DOKEZO Magu S/Msingi: Biashara kazini saa za kazi kwa walimu

Hili ni dokezo maalum toka kwa mwananchi mtumiaji wa JF mwenye nia ya kuusaidia umma kuwa na taarifa 'maalum'
Walimu hawajawahi pendana, hivi mbona Traffic Police hawaoneani wivu na kila mmoja kila siku anatoka 🫠😁?
 
Watakuambia una wivu,majungu roho mbaya nk. ila ni hao hao wanaolaumu matokeo yakiwa mabaya.

Ila kwenye picha hapo umeharibu,walimu nao ni wazazi wanategemewa
 
Adui wa mwalimu ni mwalimu mwenyewe. Watu wanauza tembo na twiga huko huyu anauza bagia unakuja kulopoka humu. Naomba serikali itoe matumizi sahihi ya vishikwambi Kwa walimu la sivyo tutegemee shida kubwa.
 
Walimu wakichongea walimu wenzao
 
Hii kada ina anandamwa sana, wakipost kulalamika kuhusu adha za mikopo wanapopolewa kuwa wasitegemee ajira, wakianzisha shughuri za kujiajiri wanapopolewa tena. Poleni sana walimu.
 
Hii kada ina anandamwa sana, wakipost kulalamika kuhusu adha za mikopo wanapopolewa kuwa wasitegemee ajira, wakianzisha shughuri za kujiajiri wanapopolewa tena. Poleni sana walimu.
Halafu ni wao Kwa wao, anampiga pic mwalimu mwenzie
 
Kada ya ualimu ina laana!! Imagine mleta mada ni mwalimu!! Hapo umeshiba harage unajamba huku umekamatia shikwambi lako unabeua tuu upuuzi! Kwenye uzi umejumuisha mambo yasiyoendana na heading yako ili kutema tu sumu!!

Imagine alitchukua video ya mwalimu wa kagera ni mwalimu mwenzake!!

Una laana na utakufa kifukara sana mchawi mkubwa wewe.
 
Huu ni wivu au uzalendo?
Anyway mkuu, wacha kiherehere, maisha ya walim n magum, waache watafte rizki.
Hata wewe ungekua unapata vijisenti kdg usingekua na makelele kias hiki.
Utoto yaani kupiga picha na kurecord wary nayo imekuwa fasheni tuna taifa la wapumbavu Sana kwa sasa!!
 
Ukisikia kijiba cha roho ndiyo hiki.
 
Kwa Walimu kushiriki wizi wa kura 2020 acha wapigwe na jua la dhik.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…