balibabambonahi
JF-Expert Member
- Apr 5, 2015
- 15,771
- 14,294
Magereza ya wanyima chakula watuhumiwa,kesi ya Mbowe na wenzake kwa miezi mitano.Mkuu wangeandikaje labda ?
AU
Watuhumiwa kesi ya Mbowe na wenzake hawapewi chakula miezi mitano Sasa.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Magereza ya wanyima chakula watuhumiwa,kesi ya Mbowe na wenzake kwa miezi mitano.Mkuu wangeandikaje labda ?
Wahariri wenyewe wanayo njaa kuzidi ya mboweNimeona Magazeti Makubwa kama Mwananchi, Nipashe yamebeba kichwa Cha habari eti "MBOWE ALIA NJAA"
Alichokizungumza MBOWE ni Haki ya mtu kuvunjwa! Inakuweje iitwe kulia njaa? Pia issue hiyo sio ya kwake peke yake inaonyesha wafungwa wengi ni wahanga.
Kwanini hivi vipeperushi vimejaa njaa kichwani mpaka vinakosa angle ya habari?
Waandishi mtategemea ruzuku na bahasha za Serikali mpaka lini?!
Ishu za Haki za Mtu ziheshimiwe,ndio maana hata Mwandishi wenu Azory alivyo potezwa bado mkawa mnaleta mizaha.ni wakati wa kutoka kwenye boksi, hamjachelewa.
Ukiandika hvyo hupati watejaMagereza ya wanyima chakula watuhumiwa,kesi ya Mbowe na wenzake kwa miezi mitano.
AU
Watuhumiwa kesi ya Mbowe na wenzake hawapewi chakula miezi mitano Sasa.
Ndiyo kulia njaa huko, wewe ulitaka yaandikaje bwana! Hakuna kichefuchefu hapo, ndiyo ukweli wa mambo! Ukiona yanatia kichefuchefu yanunue yote na kuyaficha ili yasionekane mtaani! Lakini sisi tumeshayasoma tayari.Nimeona Magazeti Makubwa kama Mwananchi, Nipashe yamebeba kichwa Cha habari eti "MBOWE ALIA NJAA"
Alichokizungumza MBOWE ni Haki ya mtu kuvunjwa! Inakuweje iitwe kulia njaa? Pia issue hiyo sio ya kwake peke yake inaonyesha wafungwa wengi ni wahanga.
Kwanini hivi vipeperushi vimejaa njaa kichwani mpaka vinakosa angle ya habari?
Waandishi mtategemea ruzuku na bahasha za Serikali mpaka lini?!
Ishu za Haki za Mtu ziheshimiwe,ndio maana hata Mwandishi wenu Azory alivyo potezwa bado mkawa mnaleta mizaha.ni wakati wa kutoka kwenye boksi, hamjachelewa.
Ndiyo magazeti yenyewe, lazima yawe makaratasi.Rafiki kwani Kuna magazeti happa, Kuna makaratasi tu
Kwa hiyo ipi ni ipi?Kwa sababu aliyelalamika kutopewa chakula ni Mbowe. (Eye test) yako inaonyesha hana muonekano wa mtu ambaye hapati chakula Kwa hiyo kuna mtu au watu wanasema uongo.Kwa kutumia macho [eye test], Mbowe hana muonekano wa mtu ambaye hapati chakula!
Hivyo, kusema analia njaa ni kupotosha kwa makusudi.
Sasa Mkuu mbona umejijibu kuwa hatuja ratify hii conv, then umetoa lawama badala ya way forward. Anyway inaweza kutumika sura ya 3 ya katiba.Niliposikia Freeman Mbowe na wenzake wananyimwa chakula na maji mahakamani nikakumbuka Universal Declararion of Human Rights na mkataba kuhusu utesaji yaani Convention against Torture and Other Cruel, Inhuman, Degrading Treatment or Punishment
Inawahusu hadi mahabusu [emoji1427]
ZINGATIA: Tanzania haijasaini huu mkataba wa kimataifa kuhusu utesaji (swipe) ndo muelewe utawala wa miaka 60 wa chama kimoja ilipotufikisha!
#MboweSioGaidi #TutaelewanaTu #ChangeTanzania
naona mds wameedit , nilisema makaratasi ya kwenda faraghaNdiyo magazeti yenyewe, lazima yawe makaratasi.
Ingekuwa kwa mtu wa serikali msingesema wamechemka, badala yake mngepongeza hayo magazeti.Hilo haliondoi ukweli kuwa wamechemka.
Kabla ya kuchagua hiyo heading wangejiuliza tafsiri ya wasomaji itakuwaje. Connotatively kulia njaa kuna maana pana sana na hii ina negative impact kwa mhusika ni kama kusema anaipata, anakoma ubishi, maisha hayendi vizuri na wabaya wake watasema mwache akome..Kwa kutumia macho [eye test], Mbowe hana muonekano wa mtu ambaye hapati chakula!
Hivyo, kusema analia njaa ni kupotosha kwa makusudi.
Siamini kama Gazeti la Raia Mwema linaweza kuwa na heading za ajabu namna hii. unless ni gazeti la kupikwaNimeona Magazeti Makubwa kama Mwananchi, Nipashe yamebeba kichwa Cha habari eti "MBOWE ALIA NJAA"
Alichokizungumza MBOWE ni Haki ya mtu kuvunjwa! Inakuweje iitwe kulia njaa? Pia issue hiyo sio ya kwake peke yake inaonyesha wafungwa wengi ni wahanga.
Kwanini hivi vipeperushi vimejaa njaa kichwani mpaka vinakosa angle ya habari?
Waandishi mtategemea ruzuku na bahasha za Serikali mpaka lini?!
Ishu za Haki za Mtu ziheshimiwe,ndio maana hata Mwandishi wenu Azory alivyo potezwa bado mkawa mnaleta mizaha.ni wakati wa kutoka kwenye boksi, hamjachelewa.
Si mnasema uhuru wenu wa habari umerudi na mnapumua?Waandishi wa nchi hii nimewadharau sana. Uzuri kuna mitandao siku hizi hivyo watu hawategemei sana habari zao kama zamani.
Wahariri wanawaza uteuzi tu.
Siku hizi nikisikia kuna gazeti sijui limefungiwa, wala siumizi kichwa na ninaona sawa tu.
Why should I sympathize with traitors?
Si uhuru wenu wa habari umerudi na sasa mnapumua au?Rafiki kwani Kuna magazeti happa, Kuna makaratasi tu
[emoji23] [emoji23] Si uhuru wenu wa habari umerudi na sasa mnapumua au?hivi bado mnasoma hivyo vigazeti?? habari siku hizi ni jamii forums tu