Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hadi ikae stable , inakost 5 M nyingine, jumla 10 M,
Huu msala ukitoa hata laki umepigwa.Carry bichwa kubwa/bichwa la ng'ombe
Ya kuwasha na kuondoka.
changamoto uje nazo wewe.
Bei yake ni 2.8 milioni
Location: kibaha
Contact ; WhatsApp 0712 148001. View attachment 3262021
Nilivoona 5ml , mwaka 2020 enzi za corona niliuza gari kama hii 14ml kwa jamaa wa geita. Tajiri nikmpa 7ml. Ilinadrisha sana maisha yangu
Wanachama naona wanarusha shutuma kali boss sijui tatizo ni nini makutuporaUna jua gunia la mahindi kg 108 ni bei gani?, Lina toa unga kg 25 mifuko mingapi!.
Kheri nikomae na unga wa sembe, kuliko bolt.
min -me kwani chama kime kataza kumiliki hata kijiko?
Wana taka tuweke mapato na mali zangu hadharani, eti ni mali ya chama😂🤣Wanachama naona wanarusha shutuma kali boss sijui tatizo ni nini makutupora
Hahaha tukiweka mali ambazo ni makorokoro tu si itakua shida mkuu?Wana taka tuweke mapato na mali zangu hadharani, eti ni mali ya chama😂🤣
😂😃😂😃😂😂😂😂😂Katiba ya Chama inasemaje? Na kwanini una mu address makamu min -me katika kila jambo? Au mnatuzunguka?
Mimi sijakataa kuendelea na Hilo swala la sembe na Dona. Nimetilia mkazo ukinunua gari la million 5 litasaidia kubeba hivyo viroba vya unga na kuzungusha kwenye maduka!
Hapo hapo tutapiga bolt.
Ibara ya 8 katika Katiba inasema;
Kiongozi yoyote wa CHAMA hiki, anapaswa kuweka wazi Mali na mapato yake ili kutoleta matafaruku baina yake na wanachama
na kwanini tuweke mali na mapato wazi?, hii ni kutafuta vurugu 🤣Hahaha tukiweka mali ambazo ni makorokoro tu si itakua shida mkuu?