Benjamini Netanyahu
JF-Expert Member
- Aug 7, 2014
- 95,871
- 116,627
Atasifiwa Samia badala ya Serikali na wakati daraja limeanza kujengwa 2017
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ungeweka hata picha ya bibi ako mizimu ingekubarikiCCM inazidi kutimiza ahadi zake.
Siasa siasa.Kwanini wasisubiriee wamalize kwa 100% ndiyo lianze kutumika
Ova
R.I.P CHUMA JPM
Nimefurahi tu kuona daraja limeandikwa Wami.
Mkuu Kilimanjaro hata kenye top 5 wanaochangia pato la Taifa haimo.Safi sana, kodi za wachaga hizo.
| Number | Region | Tanzanian shilling | U.S. dollar | Nations with similar status |
|---|---|---|---|---|
| Tanzania | Tsh 129,364,353/- | $169,516/- | Slovakia | |
| 1 | Dar es Salaam Region | 22,577,225 | 29,585 | Jamaica |
| 2 | Mwanza | 12,731,454 | 16,683 | Mauritania |
| 3 | Shinyanga | 7,540,589 | 9,881 | Maldivi |
| 4 | Mbeya | 7,314,302 | 9,584 | Suriname |
| 5 | Morogoro | 6,191,343 | 8,113 | Burundi |
| 6 | Tanga | 6,016,873 | 7,884 | Guyana |
| 7 | Arusha | 5,999,901 | 7,862 | Guyana |
| 8 | Kilimanjaro | 5,754,677 | 7,541 | Guyana |
| 9 | Kagera Region | 4,928,135 | 6,458 | Lesotho |
| 10 | Ruvuma | 4,903,559 | 6,426 | Lesotho |
| 11 | Tabora | 4,715,065 | 6,179 | Lesotho |
| 12 | Mara Region | 4,620,797 | 6,055 | Lesotho |
| 13 | Rukwa | 4,497,293 | 5,893 | Lesotho |
| 14 | Manyara Province | 4,377,706 | 5,736 | Lesotho |
| 15 | Dodoma | 3,872,727 | 5,075 | Djibouti |
| 16 | Iringa | 3,643,062 | 4,774 | Barbados |
| 17 | Kigoma | 3,625,727 | 4,751 | Barbados |
| 18 | Mtwara | 3,552,506 | 4,655 | Barbados |
| 19 | Njombe | 2,685,337 | 3,519 | Aruba |
| 20 | Lindi | 2,529,877 | 3,315 | Aruba |
| 21 | Coast Province | 2,510,724 | 3,290 | Aruba |
| 22 | Singida | 2,418,091 | 3,169 | Aruba |
| 23 | Songwe | 2,357,383 | 3,089 | Belize |
Wewe uvccm ukaogopa kusema top ten kwa makusudi.Mkuu Kilimanjaro hata kenye top 5 wanaochangia pato la Taifa haimo.
Tanzania Tsh 129,364,353/- $169,516/- Slovakia Number Region Tanzanian shilling U.S. dollar Nations with similar status 1 Dar es Salaam Region 22,577,225 29,585 Jamaica 2 Mwanza 12,731,454 16,683 Mauritania 3 Shinyanga 7,540,589 9,881 Maldivi 4 Mbeya 7,314,302 9,584 Suriname 5 Morogoro 6,191,343 8,113 Burundi 6 Tanga 6,016,873 7,884 Guyana 7 Arusha 5,999,901 7,862 Guyana 8 Kilimanjaro 5,754,677 7,541 Guyana 9 Kagera Region 4,928,135 6,458 Lesotho 10 Ruvuma 4,903,559 6,426 Lesotho 11 Tabora 4,715,065 6,179 Lesotho 12 Mara Region 4,620,797 6,055 Lesotho 13 Rukwa 4,497,293 5,893 Lesotho 14 Manyara Province 4,377,706 5,736 Lesotho 15 Dodoma 3,872,727 5,075 Djibouti 16 Iringa 3,643,062 4,774 Barbados 17 Kigoma 3,625,727 4,751 Barbados 18 Mtwara 3,552,506 4,655 Barbados 19 Njombe 2,685,337 3,519 Aruba 20 Lindi 2,529,877 3,315 Aruba 21 Coast Province 2,510,724 3,290 Aruba 22 Singida 2,418,091 3,169 Aruba 23 Songwe 2,357,383 3,089 Belize
AchaWewe uvccm ukaogopa kusema top ten kwa makusudi.
Kwa taarifa yako wachaga ndio wanaendesha uchumi kwenye hiyo mikoa ya top ten yote.
Wanalima maparachichi na ndizi Mbeya na kuvua sangara Mwanza au siyo?Wewe uvccm ukaogopa kusema top ten kwa makusudi.
Kwa taarifa yako wachaga ndio wanaendesha uchumi kwenye hiyo mikoa ya top ten yote.
Hivyo tusishtuke yakijiri tufanye kama tulijua[emoji850][emoji2958]Ni muhimu kufanya tambiko kabla ya uzinduzi
Acha kua na mawazo ya kijima wewe,huu ujinga utawaisha lini?Ni muhimu kufanya tambiko kabla ya uzinduzi
Mkuu Kwanini tambiko ?Ni muhimu kufanya tambiko kabla ya uzinduzi
Nami nataka kujuzwa mkuu na hili watapinga au?team ya Pingapinga FC wao wanasemaje
Bado haujajibu swali la jamaa, kwanini wasisubiri hadi likamilike 100% ndipo waanze kulitumia ?Hizo asilimia zingine huwa za Taa, rangi za lane
Wanasema Ukraine anawapelekea moto ndugu zenu wavamizi.Kwani ile team ya Pingapinga FC wao wanasemaje kuhusu hii issue?
[emoji122][emoji122]... angalau hili wamekumbuka kuweka climbing lane at least inaonekana direction ya Tanga; ujinga wa matrafiki kwenda kutega kwa mbele ili kupiga hela overtakings umekufa kifo cha kawaida.
Walikuwa wanakera sana; mbele kuna lori lina mzigo mzito sana haliendi kwao ni faida! Hope na direction ya Chalinze, climbing lane itakuwepo kupunguza foleni na dhuluma za trafiki.