Mbona ka mchezo ka jamaa nimekagundua kiurahis yaani hilo jibu unalolipata anatenga namba mbili mbili kwa kutokea kulia then anatoa 5 kulia kushoto ana toa2,mfano yule 1017 ukitoa 2 kwny 10 unapata 8,na 5 kwny 17 unapata 12 there4 kushoto n mwez na kulia n tarehe. hata yule 306 ametoa 5 kwny 06 na 2 kwny 3. ko ukitaka na wewe jaribu kwa mwez wako.
N.B:USIFANYE KWA MAGAZIJUTO
1-chukua mwezi uliozaliwa kisha zidisha kwa 5
2-chukua jibu ulilolipata kisha jumlisha na 7
3-zidisha kwa 4 katika jibu ulilolipata
4-jumlisha kwa 13 katika jibu ulilolipta
5-zidisha kwa 5 katika jibu ulilolipata
6-jumlisha trh yako ya kuzaliwa kwenye jibu ulilolipata
comment jibu lako la mwisho ulilolipata zen utatajiwa trh yako na mwezi uliozaliwa
Mimi sijui mwaka wala mwezi niliozaliwa je nifanyeje?N.B:USIFANYE KWA MAGAZIJUTO
1-chukua mwezi uliozaliwa kisha zidisha kwa 5
2-chukua jibu ulilolipata kisha jumlisha na 7
3-zidisha kwa 4 katika jibu ulilolipata
4-jumlisha kwa 13 katika jibu ulilolipta
5-zidisha kwa 5 katika jibu ulilolipata
6-jumlisha trh yako ya kuzaliwa kwenye jibu ulilolipata
comment jibu lako la mwisho ulilolipata zen utatajiwa trh yako na mwezi uliozaliwa
hii formula iweke wazi, upewe tuzo, mkuu
Ni kweli, huyu jamaa alitaka kujifanya mtabiri kizembe zembe hapa.
nimepata 1018
Nimepata 1122
[emoji56][emoji56][emoji56]Mbona ka mchezo ka jamaa nimekagundua kiurahis yaani hilo jibu unalolipata anatenga namba mbili mbili kwa kutokea kulia then anatoa 5 kulia kushoto ana toa2,mfano yule 1017 ukitoa 2 kwny 10 unapata 8,na 5 kwny 17 unapata 12 there4 kushoto n mwez na kulia n tarehe. hata yule 306 ametoa 5 kwny 06 na 2 kwny 3. ko ukitaka na wewe jaribu kwa mwez wako.
Kwanini unatoa 2 na 5 ?N.B: USIFANYE KWA MAGAZIJUTO;
1- Chukua mwezi uliozaliwa kisha zidisha kwa 5
2- Chukua jibu ulilolipata kisha jumlisha na 7
3- Zidisha kwa 4 katika jibu ulilolipata
4- Jumlisha kwa 13 katika jibu ulilolipta
5- Zidisha kwa 5 katika jibu ulilolipata
6- Jumlisha trh yako ya kuzaliwa kwenye jibu ulilolipata..
Comment jibu lako la mwisho ulilolipata zen utatajiwa trh yako na mwezi uliozaliwa..
duh.. huyu anabahati mbayaFebruary 28