Magazeti ya leo Februari 15, 2022 yanatia kichefuchefu kuhusu Mbowe

Magazeti ya leo Februari 15, 2022 yanatia kichefuchefu kuhusu Mbowe

BOB LUSE

JF-Expert Member
Joined
Jan 25, 2014
Posts
3,738
Reaction score
3,199
Nimeona Magazeti Makubwa kama Mwananchi, Nipashe yamebeba kichwa Cha habari eti "MBOWE ALIA NJAA"

Alichokizungumza MBOWE ni Haki ya mtu kuvunjwa! Inakuweje iitwe kulia njaa? Pia issue hiyo sio ya kwake peke yake inaonyesha wafungwa wengi ni wahanga.

Kwanini hivi vipeperushi vimejaa njaa kichwani mpaka vinakosa angle ya habari?

Waandishi mtategemea ruzuku na bahasha za Serikali mpaka lini?!

Ishu za Haki za Mtu ziheshimiwe,ndio maana hata Mwandishi wenu Azory alivyo potezwa bado mkawa mnaleta mizaha.ni wakati wa kutoka kwenye boksi, hamjachelewa.

1644908370428.png
 
Waandishi wa nchi hii nimewadharau sana. Uzuri kuna mitandao siku hizi hivyo watu hawategemei sana habari zao kama zamani.

Wahariri wanawaza uteuzi tu.

Siku hizi nikisikia kuna gazeti sijui limefungiwa, wala siumizi kichwa na ninaona sawa tu.

Why should I sympathize with traitors?
 
Mkuu wangeandikaje labda ?
Ipo kwenye HAKI za Binadamu za kuishi.walipaswa walipe uzito kama haki ya mtu ya Msingi,kulia njaa hata mtaani tunalia njaa katika Mazingira mbalimbali,hata ukipata hela kidogo,ulitegemea zaidi,utasema unalia njaa.lakini ishu ya mtu kunyimwa chakula,maji sio kulia njaa.
 
Umeitafsiri hivyo kwa sababu umependa iwe hivyo. Kwangu mie ninaona ina positive impact kuwa wanaonewa hadi wananyimwa chakula! So Mwananchi title yake ipo poa sana kwa kilichojiri jana Mahakamani
Hatujasoma shule moja,sishangai lakini swala la mtu kunyimwa Kula na kunywa sio kulia njaa.ni serious issue especially linapofanywa kwa miezi mitano!
 
Hata sisi mtaani tunalia jaa hivyo pope kwa mbowe kwa kuishi maisha yetu mahabusu. Hakika atasaidiwa
 
Nimeona Magazeti Makubwa kama Mwananchi,Nipashe yamebeba kichwa Cha habari eti "MBOWE ALIA NJAA"

Alichokizungumza MBOWE ni Haki ya mtu kuvunjwa! Inakuweje iitwe kulia njaa? Pia issue hiyo sio ya kwake peke yake inaonyesha wafungwa wengi ni wahanga.

Kwanini hivi vipeperushi vimejaa njaa kichwani mpaka vinakosa angle ya habari?
Waandishi mtategemea ruzuku na bahasha za Serikali mpaka lini?!

Ishu za Haki za Mtu ziheshimiwe,ndio maana hata Mwandishi wenu Azory alivyo potezwa bado mkawa mnaleta mizaha.ni wakati wa kutoka kwenye boksi, hamjachelewa.
Hii nchi ni hakuna penye nafuu mkuu kila kona kumejaa makanjanja tupu
 
Hatujasoma shule moja,sishangai lakini swala la mtu kunyimwa Kula na kunywa sio kulia njaa.ni serious issue especially linapofanywa kwa miezi mitano!
Uko sahihi. Heading waliotumia inapoteza uzito wa kitendo chenyewe na mtu hawezi kuelewa unyama unaofanyika mpaka asome vichwa vidogo vya habari jambo ambalo sio wote hulifanya.
 
Back
Top Bottom