Magu, Mwanza: Rais Samia ashiriki Tamasha la Utamaduni, Mila na Desturi za Tanzania, atawazwa kuwa Chifu wa Machifu

Huyu mama kafika mbuga ya serengeti kweli? Ama ROYAL TOUR ndio imeisha hivyo? Kwa kuhudhuria tamasha uchwara na cabinet yake..
 
Watanzania bwana
 
Naona kama Hotuba ata shughuli za Mama kama vile watu hawavutiwi nazo!
 
Tumaini la wanyonge kwamba ipo Serikali, Aliandika Teobard Mvungi
 
Mama kama yatima tu, hana mvuto kwa wananchi..
 
Unajua gharama za kumzungusha huyu maza wiki 2?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…