Pumuuuuu[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji108] [emoji108] ubuyuuuKwani nilipoweka ili tangazo nilisema mafundi sofa siwataki?!.. au wao jf haiwahusu?!.. au labda nilitaja jina lak0?!..shosti pumuu..
Wewe the Bleiz acha kutudharau bhanaa sisi mshausigeli tumekosa nn hapoo[emoji4] [emoji4]Acha dharau wee kima.
Halafu watu wenye uwezo huwa hawana mashauzi ya kishamba.
Wee kama sio hausigeli sijui.
AhsanteerVipi ma Mkwe ushamtimua? Ila mke mwenzio aliezaa na mmeo kakuzidi sifa za kuwa mke ila ulipata bahati ya kuolewa kama sio matumizi ya ufundi ndumba
[emoji23] [emoji23]Hivi kuna mahali nimeandika nataka kuuza haraka enhee!..
Hahahaaaaa yeuwiiiio mbavu zanguuWewe ni MPUMBAVU.
Ndio maana umekubali kuolewa na mwanamme mwenye mtoto na mwanamke mwingine wakati huyo mtoto humpendi, tena huishi nae. Ungeishi nae huyo mtoto ungemuua wewe.Yani mama mkwe kumuongelea mjukuu wake ilikua inakukera hivyo.
Na ushukuru huyo mwanamme kakuoa kakusitiri ungekua hujaolewa wewe.
Narudia tena wewe ni MPUMBAVU.
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] yekuuuukuuu Leo nitakufaa daaa kidogo na machungu yanapunguaNa yeye alikuwa anapendaga kujiita lady hivyo hivyo ingawa alikuwa na nyonga ya kiume..
acha dharau ndugu hiii duniaHivi haya nayo ni magodoroo au matandiko ya mbwa?
SaaanaFull vichekesho.
Jibu la hekimaUkishanunua sitokupangia matumizi.. unaweza hata kuwalazia mbwa.. ni uamuzi wako ndugu..
Binafsi nayalalia mwenyewe.
Nami sijapenda, hakuna mtanzania mwenye jeuri hii[emoji116] [emoji116] [emoji116] [emoji116]Lugha yako sio mzuri sie wengine tunalalia mkeka nimeumia sana na kauli yako.
Hivi haya nayo ni magodoroo au matandiko ya mbwa?
Kwa majibu yako natamani ningekuwa jirani ningekuungishaHakika una busara nimependa ustaarabu wako
Mkaushieni huyu jamaa.. mkiendelea kumlaumu mtakuwa mnakufuru Mungu.. hata yeye pamoja na ubongo wake ameumbwa na Mungu huyu huyu ambaye wote tunamwabudu..
Sijasema magodoro ni ya mdogo wangu... ni yangu ila yalikuwa yanatumiwa na mdogo wangu.
Binafsi bado sijaona ubaya wa magodoro hayo ndo maana nimethubutu kuyanadi hadharani.
Nauza magodoro, kitanda, meza ya kioo na majaba ya maji ili nirudishe chumba kimoja nibaki na viwili kwa vile sasa naishi peke yangu hivyo sihitaji kuzungukwa na vitu vingi.. jiko la gesi na mtungi mkubwa nilishauza wiki mbili zilizopita.. hivyo dadangu lady Aj nisamehe kama nimekuchefua..ila naomba unitumie namba yako ya simu ili siku nyingine kabla sijaweka tangazo la biashara jf.. nikupigie tu-discuss kwanza ili nisikuchefue tena.
Taabu kweli kweli, tunaponzwa na miiliEti huyu naye ni mke wa mtu!!!
Juzi kaja na uzi kule MMU akimshtumu mama mkwe wake.
Wanaume tuwe makini kwa kweli kwenye kuoa, namhurumia mwanaume mwenzangu aliyemuoa huyu.
huyu dada nahisi ndoa yake haiko poa
Msameheni ana stress za mama mkwe na mmewe kavunjika mguuHalafu katakuwa kamelambwa sana na wana au kameolewa na alternative ndo maana kanadhani kila mwanaume ni adui yake..
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Hee.. kumbe shemela nae yuko humuhumu!!..
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Vipi ma Mkwe ushamtimua? Ila mke mwenzio aliezaa na mmeo kakuzidi sifa za kuwa mke ila ulipata bahati ya kuolewa kama sio matumizi ya ufundi ndumba
Kwa jibu hili, kweli nimeani necta walikuonea kwa kuchanganya vyeti vyako. 100 likes.Ukishanunua sitokupangia matumizi.. unaweza hata kuwalazia mbwa.. ni uamuzi wako ndugu..
Binafsi nayalalia mwenyewe.
Kila nikisoma hii coment lazima nichekeHalafu katakuwa kamelambwa sana na wana au kameolewa na alternative ndo maana kanadhani kila mwanaume ni adui yake..