Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Legacy inajilinda yenyewe kwa maendeleo aliyowaletea watz wa kweli siyo wauza madawa ya kulevya, mafisadi na wafanyakazi fake waliotimuliwa. Sasa sijajua wewe uko kwenye kundi la madawa au hayo mengine!!?
Wewe ni mlopokaji, ivi umewahi kwenda stigle ama unalishwa ma taptaptu.Kwa wasiojua, mmisiri pale ni nyapara, hajengi, hawa Chato dynasty ndio wameji subconstruct .
Magenge ya awamu ya tano yaligawana tenda ya ujenzi wa mradi wa Stiglers, hawa wanaopiga kelele na kumshutumu Waziri Makamba, ni kwamba wameanza kuuona moto, kampuni zao zimeanza kuitwa moja baada ya nyingine kujieleza na kuonyesha jinsi gani wanafata mkataba, na waelezee walipataje tenda.
Mradi huu, kampuni ya Misri haijengi hata tofali moja, waliugawana magenge ya awamu iliyopita, yeye mmisiri mi nyapara tu.
Waziri Makamba anapoanza kuuchimba mradi huu na vikampuni vilivyojipa tenda, wahusika akina Mpina na polepole, wanakuja juu, sio kwamba ni wazalendo, vikampuni vyao vinapokea malipo hewa bila kufanya kazi, na Sasa vinabanwa mbavu.
Namuomba mama apitishe msako na ukaguzi mkali aviondoe, kazi afanye mkandarasi mwenyewe, tuondoe madalali wa kazi, hao ndio wanafanya mradi uwe na gharama kubwa.
Na wooote ni Chato dynasty.
Makamba, pondaponda hao wapiga dili, Tina imani na wewe.
Wakikomaa sana, CAG aende pale, atoe taarifa kwa kuvianika vikampuni uchwara vilivyojipa tenda Stiglers .
chinembe kichwani mwake kajaza mavi badala ya ubongo, hivyo mavi yamegawanyika ktk sehemu mengine magumu mengine laini, yake magumu yakichachamaa akili ina mruka. January ni muadilifu sana na nina mtetea kwa 100%. Tatizo lilianzia kwa Mama, hakupaswa kumtoa Kalemani kwa vijembe, alipaswa January ampeleke wizara nyigine au angemhamisha tu Kalemani kama alivyofanya kwa Dotto (hili jamaa lilikuwa jinga sana), lakini katumbuliwa wala hakuna kelele. Kwa sasa Mama akitaka aupige mwingi, January ampeleke Ikulu kama kipindi cha JK na wizara ya Nishati amtoe hata mtu toka Zanzibar ambaye kabisa watu hawamjui. Tena angeweza hata kumteua Mh. Jamal Kassim, former finance minister.Nachojua zile hoja za Mpina mpaka leo bado hamjazijibu, badala yake unakuja na vipropaganda vyepesi Mpina na Polepole wana vikampuni vya kifisadi.
Usituone watoto:
- tutajie majina ya hivyo vikampuni.
- vilisajiliwa lini, na
- utuoneshe kila kikampuni kilichukua malipo ya bei gani toka serikalini,
Halafu waambie mabosi wako wanaokutuma hili sio taifa la wajinga wasiojua kuhoji.
Cheti fekiLegacy inajilinda yenyewe kwa maendeleo aliyowaletea watz wa kweli siyo wauza madawa ya kulevya, mafisadi na wafanyakazi fake waliotimuliwa. Sasa sijajua wewe uko kwenye kundi la madawa au hayo mengine!!?
Mhuni tu huyo,kwahiyo hizo Tr 20 zinataka kuingia kwenye urefu wa kamba,acheni mizaha, site tunaumia.Bajeti ya ujenzi wa Stiglers haizidi trilioni 6 wewe hizo 20 umezitoa wapi??
Aseme na vikampuni hivyo vinafanya kazi gani huko stiglers gouge.Nachojua zile hoja za Mpina mpaka leo bado hamjazijibu, badala yake unakuja na vipropaganda vyepesi Mpina na Polepole wana vikampuni vya kifisadi.
Usituone watoto:
- tutajie majina ya hivyo vikampuni.
- vilisajiliwa lini, na
- utuoneshe kila kikampuni kilichukua malipo ya bei gani toka serikalini,
Halafu waambie mabosi wako wanaokutuma hili sio taifa la wajinga wasiojua kuhoji.
Ndo watajua nchi Sio yao peke yaoWewe roho mbaya tu, kazi ilikuwa inafanyika na huyo mmisiri unasema ni nyampara sa kunashida gani?
Msimamizi yupo na kaziamini kampuni wewe unawashwa nini?
Nani hajui kama mania ya kuua mladi, fukienitu hayo mashimo mlizike.
ccm vs ccm. Sisi wananchi tuchukue jembe tukalimeKwa wasiojua, mmisiri pale ni nyapara, hajengi, hawa Chato dynasty ndio wameji subconstruct .
Magenge ya awamu ya tano yaligawana tenda ya ujenzi wa mradi wa Stiglers, hawa wanaopiga kelele na kumshutumu Waziri Makamba, ni kwamba wameanza kuuona moto, kampuni zao zimeanza kuitwa moja baada ya nyingine kujieleza na kuonyesha jinsi gani wanafata mkataba, na waelezee walipataje tenda.
Mradi huu, kampuni ya Misri haijengi hata tofali moja, waliugawana magenge ya awamu iliyopita, yeye mmisiri mi nyapara tu.
Waziri Makamba anapoanza kuuchimba mradi huu na vikampuni vilivyojipa tenda, wahusika akina Mpina na polepole, wanakuja juu, sio kwamba ni wazalendo, vikampuni vyao vinapokea malipo hewa bila kufanya kazi, na Sasa vinabanwa mbavu.
Namuomba mama apitishe msako na ukaguzi mkali aviondoe, kazi afanye mkandarasi mwenyewe, tuondoe madalali wa kazi, hao ndio wanafanya mradi uwe na gharama kubwa.
Na wooote ni Chato dynasty.
Makamba, pondaponda hao wapiga dili, Tina imani na wewe.
Wakikomaa sana, CAG aende pale, atoe taarifa kwa kuvianika vikampuni uchwara vilivyojipa tenda Stiglers .
ccm mwaka huu mtauana.Vichawa vya makamba mna tabu
Ujinga wa Dotto ulikuwa nini mkuuchinembe kichwani mwake kajaza mavi badala ya ubongo, hivyo mavi yamegawanyika ktk sehemu mengine magumu mengine laini, yake magumu yakichachamaa akili ina mruka. January ni muadilifu sana na nina mtetea kwa 100%. Tatizo lilianzia kwa Mama, hakupaswa kumtoa Kalemani kwa vijembe, alipaswa January ampeleke wizara nyigine au angemhamisha tu Kalemani kama alivyofanya kwa Dotto (hili jamaa lilikuwa jinga sana), lakini katumbuliwa wala hakuna kelele. Kwa sasa Mama akitaka aupige mwingi, January ampeleke Ikulu kama kipindi cha JK na wizara ya Nishati amtoe hata mtu toka Zanzibar ambaye kabisa watu hawamjui. Tena angeweza hata kumteua Mh. Jamal Kassim, former finance minister.
Bajeti ya ujenzi wa Stiglers haizidi trilioni 6 wewe hizo 20 umezitoa wapi??