Magari ya taka yavute vyoo usiku na sio mchana

Magari ya taka yavute vyoo usiku na sio mchana

Now mkuu tunaweza kujadili what's went wrong, mitaa ya kariakoo tuliirithi ikiwa na systems hii,imepangwa vyema na kila mkazi alikua anajua lini gari ya kuchukua uchafu itapita mtaa wake,now nini kimeisibu kariakoo hii ya sasa kuonekana kama squatter township fulani?,kabla ujenzi wa makazi haujaanza ni wajibu wa serikali kujiridhia kwanza na kupeleka huduma hizi za sanitation, barabara, shule, etcra ndio viwanja vipimwe, kwa sasa ni shida why miji yetu iwe na vyoo vya shimo?,unasafiri Dar to Songea, in the middle of nowhere driver anasimamisha bus na abiria wanaingia porini to do no 1&2 porini!why tusijenge vituo njiani venue flush toilets?
Una hoja za msingi sana, huenda waliona ni gharama wakaona bora kuwa na vyoo vya mashimo. Ama ni tenda za watu!
 
Una hoja za msingi sana, huenda waliona ni gharama wakaona bora kuwa na vyoo vya mashimo. Ama ni tenda za watu!
Hakuna cha gharama, sanitation services zinakwenda sambamba na upanukaji wa miji mkuu wangu, ninaangalia hapa commonwealth marathon, chasing group wapo 5 ,2kenyans, shout for our own Simbo,nini we went wrong mpaka wakenya wapo mbele yetu,our simbo he is doing very well
 
Hakuna cha gharama, sanitation services zinakwenda sambamba na upanukaji wa miji mkuu wangu, ninaangalia hapa commonwealth marathon, chasing group wapo 5 ,2kenyans, shout for our own Simbo,nini we went wrong mpaka wakenya wapo mbele yetu,our simbo he is doing very well
Umenikumbusha jambo, kama hadi leo tunahangaika na "kampeni ya nyumba ni choo" unafikiri hili la systems za kisasa tutaweza?
 
Umenikumbusha jambo, kama hadi leo tunahangaika na "kampeni ya nyumba ni choo" unafikiri hili la systems za kisasa tutaweza?
Ndio maana tuambiane ukweli, kama nchi kuna kipindi wa turn a wrong one,kuna kipindi athletics wetu hasa wa mbio ndefu tulikua tunakwenda sambamba na Kenya, sasa angalia walipo Kenya kwa sasa na sisi tulipo, it's craze mkuu wapi na wapi kuleta kampeni za nyumba moja na Choo moja huu ni upuuzi, ni wajibu wa serikali kujenga hizi systems, hope's leo tutapata kitu to cheer us kama taifa,our own Simbo to win this marathon, so far 2n place looks good, hii lazima tushinde
 
Wadau hii imekuwa kero, mtu umekaa mahali unapata chakula unasikia harufu mbaya na kuanza kuhisi kuna mtu amepumua. Baadaye unagundua ni gari linavuta choo kwa jirani.
Kwanini magari haya yasiwekewe utaratibu yawe yanavuta usiku, nasema usiku kwa sababu kunakuwa na idadi kubwa ya watu wamepumzika na kunakuwa na shughuli chache.
Nawasilisha
Kwa hiyo usiku ndo watu wasilale? Wavute hewa chafu?
 
Ndio maana tuambiane ukweli, kama nchi kuna kipindi wa turn a wrong one,kuna kipindi athletics wetu hasa wa mbio ndefu tulikua tunakwenda sambamba na Kenya, sasa angalia walipo Kenya kwa sasa na sisi tulipo, it's craze mkuu wapi na wapi kuleta kampeni za nyumba moja na Choo moja huu ni upuuzi, ni wajibu wa serikali kujenga hizi systems, hope's leo tutapata kitu to cheer us kama taifa,our own Simbo to win this marathon, so far 2n place looks good, hii lazima tushinde
Nani ametuloga?
 
Wadau hii imekuwa kero, mtu umekaa mahali unapata chakula unasikia harufu mbaya na kuanza kuhisi kuna mtu amepumua. Baadaye unagundua ni gari linavuta choo kwa jirani.

Kwanini magari haya yasiwekewe utaratibu yawe yanavuta usiku, nasema usiku kwa sababu kunakuwa na idadi kubwa ya watu wamepumzika na kunakuwa na shughuli chache.

Nawasilisha
Mbona mnajisaidia mchana?
 
Wapi huko mkuu unakoishi, kwani hiyo sehemu haina underground sewage systems?,Ile systems tulizorithi kwa wakoloni zimepata matatizo gani?au kama kawaida yetu tunakimbilia huku kupata majibu rahisi, sanitations service ni haki yetu kikatiba,tusikimbilie sheria rahisi wakati sheria zipo, huwezi jenga kama sehemu hiyo haina huduma hii,ni wajibu wa serikali kupeleka kwanza services hizi kabla haijapima viwanja vya ujenzi

Ipo ila inategemea anapoishi.
Hii systim iko chini ya dawasa hata ukitaka kuungajishiwa ni gharama sana na nasikia unalipia (kama tunavyolipia maji safi)
 
Now mkuu tunaweza kujadili what's went wrong, mitaa ya kariakoo tuliirithi ikiwa na systems hii,imepangwa vyema na kila mkazi alikua anajua lini gari ya kuchukua uchafu itapita mtaa wake,now nini kimeisibu kariakoo hii ya sasa kuonekana kama squatter township fulani?,kabla ujenzi wa makazi haujaanza ni wajibu wa serikali kujiridhia kwanza na kupeleka huduma hizi za sanitation, barabara, shule, etcra ndio viwanja vipimwe, kwa sasa ni shida why miji yetu iwe na vyoo vya shimo?,unasafiri Dar to Songea, in the middle of nowhere driver anasimamisha bus na abiria wanaingia porini to do no 1&2 porini!why tusijenge vituo njiani venue flush toilets?
Mkuu umeeleweka, kuna maeneo ya goba na kimara, kwa vile vilima na mabonde hiyo system ya mabomba changamoto yake ni kubwa sana,
Hata Dawasco kuna maeneo kufikisha maji ni mtihani mzito sana,
 
Back
Top Bottom