Natafuta kiki
JF-Expert Member
- Dec 27, 2016
- 911
- 1,294
Duuuuh mkuu ndio umeibukia hukuUHALISIA LAKINI UNAONEKANA, VITA IMEPIGWA HASWA
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Duuuuh mkuu ndio umeibukia hukuUHALISIA LAKINI UNAONEKANA, VITA IMEPIGWA HASWA
Si nyie mbuzi jike
Naaam yanajua kuwapanda sana mbuzi jike wa lumumbaMabeberu kazini.
Tz imepuuzaje? Vipi kwa Burundi?Nchi nyingi zipi zilizopuuza Corona kwa kiwango hiki Cha Tz?
Tz imepuuzaje? Vipi kwa Burundi?
Wamejikatia tamaa kiaje?Hao walishajikatia tamaa na maisha yao long time.
Mzungu atakusifia wewe mwafrika endapo tu narudia endapo tu umeacha mianya ya yeye kukunyonya. Lakini ukiziba mianya ya yeye kukunyonya wewe ni adui namba moja. Hivyo usishangae JPM kuita na wazungu ''mkaidi''Sidhani kama anashida ya kusifiwa na Mabeberu lakini Rais ni alama ya taifa, shutma yoyote inaakisi taifa letu, leo hii hizi chokochoko wanazoanzisha zinafanya Tanzania isionekane salama ama kuwa na visa vingi vya ugonjwa huu wa corona. Kuna mahali wanajaribu kututingisha na kuna sababu, ukisikiliza kauli za Rais kuna kitu zaidi nyuma ya pazia lakini kwa sasa hataki kukisema. Muda utatupa majibu sahihi.
Kwa marais wote wa Afrika yeye ndiye gumzo ulimwenguni. Akistaafu ndiyo sifa zake zitaonekana.
Burundi kwani nayo husikii ikitajwa? Maana umesema nchi nyingi..Tz imepuuzaje? Vipi kwa Burundi?
HatimayeUHALISIA LAKINI UNAONEKANA, VITA IMEPIGWA HASWA