Magari ya milioni Tano (5M) kushuka chini
Harrier old.

Location : dar

price 5M.

Contact : 0712 148001
IMG-20250216-WA0009.jpg
 
Katiba ya Chama inasemaje? Na kwanini una mu address makamu min -me katika kila jambo? Au mnatuzunguka?

Mimi sijakataa kuendelea na Hilo swala la sembe na Dona. Nimetilia mkazo ukinunua gari la million 5 litasaidia kubeba hivyo viroba vya unga na kuzungusha kwenye maduka!

Hapo hapo tutapiga bolt.

Ibara ya 8 katika Katiba inasema;

Kiongozi yoyote wa CHAMA hiki, anapaswa kuweka wazi Mali na mapato yake ili kutoleta matafaruku baina yake na wanachama
😂😃😂😃😂😂😂😂😂
 
Back
Top Bottom