Magazeti ya HabariLeo na UHURU mna uhakika kuwa Jana Rais Samia amepandisha Mishahara kama mlivyoandika leo katika Vichwa vyenu vya Habari?

Magazeti ya HabariLeo na UHURU mna uhakika kuwa Jana Rais Samia amepandisha Mishahara kama mlivyoandika leo katika Vichwa vyenu vya Habari?

MINOCYCLINE

JF-Expert Member
Joined
Apr 2, 2015
Posts
8,018
Reaction score
16,802
Tafadhali Wahariri wa Magazeti ya HabariLeo na UHURU ( ambao najua mpo hapa JamiiForums ) hebu tuwekeeni hapa Sauti ya Rais Samia ya jana ( Mei Mosi ) akisema kuwa amepandisha rasmi Mishahara kama ambavyo mmeripoti ( mmeandika ) leo katika Vichwa vyenu vya Habari.

Kwa Upuuzi na Ujuha ( Uzuzu ) wenu huu wa kuwa Waongo na Watu wa Kujipendekeza pasipokutumia Akili sishangai ndiyo maana 98% ya Waandishi wa Habari wa Tanzania Wanadharaulika sana na mno si tu nchi jirani na Afrika bali hata duniani kote na mtaendelea n mnastahili Kudharaulika.
 
mama kapandisha bana acheni ujinga! kasema anakokotoa tu viwango ila nyongeza ipo
 
Nawakumbusha kenya wameongeza asilimia 12, Nigeria asilimia 17, Morocco asilimia 10 hadi somalia wameongeza, Ukrain nao wameongeza mishahara lakini Tanzania wameambiwa wana jambo lao na kwenye uchaguzi watashiriki kuiba kura
 
Ila habari Leo kidogo wamezidisha chumvi...c Dhani kama wafanyakazi watapendezwa na hili
Screenshot_20220502-080624_Instagram.jpg
Screenshot_20220502-080557_Instagram.jpg
 
Labda wanamshawishi,Salary slip ya Miezi hii 2 itamulikwa kwa tochi.
 
Kwaiyo mama alivyowambia Jambo lao lipo alikuwa anaimanisha jambo gani ebu acheni mnanga mama

Watalaamu wa lugha ya kiswahili Kuna kitu wanaita rejesta hiyo ndio mama kautumia Jana kusema kapandisha mshahara na watumishi wamemuelewa
 
Tafadhali Wahariri wa Magazeti ya HabariLeo na UHURU ( ambao najua mpo hapa JamiiForums ) hebu tuwekeeni hapa Sauti ya Rais Samia ya jana ( Mei Mosi ) akisema kuwa amepandisha rasmi Mishahara kama ambavyo mmeripoti ( mmeandika ) leo katika Vichwa vyenu vya Habari.

Kwa Upuuzi na Ujuha ( Uzuzu ) wenu huu wa kuwa Waongo na Watu wa Kujipendekeza pasipokutumia Akili sishangai ndiyo maana 98% ya Waandishi wa Habari wa Tanzania Wanadharaulika sana na mno si tu nchi jirani na Afrika bali hata duniani kote na mtaendelea n mnastahili Kudharaulika.
Wamezoea kusifu hivyo lazima watengeneze habari za kusifu.
 
Back
Top Bottom