INAUZWA Magodoro mawili 5×6 yanauzwa..

Acha dharau wee kima.
Halafu watu wenye uwezo huwa hawana mashauzi ya kishamba.
Wee kama sio hausigeli sijui.
Wewe the Bleiz acha kutudharau bhanaa sisi mshausigeli tumekosa nn hapoo[emoji4] [emoji4]
 
Hahahaaaaa yeuwiiiio mbavu zanguu
 
Na yeye alikuwa anapendaga kujiita lady hivyo hivyo ingawa alikuwa na nyonga ya kiume..
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] yekuuuukuuu Leo nitakufaa daaa kidogo na machungu yanapungua

Ya wadogo zetuu
 
Lugha yako sio mzuri sie wengine tunalalia mkeka nimeumia sana na kauli yako.
Nami sijapenda, hakuna mtanzania mwenye jeuri hii[emoji116] [emoji116] [emoji116] [emoji116]
Kama umefanikiwa nduguzo bado hohehahe na huna jeuri ya majibu haya...
Acha mamamkwe aendelee kukutesa
Hivi haya nayo ni magodoroo au matandiko ya mbwa?
 

Mkuu fanya kitu kimoja, yatafutie cover za bei rahisi, halafu njoo uyatangaze humu kwa ID nyingine na bei ile ile au ya zaidi.

Utashangaa yatakavyouzika haraka.

Usiuze gari ikiwa na pancha, ziba kwanza halafu ndo utangaze kuuza.
 
Eti huyu naye ni mke wa mtu!!!
Juzi kaja na uzi kule MMU akimshtumu mama mkwe wake.

Wanaume tuwe makini kwa kweli kwenye kuoa, namhurumia mwanaume mwenzangu aliyemuoa huyu.
Taabu kweli kweli, tunaponzwa na miili
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…