,933
Reaction score
8,112
Ndugu msomaji, namba yangu ni 0712 148001.

Magari nitakayopost kwenye uzi huu, bei yake ni milioni tano kushuka chini, usije kukubali kupigwa.

Nunua gari kuendana na uchumi wetu wa mitano tena.

WhatsApp 0712 148001.

IMG-20250306-WA0069.jpg
 
Ni kheri nizingatie kuongeza uzalishaji wa unga wa sembe ili kuongeza AJIRA kwa vijana.

au min -me nakosea?
Huo unga unazalisha wapi na viongozi wa CHAMA hatujui? Gari la million 5 ambalo tutabeba unga na kulifanyia biashara ya Uber na bolt ili kuongeza mapato ya chama pia hutaki?

Mh. Rais umebadilika sana, hakika madaraka yanalevya ... Nitaenda mahakamani

Nimelia sana
 
Back
Top Bottom