Magenge ya awamu iliyopita yaligawana tenda za ujenzi wa mradi wa Stiglers wenye thamani ya trilioni 20, wamejaa hofu kuumbuliwa na CAG na Makamba

Magenge ya awamu iliyopita yaligawana tenda za ujenzi wa mradi wa Stiglers wenye thamani ya trilioni 20, wamejaa hofu kuumbuliwa na CAG na Makamba

chiembe

JF-Expert Member
Joined
May 16, 2015
Posts
16,859
Reaction score
28,112
Kwa wasiojua, mmisiri pale ni nyapara, hajengi, hawa Chato dynasty ndio wameji subconstruct .


Magenge ya awamu ya tano yaligawana tenda ya ujenzi wa mradi wa Stiglers, hawa wanaopiga kelele na kumshutumu Waziri Makamba, ni kwamba wameanza kuuona moto, kampuni zao zimeanza kuitwa moja baada ya nyingine kujieleza na kuonyesha jinsi gani wanafata mkataba, na waelezee walipataje tenda.

Mradi huu, kampuni ya Misri haijengi hata tofali moja, waliugawana magenge ya awamu iliyopita, yeye mmisiri mi nyapara tu.

Waziri Makamba anapoanza kuuchimba mradi huu na vikampuni vilivyojipa tenda, wahusika akina Mpina na polepole, wanakuja juu, sio kwamba ni wazalendo, vikampuni vyao vinapokea malipo hewa bila kufanya kazi, na Sasa vinabanwa mbavu.

Namuomba mama apitishe msako na ukaguzi mkali aviondoe, kazi afanye mkandarasi mwenyewe, tuondoe madalali wa kazi, hao ndio wanafanya mradi uwe na gharama kubwa.

Na wooote ni Chato dynasty.

Makamba, pondaponda hao wapiga dili, Tina imani na wewe.

Wakikomaa sana, CAG aende pale, atoe taarifa kwa kuvianika vikampuni uchwara vilivyojipa tenda Stiglers .
 
Kwa wasiojua, mmisiri pale ni nyapara, hajengi, hawa Chato dynasty ndio wameji subconstruct .


Magenge ya awamu ya tano yaligawana tenda ya ujenzi wa mradi wa Stiglers, hawa wanaopiga kelele na kumshutumu Waziri Makamba, ni kwamba wameanza kuuona moto, kampuni zao zimeanza kuitwa moja baada ya nyingine kujieleza na kuonyesha jinsi gani wanafata mkataba, na waelezee walipataje tenda.

Mradi huu, kampuni ya Misri haijengi hata tofali moja, waliugawana magenge ya awamu iliyopita, yeye mmisiri mi nyapara tu.

Waziri Makamba anapoanza kuuchimba mradi huu na vikampuni vilivyojipa tenda, wahusika akina Mpina na polepole, wanakuja juu, sio kwamba ni wazalendo, vikampuni vyao vinapokea malipo hewa bila kufanya kazi, na Sasa vinabanwa mbavu.

Namuomba mama apitishe msako na ukaguzi mkali aviondoe, kazi afanye mkandarasi mwenyewe, tuondoe madalali wa kazi, hao ndio wanafanya mradi uwe na gharama kubwa.

Na wooote ni Chato dynasty.

Makamba, pondaponda hao wapiga dili, Tina imani na wewe.

Wakikomaa sana, CAG aende pale, atoe taarifa kwa kuvianika vikampuni uchwara vilivyojipa tenda Stiglers .

Kwa hiyo kwa sababu umeandika haya hapa JF, basi tuamini hayo.
 
Kwa wasiojua, mmisiri pale ni nyapara, hajengi, hawa Chato dynasty ndio wameji subconstruct .


Magenge ya awamu ya tano yaligawana tenda ya ujenzi wa mradi wa Stiglers, hawa wanaopiga kelele na kumshutumu Waziri Makamba, ni kwamba wameanza kuuona moto, kampuni zao zimeanza kuitwa moja baada ya nyingine kujieleza na kuonyesha jinsi gani wanafata mkataba, na waelezee walipataje tenda.

Mradi huu, kampuni ya Misri haijengi hata tofali moja, waliugawana magenge ya awamu iliyopita, yeye mmisiri mi nyapara tu.

Waziri Makamba anapoanza kuuchimba mradi huu na vikampuni vilivyojipa tenda, wahusika akina Mpina na polepole, wanakuja juu, sio kwamba ni wazalendo, vikampuni vyao vinapokea malipo hewa bila kufanya kazi, na Sasa vinabanwa mbavu.

Namuomba mama apitishe msako na ukaguzi mkali aviondoe, kazi afanye mkandarasi mwenyewe, tuondoe madalali wa kazi, hao ndio wanafanya mradi uwe na gharama kubwa.

Na wooote ni Chato dynasty.

Makamba, pondaponda hao wapiga dili, Tina imani na wewe.

Wakikomaa sana, CAG aende pale, atoe taarifa kwa kuvianika vikampuni uchwara vilivyojipa tenda Stiglers .

Hilo bwana hadi linakamilika ligharimu serikali tsh 6 trillion na ikizidi ni saba ! Hiyo trillion 20 imetoka wapi mkuu? Hahahaha[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji120][emoji120]
IMG_0581.jpg
 
Nachojua zile hoja za Mpina mpaka leo bado hamjazijibu, badala yake unakuja na vipropaganda vyepesi Mpina na Polepole wana vikampuni vya kifisadi.

Usituone watoto:

- tutajie majina ya hivyo vikampuni.

- vilisajiliwa lini, na

- utuoneshe kila kikampuni kilichukua malipo ya bei gani toka serikalini,

Halafu waambie mabosi wako wanaokutuma hili sio taifa la wajinga wasiojua kuhoji.
 
Timu makamba tunawaona

Hata kama mmetumwa kumtetea joeni basi na takwimu zinazokaribia na ukweli.

Siyo kukurupuka tu

Ujenzi wa mradi mpaka kuja kukamilika unatarajiwa kutumia tilion 6 na bilioni 700

Wewe mleta mada hizi tilion 20 umezitoa wap

Kazi kweli kweli.
 
Kwa wasiojua, mmisiri pale ni nyapara, hajengi, hawa Chato dynasty ndio wameji subconstruct .


Magenge ya awamu ya tano yaligawana tenda ya ujenzi wa mradi wa Stiglers, hawa wanaopiga kelele na kumshutumu Waziri Makamba, ni kwamba wameanza kuuona moto, kampuni zao zimeanza kuitwa moja baada ya nyingine kujieleza na kuonyesha jinsi gani wanafata mkataba, na waelezee walipataje tenda.

Mradi huu, kampuni ya Misri haijengi hata tofali moja, waliugawana magenge ya awamu iliyopita, yeye mmisiri mi nyapara tu.

Waziri Makamba anapoanza kuuchimba mradi huu na vikampuni vilivyojipa tenda, wahusika akina Mpina na polepole, wanakuja juu, sio kwamba ni wazalendo, vikampuni vyao vinapokea malipo hewa bila kufanya kazi, na Sasa vinabanwa mbavu.

Namuomba mama apitishe msako na ukaguzi mkali aviondoe, kazi afanye mkandarasi mwenyewe, tuondoe madalali wa kazi, hao ndio wanafanya mradi uwe na gharama kubwa.

Na wooote ni Chato dynasty.

Makamba, pondaponda hao wapiga dili, Tina imani na wewe.

Wakikomaa sana, CAG aende pale, atoe taarifa kwa kuvianika vikampuni uchwara vilivyojipa tenda Stiglers .
Acha uongo wewe mburula mkubwa. Kama hujui nyamaza wanaume waongee! Eti Main Contractor awe nyampara kawadanganye mburula wenzako huko.
 
Kwa wasiojua, mmisiri pale ni nyapara, hajengi, hawa Chato dynasty ndio wameji subconstruct .


Magenge ya awamu ya tano yaligawana tenda ya ujenzi wa mradi wa Stiglers, hawa wanaopiga kelele na kumshutumu Waziri Makamba, ni kwamba wameanza kuuona moto, kampuni zao zimeanza kuitwa moja baada ya nyingine kujieleza na kuonyesha jinsi gani wanafata mkataba, na waelezee walipataje tenda.

Mradi huu, kampuni ya Misri haijengi hata tofali moja, waliugawana magenge ya awamu iliyopita, yeye mmisiri mi nyapara tu.

Waziri Makamba anapoanza kuuchimba mradi huu na vikampuni vilivyojipa tenda, wahusika akina Mpina na polepole, wanakuja juu, sio kwamba ni wazalendo, vikampuni vyao vinapokea malipo hewa bila kufanya kazi, na Sasa vinabanwa mbavu.

Namuomba mama apitishe msako na ukaguzi mkali aviondoe, kazi afanye mkandarasi mwenyewe, tuondoe madalali wa kazi, hao ndio wanafanya mradi uwe na gharama kubwa.

Na wooote ni Chato dynasty.

Makamba, pondaponda hao wapiga dili, Tina imani na wewe.

Wakikomaa sana, CAG aende pale, atoe taarifa kwa kuvianika vikampuni uchwara vilivyojipa tenda Stiglers .
Halafu mkawa mnasema CHADEMA wamewachelesha sana, tukadhani walikuwa wanapinga miradi yenu, kumbe waliwadhibitini msiibe
 
Back
Top Bottom