Magenge ya awamu iliyopita yaligawana tenda za ujenzi wa mradi wa Stiglers wenye thamani ya trilioni 20, wamejaa hofu kuumbuliwa na CAG na Makamba

Magenge ya awamu iliyopita yaligawana tenda za ujenzi wa mradi wa Stiglers wenye thamani ya trilioni 20, wamejaa hofu kuumbuliwa na CAG na Makamba

Hopeless comment ever!
Walinda Legasi kazi mnayo

JamiiForums-266676641.jpg
 
Kwa wasiojua, mmisiri pale ni nyapara, hajengi, hawa Chato dynasty ndio wameji subconstruct .


Magenge ya awamu ya tano yaligawana tenda ya ujenzi wa mradi wa Stiglers, hawa wanaopiga kelele na kumshutumu Waziri Makamba, ni kwamba wameanza kuuona moto, kampuni zao zimeanza kuitwa moja baada ya nyingine kujieleza na kuonyesha jinsi gani wanafata mkataba, na waelezee walipataje tenda.

Mradi huu, kampuni ya Misri haijengi hata tofali moja, waliugawana magenge ya awamu iliyopita, yeye mmisiri mi nyapara tu.

Waziri Makamba anapoanza kuuchimba mradi huu na vikampuni vilivyojipa tenda, wahusika akina Mpina na polepole, wanakuja juu, sio kwamba ni wazalendo, vikampuni vyao vinapokea malipo hewa bila kufanya kazi, na Sasa vinabanwa mbavu.

Namuomba mama apitishe msako na ukaguzi mkali aviondoe, kazi afanye mkandarasi mwenyewe, tuondoe madalali wa kazi, hao ndio wanafanya mradi uwe na gharama kubwa.

Na wooote ni Chato dynasty.

Makamba, pondaponda hao wapiga dili, Tina imani na wewe.

Wakikomaa sana, CAG aende pale, atoe taarifa kwa kuvianika vikampuni uchwara vilivyojipa tenda Stiglers .
Wewe ni mlopokaji, ivi umewahi kwenda stigle ama unalishwa ma taptaptu.

Unafaham kuna kampuni ngapi za wachina zinazo fanya kazipale ambazo zinalipwa na arab contractor, amaunaongelea kampuni zinazo pika chakula na kuzoa takataka.

Gharama za mradi ni kama 7.3t wewe hizo ishirini umezipata wapi? Acha uhuni.
 
Nachojua zile hoja za Mpina mpaka leo bado hamjazijibu, badala yake unakuja na vipropaganda vyepesi Mpina na Polepole wana vikampuni vya kifisadi.

Usituone watoto:

- tutajie majina ya hivyo vikampuni.

- vilisajiliwa lini, na

- utuoneshe kila kikampuni kilichukua malipo ya bei gani toka serikalini,

Halafu waambie mabosi wako wanaokutuma hili sio taifa la wajinga wasiojua kuhoji.
chinembe kichwani mwake kajaza mavi badala ya ubongo, hivyo mavi yamegawanyika ktk sehemu mengine magumu mengine laini, yake magumu yakichachamaa akili ina mruka. January ni muadilifu sana na nina mtetea kwa 100%. Tatizo lilianzia kwa Mama, hakupaswa kumtoa Kalemani kwa vijembe, alipaswa January ampeleke wizara nyigine au angemhamisha tu Kalemani kama alivyofanya kwa Dotto (hili jamaa lilikuwa jinga sana), lakini katumbuliwa wala hakuna kelele. Kwa sasa Mama akitaka aupige mwingi, January ampeleke Ikulu kama kipindi cha JK na wizara ya Nishati amtoe hata mtu toka Zanzibar ambaye kabisa watu hawamjui. Tena angeweza hata kumteua Mh. Jamal Kassim, former finance minister.
 
Legacy inajilinda yenyewe kwa maendeleo aliyowaletea watz wa kweli siyo wauza madawa ya kulevya, mafisadi na wafanyakazi fake waliotimuliwa. Sasa sijajua wewe uko kwenye kundi la madawa au hayo mengine!!?
Cheti feki
 
Wewe roho mbaya tu, kazi ilikuwa inafanyika na huyo mmisiri unasema ni nyampara sa kunashida gani?
Msimamizi yupo na kaziamini kampuni wewe unawashwa nini?
Nani hajui kama mania ya kuua mladi, fukienitu hayo mashimo mlizike.
 
Bajeti ya ujenzi wa Stiglers haizidi trilioni 6 wewe hizo 20 umezitoa wapi??
Mhuni tu huyo,kwahiyo hizo Tr 20 zinataka kuingia kwenye urefu wa kamba,acheni mizaha, site tunaumia.
 
Nachojua zile hoja za Mpina mpaka leo bado hamjazijibu, badala yake unakuja na vipropaganda vyepesi Mpina na Polepole wana vikampuni vya kifisadi.

Usituone watoto:

- tutajie majina ya hivyo vikampuni.

- vilisajiliwa lini, na

- utuoneshe kila kikampuni kilichukua malipo ya bei gani toka serikalini,

Halafu waambie mabosi wako wanaokutuma hili sio taifa la wajinga wasiojua kuhoji.
Aseme na vikampuni hivyo vinafanya kazi gani huko stiglers gouge.
 
Wewe roho mbaya tu, kazi ilikuwa inafanyika na huyo mmisiri unasema ni nyampara sa kunashida gani?
Msimamizi yupo na kaziamini kampuni wewe unawashwa nini?
Nani hajui kama mania ya kuua mladi, fukienitu hayo mashimo mlizike.
Ndo watajua nchi Sio yao peke yao
 
Wezi ni wezi tu...sasa wanatafuta kichaka Cha kujificha Kwa uongo mweupe
 
Ujenzi ni trilioni 6.5 hizo 20 zinazotokea wapi mkulungwa?!!!

#Siempre JMT🙏
 
Kwa wasiojua, mmisiri pale ni nyapara, hajengi, hawa Chato dynasty ndio wameji subconstruct .


Magenge ya awamu ya tano yaligawana tenda ya ujenzi wa mradi wa Stiglers, hawa wanaopiga kelele na kumshutumu Waziri Makamba, ni kwamba wameanza kuuona moto, kampuni zao zimeanza kuitwa moja baada ya nyingine kujieleza na kuonyesha jinsi gani wanafata mkataba, na waelezee walipataje tenda.

Mradi huu, kampuni ya Misri haijengi hata tofali moja, waliugawana magenge ya awamu iliyopita, yeye mmisiri mi nyapara tu.

Waziri Makamba anapoanza kuuchimba mradi huu na vikampuni vilivyojipa tenda, wahusika akina Mpina na polepole, wanakuja juu, sio kwamba ni wazalendo, vikampuni vyao vinapokea malipo hewa bila kufanya kazi, na Sasa vinabanwa mbavu.

Namuomba mama apitishe msako na ukaguzi mkali aviondoe, kazi afanye mkandarasi mwenyewe, tuondoe madalali wa kazi, hao ndio wanafanya mradi uwe na gharama kubwa.

Na wooote ni Chato dynasty.

Makamba, pondaponda hao wapiga dili, Tina imani na wewe.

Wakikomaa sana, CAG aende pale, atoe taarifa kwa kuvianika vikampuni uchwara vilivyojipa tenda Stiglers .
ccm vs ccm. Sisi wananchi tuchukue jembe tukalime
 
chinembe kichwani mwake kajaza mavi badala ya ubongo, hivyo mavi yamegawanyika ktk sehemu mengine magumu mengine laini, yake magumu yakichachamaa akili ina mruka. January ni muadilifu sana na nina mtetea kwa 100%. Tatizo lilianzia kwa Mama, hakupaswa kumtoa Kalemani kwa vijembe, alipaswa January ampeleke wizara nyigine au angemhamisha tu Kalemani kama alivyofanya kwa Dotto (hili jamaa lilikuwa jinga sana), lakini katumbuliwa wala hakuna kelele. Kwa sasa Mama akitaka aupige mwingi, January ampeleke Ikulu kama kipindi cha JK na wizara ya Nishati amtoe hata mtu toka Zanzibar ambaye kabisa watu hawamjui. Tena angeweza hata kumteua Mh. Jamal Kassim, former finance minister.
Ujinga wa Dotto ulikuwa nini mkuu
 
Back
Top Bottom