Si ndiyo maana mmeuvua Utanzania na utaifa wenu mkaamua hata kama ni kinyume cha sheria kupigana mkataba upite mkiamini hao waarabu wanakuja kumwaga hela muengeze wake kila mtu wanne wanne ili mfurahie ngono vizuri!!!Mmesomewa na watu wasiojua raha ya ngono, nyie ni wajinga kabisa.
Yule pale kajikosha kwa maza, utamu wa asali kunoga.Nape kasahau kwamba kuna watsap fcbk twitter na redio za Kanisa ambazo zinatangaza habari hizoo
Haya, tuachane nao sawa.Hakuna watu wanafiki kama wale kila mtaa Wana vimada wamewazalisha, asa kama wameweza kudanganya Hadi nafsi zao watashindwa kupiga propaganda hawa?
Unategemea watu wanaosubiria kuteuliwa waandike chochote? Hakuna waandishi nchi hii, enzi zilikuwa na Jenerali Ulimwengu, wengine wachumia tumbo.Jana kulikuwa na tetesi kuwa vyombo vyote vya habari vimepewa amri ya kutoandika habari za waraka wa TEC.
Haiwezi kuwa coincidence, yoooote yasiandike. Ni kweli Nape aliyapa maagizo ya kutoandika.
Suluhisho amelindika Askofu mwamakula
View attachment 2723015
Must GO.CCM must go!!
Ccm must go.Must GO.