Ekuweme
JF-Expert Member
- May 28, 2018
- 3,520
- 3,962
[emoji3]Arudishwe apelekwe mzena safari ikamalizwe pale
Sent from my SM-A042F using JamiiForums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji3]Arudishwe apelekwe mzena safari ikamalizwe pale
Mama kijacho tulizana basiKwani Msikitini imekatazwa kudanganya?
Kipindi cha RFA Magazeti asubuhi kimemnukuu Waziri Mkuu akisema ya kwamba Makamu wa Rais yupo ziarani nje ya nchi.
Tukuulize wewe Mzee! Kaka Yako Yuko wapi! ?Sikukuu, zipite kwanza. Kwani Kigogo kasemaje?
Kiswaswadu analeta uchuroHuyo PM aache kuongelea mambo ya watu, maana mwisho wa siku wanakufa. Ajifunze kunyamaza.
Ameamua adanganye tena kama alivyo danganya tarehe 17 jioni yenye utata ikamuumbuaKipindi cha RFA Magazeti asubuhi kimemnukuu Waziri Mkuu akisema ya kwamba Makamu wa Rais yupo ziarani nje ya nchi.View attachment 2832064View attachment 2832065
Sema hakui?Mzee Majaliwa hajifunzi tu?
Huyu mzee anachoweza kusema ukweli ni salamu pekee inawezakeana hata jina siyo la kwake.Kipindi cha RFA Magazeti asubuhi kimemnukuu Waziri Mkuu akisema ya kwamba Makamu wa Rais yupo ziarani nje ya nchi.
Kwa jizi lolote la kura yakitokea hakuna anayejali sana, labda nyie chawa wake.Unafurahishwa na lipi hapo?! Au ni kile kibuli cha uzima!?,kwa upumbavu wako wewe ulionao kichwani mwako,hata siku mama yako ana kufa utashangilia.
punguza mihemukoMkuu!!! waziri mkuu hawezi achiwa nchi,wanaopaswa kuachiwa nchi ni makamu wa rais,spika wa bunge na jaji mkuu,yaani the three top leaders of the arms of state
HahahaTeh!teh! Mnataka aende Kkoo kununua Nazi? PM Allah anakuona
HahahaTeh!teh! Mnataka aende Kkoo kununua Nazi? PM Allah anakuona
Kwa mfumo was katiba ulivyo hivyo,Bas itabidi nyundo igonge namba mbili,halafu ateuliwe namba mbili mpya!ambaye huyo namba mbili akae,halafu nyundo igonge namba Moja baada ya hapo Rasmi namba mbili anakua moja!!!
Atajuaje kama nywele tu anapaka kiwi!?Sema hakui?
Hakuna shida, serikali iko salama na viongozi wake woteTukuulize wewe Mzee! Kaka Yako Yuko wapi! ?