Haya maneno yako sio mapya sana kwangu, hata wabunge walipewa maneno ya kuambiwa Wanafikiria kwa Makalio, hivyo yana hadhi yake [emoji2] [emoji2] shukranikajikatie rufaa mwenyewe maana wenzio wanafikiri kwa kutumia kichwa wwe akili zako ziliwekwa kwenye makalio
LadyAj nitumie namba yako ya simu inbox ili unishawishi nikuombee msamaha kwa wana.. la sivyo utamaliza povu mwilini kwa jinsi wana walivyo panic kwa kauli zako..Mimi ni mtoto wa watu, ni mama wa watu, ni mke wa mtu, ni dada wa watu, ni rafiki wa watu, ni adui wa watu, najua imekua ngumu sana kuishi na ukampendeza kila mtu, na haiwezekani kumpendeza kila mtu, hivyo sishangai na wala sishtuki na kuto kupendezwa kwako
After all huu mjadara nilishafunga mbona?! Kuna mtu alinitaka niombe radhi nikafanya hivyo sasa unataka nifanye nini ili kifuu tundu ufurahi? Hebu nipumzishe kilichotoka kimetoka wala hakirudi nyuma, endelea kuumia ukizidiwa tukutane hospital
Fungua duka ntakuja kua sanamu free of chargeYani hzo sifa zote unazojipa hazikukustahili heri ungekua sanamu tu za kwenye maduka ya nguo kuliko hyo pumzi kupewa mtu mpuuzi kama wwe
Hiyo ya namba haitotokea, lakini pia ya msamaha si lazima nilifanya kwa heshma na maneno yao hayanisumbui saana maana hao wote kwangu si lolote si chochote hawaninyimi usingiziLadyAj nitumie namba yako ya simu inbox ili unishawishi nikuombee msamaha kwa wana.. la sivyo utamaliza povu mwilini kwa jinsi wana walivyo panic kwa kauli zako..
Najua umeolewa.. ila rukhsa kunipangia muda wa kupiga..
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] sawa shemejiNmeishia hapa jichanganye tena
Hahaa..watu type yako wenye maneno kama haya ukifika kwake/kwao utacheka mpaka ufe hata hayo matandiko ya mbwa huna..Hivi haya nayo ni magodoroo au matandiko ya mbwa?
Njoo siku moja ,kuja hapa water front working days saa 10 jioni then ni Pm tutoke twende wote nyumbani, njoo hata LeoHahaa..watu type yako wenye maneno kama haya ukifika kwake/kwao utacheka mpaka ufe hata hayo matandiko ya mbwa huna..
Wana rukhsa kuendelea kuharibu.. mkausheni povu shemeji yenu mpaka aliyejitwisha zigo ajione alibugi..Hiyo ya namba haitotokea, lakini pia ya msamaha si lazima nilifanya kwa heshma na maneno yao hayanisumbui saana maana hao wote kwangu si lolote si chochote hawaninyimi usingizi
Haya kaka, tunakuja ukatuonyeshe kwa shemeji..Njoo siku moja ,kuja hapa water front working days saa 10 jioni then ni Pm tutoke twende wote nyumbani, njoo hata Leo
Hahahaa haki ya Mungu hahahaWana rukhsa kuendelea kuharibu.. mkausheni povu shemeji yenu mpaka aliyejitwisha zigo ajione alibugi..
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]LadyAj nitumie namba yako ya simu inbox ili unishawishi nikuombee msamaha kwa wana.. la sivyo utamaliza povu mwilini kwa jinsi wana walivyo panic kwa kauli zako..
Najua umeolewa.. ila rukhsa kunipangia muda wa kupiga..
Kwetu ni Alhamdullilah, Subalkheir shemejiSijapata kuona tangazo lenye kiwango kama hili
Yaani hili tangazo ni ISO Certified.
Heshima yako mleta mada umetisha kaka[emoji23] [emoji23]
Habari yako ladyAJ
Pamoja sana kaka..Sijapata kuona tangazo lenye kiwango kama hili
Yaani hili tangazo ni ISO Certified.
Heshima yako mleta mada umetisha kaka[emoji23] [emoji23]
Habari yako ladyAJ
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Njoo siku moja ,kuja hapa water front working days saa 10 jioni then ni Pm tutoke twende wote nyumbani, njoo hata Leo
Kumbe eeh[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Binadamu bhana
Mungu akimpa riziki anaona kama wenzake wapumbavu ndo maana hawana.
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Kumbe eeh
Basi sawa[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
LadyAJ dunia haina mwenyewe kua mpole
Wakati mwingine ukikaa kimya watu watahisi una busara kumbe sivyo.