Magari ya mzungu yametuacha mbali Sana Sisi akina Toyota

Magari ya mzungu yametuacha mbali Sana Sisi akina Toyota

PureView zeiss

JF-Expert Member
Joined
Sep 5, 2016
Posts
10,786
Reaction score
35,916
Nimeshangaa kuona jinsi Magari ya mzungu yakivyokuwa na utofauti na Magari yetu ya kijapan,Jana nilikuwa nasukuma ndinga BMW 320i kutoka banana Hadi Kariakoo hakika kuna utofauti Mkubwa Sana na rumion Yangu Hadi nilikuwa siamini jinsi hizi gari zilivyobarikiwa kuna nguvu, stability, comfortability na kuchanganya fasta.

aisee mnaomiliki hizi mashine mnaishi katika sayari yenu kabisa hapa TANZANIA,Magari ya kijapan nimeendesha mengi Tu Ila hizi ndinga za wazungu ziko level nyingine pia haziwezi kufanana na wajapan wetu hata nusu.

Nimejaribu kuweka picha ya BMW 320i ya 2006 na Toyota harrier ya 2006 hasa Kwenye eneo la Vyuma vinavyoshikilia tairi......

angalia picha hii ya mwisho ya Toyota harrier jinsi ilivyokuwa chini

FB_IMG_1626106600413.jpg

FB_IMG_1626106589749.jpg

FB_IMG_1626106580462.jpg
 
Kama huyu jamaa Yangu amenunua IST mwezi wa march mwaka huu akampa wife wake na mwezi huu Kavuta huyu mnyama Kwaajili yake mwenyewe lkn mara nyingi anatumia IST Kwaajili Mishe za mjini....Acha tuendelee kutumia Toyota maana huyu ni mkombozi wetu
Toyota tunatumia kwa sababu hatuna uwezo wa Kumiliki BWM X6 na mengine au Mjapani yupo poa kushinda Mzungu?
 
Toyota tunatumia kwa sababu hatuna uwezo wa Kumiliki BWM X6 na mengine au Mjapani yupo poa kushinda Mzungu?
Mzungu Yuko poa Sana kushinda mjapan Ila hapa Tanzania tumerithi Tu kutumia mjapan, angalia nchi kama Kenya wengi wao wanatumia Sana European cars pia hata Kwenye utumiaji wa Magari ya kijapan wao wanatumia Sana Subaru....
 
Mjapani ana tengeneza gari nzuri tu na bora kama wazungu ai hata kupita (baadhi ya matoleo yake).Tatizo inategemea na market,gari za kijapana zinazokuja Afrika si sawa na zile zinazolenga soko la ulaya na America.Wanazouza kwa mabeberu zina ubora sababu mabeberu wameweka viwanho vya ubora ambavuo inabidi vifikiwe kabla hawajakupa soko lao
Mfano mzuri uingereza, katika list ya magari ambayo ni.'most reliable' unakuta zipo,
Toyota prius
Mazda mx-5
Peuoget 3008
Mazda CX-5
Toyota verso
Skoda octavia
Lexus ct
Kia sorento.
Hamna Merc wala Bmw.ivo bongo mnaletewa makanjanja ya japan,gari bora anauza kwa mabeberu kwa ufupi 'money talks'.
 
Mjapani ana tengeneza gari nzuri tu na bora kama wazungu ai hata kupita (baadhi ya matoleo yake).Tatizo inategemea na market,gari za kijapana zinazokuja Afrika si sawa na zile zinazolenga soko la ulaya na America.Wanazouza kwa mabeberu zina ubora sababu mabeberu wameweka viwanho vya ubora ambavuo inabidi vifikiwe kabla hawajakupa soko lao
Mfano mzuri uingereza, katika list ya magari ambayo ni.'most reliable' unakuta zipo,
Toyota prius
Mazda mx-5
Peuoget 3008
Mazda CX-5
Toyota verso
Skoda octavia
Lexus ct
Kia sorento.
Hamna Merc wala Bmw.ivo bongo mnaletewa makanjanja ya japan,gari bora anauza kwa mabeberu kwa ufupi 'money talks'.
When it comes to RELIABILITY.....Japanese second to none!
 
Back
Top Bottom