Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Majaliwa alipiga marufuku kwenye semina elekezi ya maadili ya viongozi wa umma!!!Hivi nikiwa mkuu wa mkoa, siwezi kuagiza gari yangu special kama ilivyokuwa kwa BASHITE?
Kwa hiyo huwa zinaenda wapi?Zile gari baad ya kutumika kwa miaka 5 tu, hufikia expiry date hivyo wakuu wa wilaya huzichukua moja kwa moja. Tatizo ni ngumu mkuu wa wilaya kudumu kwenye wilaya moja kwa miaka 5.
1, Je wana tii?. 2, nani anawafwatilia kufwata hayo maadili? sina uhakika na hii Afrika yetu.Majaliwa alipiga marufuku kwenye semina elekezi ya maadili ya viongozi wa umma!!!
Kauli ya Majaliwa ni sheria? Sheria inasemaje?Majaliwa alipiga marufuku kwenye semina elekezi ya maadili ya viongozi wa umma!!!
Zikishatumika na life span yake kuisha kihasibu inatakiwa zitolewe katika vitabu vya hesabu kwa mfumo wa kuzuiza kwa kutumia sheria ya ununuzi wa umma na kanuni zake - disposal of public assetsKwa hiyo huwa zinaenda wapi?
Hakuna sheria katika hili wanatumia itifaki ya cha serikali iachie serikali usichukue mpaka upewe!!🤣🤣🤣Kauli ya Majaliwa ni sheria? Sheria inasemaje?
Hilo sijui mkuu1, Je wana tii?. 2, nani anawafwatilia kufwata hayo maadili? sina uhakika na hii Afrika yetu.
Hapana, gari zile hazipo chini ya Mkurugenzi bali zipo chini ya RAS kama kiongozi mtendaji wa mkoa. Gari za Halmashauri (chini ya Mkurugenzi) usajili wake ni SM wakati za maDC na RC usajili wake unaanza na ST.. (kwa sasa ni STM).Zile gari zipo chini ya mkurugenzi wa halmashauri yeye ndo anampa mkuu wa wilaya na akiondoka anaiacha
No no no - Wakuu wa wilaya ni sehemu ya Sekretareti ya Mkoa. Huduma zao zote za mishahara, posho, mafuta ya gari na magari huhudumiwa na Katibu Tawala wa Mkoa si Mkurugenzi.Zile gari zipo chini ya mkurugenzi wa halmashauri yeye ndo anampa mkuu wa wilaya na akiondoka anaiacha