Wyatt Mathewson
JF-Expert Member
- Dec 22, 2017
- 10,432
- 25,124
Wewe,New York itoe takwimu za uongo na watu wa-verify ni za uongo unajua athari yake?Hata zile zenye mwelekeo, hazijatoa takwimu za kweli. Waathirika wengi katika hizo nchi unazofikiri zinajali "humanity" zinaficha ukweli, kwa mfano Nu yok... watu ambao wameathirika kwa wingi ni weusi na walatino, lakini unachosikia ni walioathirika na waliokufa. Ambacho husikii ni wale ambao wakifika hospitali na ishara zote za korona kumi tisa, haswa weusi na walatino, wanarudishwa nyumbani bila kupata tiba! Na ni nchii Tajiri au? Na hiyo ni "Humanity"?
Save the pity to yourself
Uongozi mzima wa kisiasa jiji zima lingekosa kura na wote wangeambiwa wajiuzulu
Unajua mahali penye demokrasia iliyokomaa ni kwamba uongo kidogo tu unabadili regime change,hivyo walio madarakani juu chini hawawezi kitu cha hujuma bahati mbaya wajulikane!
Ndio uzuri wa demokrasia iliyokomaa!
Halafu sio "Nu Yok" mzee,unapotaja jina uwe na heshima nalo ni kama wewe Syllogist mtu akuite "Matako-Ass-Illogist-Mavi-Kunuka" nafikiri utajisikia safi sana I guess!
Ni New York,na sio "Nu Yok"
Nchi zote zilizoficha takwimu ni nchi masikini kutupwa na au kama ni tajiri hazina demokrasia zina dictatorship au autocracy au somekind of stupid political system.
Civilizations zina mabaya na mazuri yake ila Civilization ya kuiga ni ya Western Civilization sio some slave-concentration-camp-autocratic civilization of the East and some shit like that!