Magazeti ya Mabeberu yameanza chokochoko El País wamuita John Magufuli, the African Bolsonaro. Nini kipo nyuma ya tuhuma hizi ?


Mkuu walikuwa wanaongelea nchi hii?

Sweden becomes country with highest coronavirus death rate per capita for last 7 days
 
Nyie ndio wale mkisikia neno "Demokrasia" mnakimbia kidogo mfe!

Mzee jamii inataka demokrasia na adherence to human rights,hamtaki....with time itabidi mhame dunia muende Mars mkaishi under dictatorship..

Bwana bure kawaharibu ubongo kabisa,upo hapa unatetea dictatorship?Really?

Kama jamii tunarudi nyuma aisee!
 
Hoja ni za kweli au uongo.
Kama ni uongo za kupuuza
 
Kwahiyo wamemfananisha na Trump? Basi hakuna shida

Mungu Ibariki Tz - MITz
 
Ati tufe? mmejaribu kila mbinu! Waatu wanapeta! Hatufi! Na sada ndio tutazaliana kweli kweli.
Hiyo "demokrasia" unayodai ya wapi?

Human rights? Do you really have the moral authority to impose such a statement? Nevertheless enticing the "Wananchi" (jamii) wa kwetu! ati "Jamii ...inataka demokrasia"... na kututishia kwenda sayari nyingine? Humanity?

..You are suggesting also, because bwana "bure" then he is a Dictator! what a pity!

Whataeveryournameis...Jamii ya Mtanzania au Jamii ya mwafrika haitakumbatia misingi isioleta tija!

Asubuhi njema
Aluta Continua
 
Ati tufe? mmejaribu kila mbinu! Waatu wanapeta! Hatufi! Na sada ndio tutazaliana kweli kweli.
Then why mpo so disturbed sisi pro-democracy tunapotetea democracy?

Infact mngetakiwa muwe on democracy side,tatizo mnatushambulia tunaoitetea which is oxymoron!
Hiyo "demokrasia" unayodai ya wapi?
Demokrasia unayoifikiria kichwani mwako ndio hiyo hiy😵f which unaipinga,which is even oxymoronic!

Wewe unatetea nini iwapo unapinga wanaotetea demokrasia?Maana yake unatetea dictatorship,which is even a fvcked position to be at!
Human rights? Do you really have the moral authority to impose such a statement? Nevertheless enticing the "Wananchi" (jamii) wa kwetu! ati "Jamii ...inataka demokrasia"... na kututishia kwenda sayari nyingine? Humanity?
Hutaki Human Rights,unataka nini?

Fvck what is in your head aisee kama unapinga hadi Human Rights!
 

Kwa hili wanaonyesha upumbavu wao.
 
Ukwel unabaki kuwa huku mitaani hatuoni miili ya watu iliyozagaa kama ilivyotabiriwa na mabwana wakubwa Unaweza kujiulza n kip ambacho mabwana wakubwa wanataka tufanye ili waappreciate kuwa tumechukua hatua kudhibiti huu ugonjwa???
May be the so called LOCKDOWN

Ok je tunahitaji external appreciation juu juhudi zetu dhidi ya gonjwa hili??
SIFA ZINAUA

Ilhal waliofanya LockDown stil wanaendelea kufa kwa corona, kwa njaa

Je LockDown ni applicable kwa nchi zetu za mkono kutafuta mkono kinywan????



Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kuna mambo mengi yenye kuashirikia udikteta na ndio maana mambo kama haya yanaanza kutokea. Unakumbuka kwamba bashite amepigwa stop kwenda Marekani na pengine hata mkuu akiendelea hivi atapigwa stop kama hizo. Hatupo vizuri tena kwenye medani za kidiplomasia za dunia tumekuwa zaidi kama Korea ya Kaskazini.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…