sajo
JF-Expert Member
- Nov 8, 2010
- 3,474
- 6,195
Magari ya Serikali kuu (ST) huwa yanahesabiwa thamani (value) kutoka yaliponunuliwa mpaka kufikisha miaka 5 au kufikisha kilometa laki 2, chochote kitakachowahi kufika (miaka 5 au km 200,000), hapo thamani yake inakuwa ni 0 (depreciation value).Zile gari baad ya kutumika kwa miaka 5 tu, hufikia expiry date hivyo wakuu wa wilaya huzichukua moja kwa moja. Tatizo ni ngumu mkuu wa wilaya kudumu kwenye wilaya moja kwa miaka 5.
Kwa hiyo huwa yanaondolewa kwenye daftari la mali za umma kwa njia ya mnada wa hadhara, ndio unakuta VX V8 ya mwaka 2015 inapigwa mnada leo na kuuzwa milioni 2.
Viongozi wanayoyatumia yakiwa mapya, huwa wanazingatia km, ili ikifika muda yamefika thamani 0 basi wanaomba wizarani na wanajiuzia wenyewe bila kufanya mnada.