Magazeti ya Mabeberu yameanza chokochoko El País wamuita John Magufuli, the African Bolsonaro. Nini kipo nyuma ya tuhuma hizi ?

Magazeti ya Mabeberu yameanza chokochoko El País wamuita John Magufuli, the African Bolsonaro. Nini kipo nyuma ya tuhuma hizi ?

Leo nilikuwa nasikiliza KBC asubuhi nikasikia wanaitaja nchi moja kati ya zile za Scandinavia aidha Denmark au Norway siikumbuki inafuata hatua kama za Tanzania. Hawakuwa na lockdown wala nini, ila maisha yaliendelea. Sasa mnakuja na hoja kana kwamba Tanzania pekee ndio imefuata utaratibu huo. Acheni siasa maji taka tunataka nchi iwe na wanasiasa shupavu wenye hoja nzito zenye tija kwa jamii.
Sent from Geneva_ Switzerland

Mkuu walikuwa wanaongelea nchi hii?

Sweden becomes country with highest coronavirus death rate per capita for last 7 days
 
Matusi mengine nayo! Nani kakudanganya kuwa matako sina? au mavi yangu hayanuki?

Umeshindwa kujibu unabakia kushabikia matako na mavi ya mwenzako, kaa na hiyo civilazation yako. Waafrika hatuna haja ya usenge wenu, manake, majibu yako ni yale ya wasenge waliokomaa! Demokrasia my Ass. Ni matako tu yanayonuka.
Nyie ndio wale mkisikia neno "Demokrasia" mnakimbia kidogo mfe!

Mzee jamii inataka demokrasia na adherence to human rights,hamtaki....with time itabidi mhame dunia muende Mars mkaishi under dictatorship..

Bwana bure kawaharibu ubongo kabisa,upo hapa unatetea dictatorship?Really?

Kama jamii tunarudi nyuma aisee!
 
View attachment 1455981
Gazeti la pili kwa uuzaji nchini Hispania El País limechapisha habari isemayo "John Magufuli the African Bolsonaro" kutokana na njia anayotumia kupambana na janga la virusi vya corona. Gazeti hilo limetaja viongozi kama Donald Trump (Rais wa Marekani) na Jair Bolsonaro (Rais wa Brazil) kama viongozi waliokataa kuchukua hatua madhubuti dhiti ya virusi vya corona. Gazeti hilo limemtaja Rais wa Jamuhuri wa Muungano wa Tanzania kama kinara wa Africa kwa ukaidi, limetoa shutma kwa Rais Magufuli kwa kugoma kutoa taarifa kuhusiana na idadi ya visa na vifo vya ugonjwa huu tishio duniani. Wameongezea kwa kuponda mbinu mbali mbali kama maombi, na upimaji wa sampuli za mapapai na mbuzi katika kugundua mapungufu ya maabara ya Taifa.

Hata hivyo gazeti hilo limemsifu Rais Magufuli kwa uwezo wake wa kuchapa kazi na kutokupokea rushwa na ujenzi wa miundo mbinu mingi wakati akilitumikia taifa kama Waziri wa Ujenzi.

Source: John Magufuli, o Bolsonaro africano

Maoni yangu: Taarifa hizi si nzuri kwa sekta ya utalii na hata biashara, japokuwa tuna mapungufu katika vita hii lakini hakuna taifa lisilo na mapungufu kila moja kuna sehemu limeteleza natumaini serikali litafuatilia nini ni chanzo kwa vyombo hivi kutufanya tuonekane wazembe na kudhihakiwa na kupakwa sifa mbaya.
Lazima tujiulize ni nini kipo nyuma ya tuhuma hizi? Hii ni vita na kama alivyosema Mh. Rais leo kuna kitu zaidi lakini hawezi kukisema sasa.
Hoja ni za kweli au uongo.
Kama ni uongo za kupuuza
 
Kwahiyo wamemfananisha na Trump? Basi hakuna shida

Mungu Ibariki Tz - MITz
 
Nyie ndio wale mkisikia neno "Demokrasia" mnakimbia kidogo mfe!

Mzee jamii inataka demokrasia na adherence to human rights,hamtaki....with time itabidi mhame dunia muende Mars mkaishi under dictatorship..

Bwana bure kawaharibu ubongo kabisa,upo hapa unatetea dictatorship?Really?

Kama jamii tunarudi nyuma aisee!
Ati tufe? mmejaribu kila mbinu! Waatu wanapeta! Hatufi! Na sada ndio tutazaliana kweli kweli.
Hiyo "demokrasia" unayodai ya wapi?

Human rights? Do you really have the moral authority to impose such a statement? Nevertheless enticing the "Wananchi" (jamii) wa kwetu! ati "Jamii ...inataka demokrasia"... na kututishia kwenda sayari nyingine? Humanity?

..You are suggesting also, because bwana "bure" then he is a Dictator! what a pity!

Whataeveryournameis...Jamii ya Mtanzania au Jamii ya mwafrika haitakumbatia misingi isioleta tija!

Asubuhi njema
Aluta Continua
 
Ati tufe? mmejaribu kila mbinu! Waatu wanapeta! Hatufi! Na sada ndio tutazaliana kweli kweli.
Then why mpo so disturbed sisi pro-democracy tunapotetea democracy?

Infact mngetakiwa muwe on democracy side,tatizo mnatushambulia tunaoitetea which is oxymoron!
Hiyo "demokrasia" unayodai ya wapi?
Demokrasia unayoifikiria kichwani mwako ndio hiyo hiy😵f which unaipinga,which is even oxymoronic!

Wewe unatetea nini iwapo unapinga wanaotetea demokrasia?Maana yake unatetea dictatorship,which is even a fvcked position to be at!
Human rights? Do you really have the moral authority to impose such a statement? Nevertheless enticing the "Wananchi" (jamii) wa kwetu! ati "Jamii ...inataka demokrasia"... na kututishia kwenda sayari nyingine? Humanity?
Hutaki Human Rights,unataka nini?

Fvck what is in your head aisee kama unapinga hadi Human Rights!
 
View attachment 1455981
Gazeti la pili kwa uuzaji nchini Hispania El País limechapisha habari isemayo "John Magufuli the African Bolsonaro" kutokana na njia anayotumia kupambana na janga la virusi vya corona. Gazeti hilo limetaja viongozi kama Donald Trump (Rais wa Marekani) na Jair Bolsonaro (Rais wa Brazil) kama viongozi waliokataa kuchukua hatua madhubuti dhiti ya virusi vya corona. Gazeti hilo limemtaja Rais wa Jamuhuri wa Muungano wa Tanzania kama kinara wa Africa kwa ukaidi, limetoa shutma kwa Rais Magufuli kwa kugoma kutoa taarifa kuhusiana na idadi ya visa na vifo vya ugonjwa huu tishio duniani. Wameongezea kwa kuponda mbinu mbali mbali kama maombi, na upimaji wa sampuli za mapapai na mbuzi katika kugundua mapungufu ya maabara ya Taifa.

Hata hivyo gazeti hilo limemsifu Rais Magufuli kwa uwezo wake wa kuchapa kazi na kutokupokea rushwa na ujenzi wa miundo mbinu mingi wakati akilitumikia taifa kama Waziri wa Ujenzi.

Source: John Magufuli, o Bolsonaro africano

Maoni yangu: Taarifa hizi si nzuri kwa sekta ya utalii na hata biashara, japokuwa tuna mapungufu katika vita hii lakini hakuna taifa lisilo na mapungufu kila moja kuna sehemu limeteleza natumaini serikali litafuatilia nini ni chanzo kwa vyombo hivi kutufanya tuonekane wazembe na kudhihakiwa na kupakwa sifa mbaya.

Lazima tujiulize ni nini kipo nyuma ya tuhuma hizi? Hii ni vita na kama alivyosema Mh. Rais leo kuna kitu zaidi lakini hawezi kukisema sasa.

Kwa hili wanaonyesha upumbavu wao.
 
Ukwel unabaki kuwa huku mitaani hatuoni miili ya watu iliyozagaa kama ilivyotabiriwa na mabwana wakubwa
View attachment 1455981
Gazeti la pili kwa uuzaji nchini Hispania El País limechapisha habari isemayo "John Magufuli the African Bolsonaro" kutokana na njia anayotumia kupambana na janga la virusi vya corona. Gazeti hilo limetaja viongozi kama Donald Trump (Rais wa Marekani) na Jair Bolsonaro (Rais wa Brazil) kama viongozi waliokataa kuchukua hatua madhubuti dhiti ya virusi vya corona. Gazeti hilo limemtaja Rais wa Jamuhuri wa Muungano wa Tanzania kama kinara wa Africa kwa ukaidi, limetoa shutma kwa Rais Magufuli kwa kugoma kutoa taarifa kuhusiana na idadi ya visa na vifo vya ugonjwa huu tishio duniani. Wameongezea kwa kuponda mbinu mbali mbali kama maombi, na upimaji wa sampuli za mapapai na mbuzi katika kugundua mapungufu ya maabara ya Taifa.

Hata hivyo gazeti hilo limemsifu Rais Magufuli kwa uwezo wake wa kuchapa kazi na kutokupokea rushwa na ujenzi wa miundo mbinu mingi wakati akilitumikia taifa kama Waziri wa Ujenzi.

Source: John Magufuli, o Bolsonaro africano

Maoni yangu: Taarifa hizi si nzuri kwa sekta ya utalii na hata biashara, japokuwa tuna mapungufu katika vita hii lakini hakuna taifa lisilo na mapungufu kila moja kuna sehemu limeteleza natumaini serikali litafuatilia nini ni chanzo kwa vyombo hivi kutufanya tuonekane wazembe na kudhihakiwa na kupakwa sifa mbaya.

Lazima tujiulize ni nini kipo nyuma ya tuhuma hizi? Hii ni vita na kama alivyosema Mh. Rais leo kuna kitu zaidi lakini hawezi kukisema sasa.
Unaweza kujiulza n kip ambacho mabwana wakubwa wanataka tufanye ili waappreciate kuwa tumechukua hatua kudhibiti huu ugonjwa???
May be the so called LOCKDOWN

Ok je tunahitaji external appreciation juu juhudi zetu dhidi ya gonjwa hili??
SIFA ZINAUA

Ilhal waliofanya LockDown stil wanaendelea kufa kwa corona, kwa njaa

Je LockDown ni applicable kwa nchi zetu za mkono kutafuta mkono kinywan????



Sent using Jamii Forums mobile app
 

Gazeti la pili kwa uuzaji nchini Hispania El País limechapisha habari isemayo "John Magufuli the African Bolsonaro" kutokana na njia anayotumia kupambana na janga la virusi vya corona. Gazeti hilo limetaja viongozi kama Donald Trump (Rais wa Marekani) na Jair Bolsonaro (Rais wa Brazil) kama viongozi waliokataa kuchukua hatua madhubuti dhiti ya virusi vya corona.

Gazeti hilo limemtaja Rais wa Jamuhuri wa Muungano wa Tanzania kama kinara wa Africa kwa ukaidi, limetoa shutma kwa Rais Magufuli kwa kugoma kutoa taarifa kuhusiana na idadi ya visa na vifo vya ugonjwa huu tishio duniani. Wameongezea kwa kuponda mbinu mbali mbali kama maombi, na upimaji wa sampuli za mapapai na mbuzi katika kugundua mapungufu ya maabara ya Taifa.

Hata hivyo gazeti hilo limemsifu Rais Magufuli kwa uwezo wake wa kuchapa kazi na kutokupokea rushwa na ujenzi wa miundo mbinu mingi wakati akilitumikia taifa kama Waziri wa Ujenzi.

Source: John Magufuli, o Bolsonaro africano

Maoni yangu: Taarifa hizi si nzuri kwa sekta ya utalii na hata biashara, japokuwa tuna mapungufu katika vita hii lakini hakuna taifa lisilo na mapungufu kila moja kuna sehemu limeteleza natumaini serikali litafuatilia nini ni chanzo kwa vyombo hivi kutufanya tuonekane wazembe na kudhihakiwa na kupakwa sifa mbaya.

Lazima tujiulize ni nini kipo nyuma ya tuhuma hizi? Hii ni vita na kama alivyosema Mh. Rais leo kuna kitu zaidi lakini hawezi kukisema sasa.
Kuna mambo mengi yenye kuashirikia udikteta na ndio maana mambo kama haya yanaanza kutokea. Unakumbuka kwamba bashite amepigwa stop kwenda Marekani na pengine hata mkuu akiendelea hivi atapigwa stop kama hizo. Hatupo vizuri tena kwenye medani za kidiplomasia za dunia tumekuwa zaidi kama Korea ya Kaskazini.
 
Back
Top Bottom