MINOCYCLINE
JF-Expert Member
- Apr 2, 2015
- 8,018
- 16,802
Tusubiri Mwakani.mama kapandisha bana acheni ujinga! kasema anakokotoa tu viwango ila nyongeza ipo
Mama tubeti!!Huo mshahara ukipanda .... ngoja ... nani tubeti
mwakani ni july 2022 kwa hiyo ni sawa tu
Asilimia ngap? Umeona Kenya lkn?mama kapandisha bana acheni ujinga! kasema anakokotoa tu viwango ila nyongeza ipo
Wamezoea kusifu hivyo lazima watengeneze habari za kusifu.Tafadhali Wahariri wa Magazeti ya HabariLeo na UHURU ( ambao najua mpo hapa JamiiForums ) hebu tuwekeeni hapa Sauti ya Rais Samia ya jana ( Mei Mosi ) akisema kuwa amepandisha rasmi Mishahara kama ambavyo mmeripoti ( mmeandika ) leo katika Vichwa vyenu vya Habari.
Kwa Upuuzi na Ujuha ( Uzuzu ) wenu huu wa kuwa Waongo na Watu wa Kujipendekeza pasipokutumia Akili sishangai ndiyo maana 98% ya Waandishi wa Habari wa Tanzania Wanadharaulika sana na mno si tu nchi jirani na Afrika bali hata duniani kote na mtaendelea n mnastahili Kudharaulika.
mama kapandisha bana acheni ujinga! kasema anakokotoa tu viwango ila nyongeza ipo
JF raha sana mnaandika chochote tu! haya siku lisanuke utakimbilia malawiLabda kapandisha sketi.!