INAUZWA Magodoro mawili 5×6 yanauzwa..

Alafu ikusaidie nn hiyo picha? Pigana na maisha ulale pazuri usipigane na umbea, mkiambiwa ukweli mnakasirika ila hilo sio godoro la kujisifu hata kidogo cha kukushauri kamuuzie fundi sofa alikatekate atengenezee viti
Kwani nilipoweka ili tangazo nilisema mafundi sofa siwataki?!.. au wao jf haiwahusu?!.. au labda nilitaja jina lak0?!..shosti pumuu..
 
Ulichoandika, hakimpendezi MUNGU wala binadamu wenzako. Muombe jamaa mwenye magodoro yake msamaha.
Tujifunze kuwapenda ,kuwaheshimu na kuwathamini wenzetu
Mbona mengi tu tunayafanya hayampendezj Mungu !! Ikiwamo kusema kinyume cha kile moyo wako waamini na bahati nzuri nimempa ushauri awapitishie mafundi sofa,sasa sijui wewe ulitaka nimwambieje
 
Acha dharau wee kima.
Halafu watu wenye uwezo huwa hawana mashauzi ya kishamba.
Wee kama sio hausigeli sijui.
Uwezo wa kulalia dhahabu sina ila hali ngumu ya kulalia chaga pia sina hicho tu ndicho ninachomshukuru M/Mungu
 
tatizo la kununua magodoro yaliyotumika huwa unayanunua na laana zake zote
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…