Safi sana mama kweli anaupiga mwngi miradi inakamilika kwa wakati
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Safi sana mama kweli anaupiga mwngi miradi inakamilika kwa wakati
Serikali ndio samia Suluhu mzee na yeye ndio amefanikishaAtasifiwa Samia badala ya Serikali na wakati daraja limeanza kujengwa 2017
[emoji122][emoji122]Wanasema Ukraine anawapelekea moto ndugu zenu wavamizi.
Ilishaanza kujengwa kabla yake kwahiyo aliyefanikisha ni MagufuliSerikali ndio samia Suluhu mzee na yeye ndio amefanikisha
Angalia hizo bendera nyingine hapo...Naona Bendera za Mchina ndani ya Ardhi ya Tanzania.
mrangi. Lilikua lifunguliwe mwezi mei mwaka huu, ikashindikana. Kama kawaida Yao wakasema September 30. Ikashindikana, Sasa wameona isije ikawa Kama SGR.Kwanini wasisubiriee wamalize kwa 100% ndiyo lianze kutumika
Ova
Mnajitekenya na kucheka wenyewe kama mazuzuNami nataka kujuzwa mkuu na hili watapinga au?
bei gani kulipia ? au ni mbwerere kama Tanzanite? wa kigamboni mpo?
Kwa kutumia kodi za???????CCM inazidi kutimiza ahadi zake.
Fafanua, daraja la kisasa then ukijichanganya ndiyo basi tena? una maana ipi ? limekosewa design amaNilipita hapo daraja lipo juu sana tofauti na lile la mkoloni yani ukijichanganya ukatumbukiza gari hapo ndio basi tena
Umeumia wapi kwani?Oooh! ..kumbe kodi zinakusanywa kwa makabila ?! Kabisaa yaani katika vitu vyooote ulivyowaza ukaona Kodi zilizotokana na kabila fulani ndio zimetumika ..heheee [emoji1][emoji1] kweli bado tuna safari ndefu ya uhuru wa fikra na mawazo.
Utajichanganya vipi Apo,ata Kama umelewa hauwezi jichanganya ,Kuna vizuizi utavamiaNilipita hapo daraja lipo juu sana tofauti na lile la mkoloni yani ukijichanganya ukatumbukiza gari hapo ndio basi tena
Mambo ya kiroho tulizindua mradi kwa tambiko lazima tufunge kwa tambiko...Mkuu Kwanini tambiko ?
Yaonekana bado hujui kama kuna makabila mengine Kaskazini. Ubaya wa Wachaga ni ubinafsi. Walipiga kelele sana daraja la Busisi, lakini hili wanaliona ni sawa tu!Safi sana, kodi za wachaga hizo.
Hizo taaa hapo ni mapambo?Hizo asilimia zingine huwa za Taa, rangi za lane