Magazeti RFA: Makamu yupo ziarani nje ya nchi

Magazeti RFA: Makamu yupo ziarani nje ya nchi

Kindeena

JF-Expert Member
Joined
Sep 27, 2017
Posts
11,462
Reaction score
21,124
Kipindi cha RFA Magazeti asubuhi kimemnukuu Waziri Mkuu akisema ya kwamba Makamu wa Rais yupo ziarani nje ya nchi.
1701597381993.jpg
 
Kuna mtu alionya huyu jamaa kuachiwa nchi. Haya karudia yale yaleee ya march 11 2021. Makamu anaenda nje ya nchi kwenye ziara ya kiserikali kimya kimya bila hata ofisi yake kutoa taarifa?
 
Back
Top Bottom