Toa jibu....tuko 3 tumechanga kumi kumi tukapata 30.tukanunua chakula cha 25.tukapata chenji ya 5.tukagawana moja moja zikabaki mbili.hizo mbili tukatoa zawadi kwa muhudumu.
SWALI:Tulitoa kumi kumi tukarudishiwa moja moja inakuwa tumetoa tisa tisa.kwa sisi watatu jumla inakuwa 27 ukijumlisha na ile mbili tuliyotoa zawadi kwa muhudumu inakuwa 29.MOJA IKO WAPI KUFANYA 30.
SWALI:Tulitoa kumi kumi tukarudishiwa moja moja inakuwa tumetoa tisa tisa.kwa sisi watatu jumla inakuwa 27 ukijumlisha na ile mbili tuliyotoa zawadi kwa muhudumu inakuwa 29.MOJA IKO WAPI KUFANYA 30.