IKUNGURU IJIRU CHUKU
JF-Expert Member
- Feb 27, 2021
- 484
- 545
Baada ya Tamasha Hilo kwisha what is next.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Watanzania bwanaHuyu mama hana mvuto,mji hauna hamsha hamsha kabisa,zaidi wamekusanywa vijana wa boda boda tangu saa 11 asubuh,wamechoka,njaa,wanasinzia,bendera za ccm zinapepea kwenye ofisi zao tu,mji umepoa utafikiri ni ziara ya Prof Lipumba anakuja kuhutubia
Umewahi kuona mwigizaji anaushungi?mzee hii ni Royal Tour..
Sijapewa mwalikoau ungeenda wewe mkuu unaonaje?
Wana issue gani hao na wakati ni wana CCM tupu?Mkuu ujue kuna Ma - chifu na watemi wa Tanzania yote
Tozo ziendelee..Nawasalimu kwa jamhuri ya muungano wa tanzania.....
Hii Royal tour ni ujinga wa dhahiri na dharau kwa wananchi wake.
Hakuna mtalii atakuja kwenye ugaidi
Kutumbua pesa ya ummaHalafu baada ya hapa.
Unajua gharama za kumzungusha huyu maza wiki 2?ndugu hata kama una chuki na mtu lakini angalia kuna watu wananufaika na watanufaika na hii kazi mama anafanya wale wanaoongoza watalii idadi ikiongezeka watanufaika sana mmoja mmoja na taifa kwa ujumla wake kila mtu anamapungufu yake lakini kila mtu anamchango kwa taifa hiki anachokifanya kinamanufaa zaidi kuliko hasara unayoiona