Magufuli 2015-2020: Matarajio ya uchumi na changamoto zake

Magufuli 2015-2020: Matarajio ya uchumi na changamoto zake

Kubali tu ulikosea, uliuvaa mkenge. Lengo lako ni exaggeration lakini hapo umelewa mwenyewe.





View attachment 454128


Gunia la mahindi December 2, 2015 kutokana na Takwimu hizo.
Average minimum 60,500/- na average maximum price 67,750/-.
Bei ya juu Morogoro na Mwanza (85,000)
Bei ya chini ni Songea (47,000/-).

Kwa kuwa utasema hizi ni data za kupikwa, nakuwekea clip ya wakaazi wa Mbeya wakihojiwa kuhusu bei za vyakula



Angalia 8:17 mpaka 8:44 uone trend ya bei ya mahindi, na ufananishe takwimu za idara ya masoko na wakaazi wa Mbeya kuhusu bei ya mahindi (hiyo ilikuwa may 2016).

Pia,

Wednesday, January 23, 2013
Serikali yatangaza bei mpya ya unga Dar

Serikali yatangaza bei mpya ya unga Dar

Hiyo ni link kama unataka kuhakikisha kuwa mwaka 2013 January (actually from Dec. 2012) bei ya unga wa mahindi ilikuwa 1500/- kwa kilo. Ikapunguzwa baada ya tangazo hilo mpaka kufikia 900/-.



Hakuna cha bias! Hizi takwimu zikionyesha hali mbaya huwa mnazikumbatia sana.

Na kwa kuonyesha jinsi ulivyo muongo na mbabaishaji rejea post yako #10 kwenye uzi huuhuu ambapo umejadili inflation kwa kutumia figures hizi hizi za NBS ukidai kwamba inflation inayotakiwa tuifuate ni ya vyakula (11% from jan 2015 to jan 2016).




Sasa hapo huoni kama unajimix mwenyewe???

Kuhusu hivyo vitakwimu uchwara vya Zitto kabwe eti kuna nafaka za siku nane .. hebu jiulize mwenyewe kama mwaka jana October kulikuwa na 254,000 tonnes na mpaka October 2016 kulikuwa na 90,000 tonnes. Is 90,000 one eighth (13%) ya 254,000? Ninavyojua mimi ni one third (35%).

Pili jiulize, amejuaje kuwa tani 90,000 za mahindi zinatosha siku nane? Na tani 254,000 zinatosha miezi miwili(61 days)?

Kuhusu wewe kubishana na mimi mambo ya kisiasa ...... pshht! Please mayn!


Takwimu zako ni zile zile ambazo i have questioned na kujaribu sana kukuamsha kutoka kwenye usingizi pono wa msukule kwamba thats not the 'absolute truth'. Swali lako kuhusu national reserve ya chakula linaonyesha jinsi gani you are ignorant on these issues but also jinsi gani unatumika kama msukule kusafisha visivyo safishika.

Majibu kwa swali lako lipo mdomoni mwa Waziri mwenye dhamana ya Kilimo (Chizeba) ambaye juzi ametamka rasmi kwamba akiba ya chakula iliyopo inaweza lisha taifa kwa siku saba tu incase of emergency? Sasa with your ignorance, endelea kupiga mahesabu ya 61 days, 91 days as if we are here to discuss maturity of treasury bills. Bei reflects supply and demand, i hope your ignorance self will realise that by now. You are definitely confused. Usiwe unaparamia mambo tu kuhalalisha ujira wako. Nenda kule jukwaa la siasa kwa akina MsemajiUkweli, Ritz, Lizaboni, na viongozi wako wengine humu mkapige siasa. GT sio jukwaa la siasa.

Anachosema Waziri Chiseza is very much in line with my earlier concern kwamba takwimu kuhusu akiba ya taifa ya chakula na hata food inflation zimejaa ulakini kuliko ukweli. Natarajia urudi na spinning juu ya alichokisema Waziri. Mtumbueni maana anasema ukweli ambao always ni mchungu kwa genge lililopo Lumumba.

Kwa mtu ambae anafuatilia mjadala huu objectively, taarifa ya Waziri kwa kiasi kikubwa inafanya sehemu kubwa ya takwimu zako na mijadala yako yote ielekee nyumbani kwake - kwenye choo cha shimo. The fact remains kwamba theres food insecurity inayonyemelea taifa, na muda sio mrefu uhalisia utajitokeza katika mfumuko mkubwa wa bei za vyakula (of which i have always maintained kwamba takwimu released haziakisi uhalisia). Muda sio mrefu wananchi wengi wataanza kufa njaa, lakini kwa vile CCM has always survived kwa exploitation ya mkulima kwa mfumo ule ule wa kikoloni, you will care less.

-Tayari Longido (ITV news @8PM, 3/1/2017) tumesikia wananchi hawana chakula na badala yake wameamua kubadilishana mbuzi la beberu kwa debe moja la mahindi. Lakini pamoja na kupata hayo mahindi, bado wanakosa fedha za kwenda kusaga wapate sembe kwa ajili ya kusonga ugali kwa sababu hakuna fedha katika mzunguko.
-Nadhani pia umesikia kuna mikoa wananchi wameanza kushindia wadudu kama mlo.
-Pia huko Morogoro ambapo ni moja ya food baskets za taifa, leo ukibeba mfuko wa mahindi kurudi nao mjini baada ya Xmas na Mwaka mpya, njia nzima unakodolewa macho.
-Pia nadhani unakumbuka Rais alilazimika kutembelea magereza mwezi November Mwaka jana na moja ya concerns zake ni kwamba food reserve ya taifa inakuputika and his estimation, wafungwa ndio wanaomaliza akiba hiyo, wanadoea vya bure, wafanye kazi ya kuzalisha chakula chao wenyewe. Inasemekana wafungwa wengi wanaachiwa huru kama njia ya kutanua national food reserve. What a deficit in policy making!
-Mwisho nadhani unakumbuka wakuu wa wilaya (makada wenu Lumumba) walionywa kwamba asisikike hata mmoja akilalamika wananchi wake wana njaa. Kwa vile wapo kutetea matumbo yao, most likely wengi watakuwa na taarifa juu ya njaa na pengine hata vifo vitokanavyo ba uhaba wa chakula lakini hawawezi kusema ukweli kuogopa kutumbuliwa, na badala yake kuwaletea vitakwimu ambavyo mnatembea navyo humu and elsewhere vifua mbele kwamba thats the absolute truth.

Inasikitisha sana.
 
Takwimu zako ni zile zile ambazo i have questioned na kujaribu sana kukuamsha kutoka kwenye usingizi pono wa msukule kwamba thats not the 'absolute truth'.
Siyo takwimu zangu, nimekuwekea mpaka video za watu wakihojiwa mitaani kuhusyu bei za mazao, na wanavyosema ni sawa na takwimu hizo. Na nimekupa mpaka link ya habari.
Najua hapo umeshaelewa.

Swali lako kuhusu national reserve ya chakula linaonyesha jinsi gani you are ignorant on these issues but also jinsi gani unatumika kama msukule kusafisha visivyo safishika.

Majibu kwa swali lako lipo mdomoni mwa Waziri mwenye dhamana ya Kilimo (Chizeba) ambaye juzi ametamka rasmi kwamba akiba ya chakula iliyopo inaweza lisha taifa kwa siku saba tu incase of emergency? Sasa with your ignorance, endelea kupiga mahesabu ya 61 days, 91 days as if we are here to discuss maturity of treasury bills. Bei reflects supply and demand, i hope your ignorance self will realise that by now. You are definitely confused. Usiwe unaparamia mambo tu kuhalalisha ujira wako. Nenda kule jukwaa la siasa kwa akina MsemajiUkweli, Ritz, Lizaboni, na viongozi wako wengine humu mkapige siasa. GT sio jukwaa la siasa.

Anachosema Waziri Chiseza is very much in line with my earlier concern kwamba takwimu kuhusu akiba ya taifa ya chakula na hata food inflation zimejaa ulakini kuliko ukweli. Natarajia urudi na spinning juu ya alichokisema Waziri. Mtumbueni maana anasema ukweli ambao always ni mchungu kwa genge lililopo Lumumba.

mimi nakupa sehemu ya hiyo habari,


Jan 04, 2017

"Wakati Mbunge wa Kigoma Mjini (ACT-Wazalendo), Zitto Kabwe akidai kuwa hali ya chakula nchini siyo nzuri kutokana na uhifadhi mbaya, Serikali imesema hali ni shwari licha ya baadhi ya maeneo kutopata mvua za wastani.

Zitto alidai jana kuwa Ghala la Taifa la Chakula (SGR) lina hifadhi ya chakula kinachotosha kwa siku nane tu wakati Novemba 2015 kulikuwa na chakula cha kutosha miezi miwili.


Kwa mujibu wa Zitto, taarifa ya Benki Kuu ya Tanzania (BoT) ya Novemba inaonyesha kuwa Mamlaka ya Taifa ya Hifadhi ya Chakula (NFRA), imebaki na tani 90,476 tu za chakula ambacho amedai ni cha kutosholeza siku nane.


Hata hivyo, Waziri wa Kilimo, Mifugo na Uvuvi, Dk Charles Tizeba alijibu madai hayo ya Zitto akisema nchi ina chakula cha kutosha wala siyo cha siku nane wala mwezi pekee, bali zaidi.

Dk Tizeba alisema NFRA inakuwa na akiba ndogo kwa kuwa mwaka 2016 ndiyo ambao nchi ilipata mavuno makubwa ya tani milioni 16 ambazo hazikuwahi kutokea, hivyo maghala ya watu bado yana akiba kubwa ya chakula hivyo wakala haukununua chakula kingi."

Sasa wewe si utuwekee aliposema siku saba?


Kwa mtu ambae anafuatilia mjadala huu objectively, taarifa ya Waziri kwa kiasi kikubwa inafanya sehemu kubwa ya takwimu zako na mijadala yako yote ielekee nyumbani kwake - kwenye choo cha shimo. The fact remains kwamba theres food insecurity inayonyemelea taifa, na muda sio mrefu uhalisia utajitokeza katika mfumuko mkubwa wa bei za vyakula (of which i have always maintained kwamba takwimu released haziakisi uhalisia). Muda sio mrefu wananchi wengi wataanza kufa njaa, lakini kwa vile CCM has always survived kwa exploitation ya mkulima kwa mfumo ule ule wa kikoloni, you will care less.

-Tayari Longido (ITV news @8PM, 3/1/2017) tumesikia wananchi hawana chakula na badala yake wameamua kubadilishana mbuzi la beberu kwa debe moja la mahindi. Lakini pamoja na kupata hayo mahindi, bado wanakosa fedha za kwenda kusaga wapate sembe kwa ajili ya kusonga ugali kwa sababu hakuna fedha katika mzunguko.
-Nadhani pia umesikia kuna mikoa wananchi wameanza kushindia wadudu kama mlo.

Kwanini uuze mbuzi kwa debe la mahindi? Hiyo ni akili kweli? Kwanini unaona habari kama hizi zinal maana?

-Pia huko Morogoro ambapo ni moja ya food baskets za taifa, leo ukibeba mfuko wa mahindi kurudi nao mjini baada ya Xmas na Mwaka mpya, njia nzima unakodolewa macho.

Labda mwenzetu hujui bei za vyakula Tanzania. Haijawahi kutokea Morogoro ikawa na bei pungufu ya mahindi Zaidi ya Dar. Muulize mfanyabiashara yeyote. Morogoro mahindi ni expensive siku zote.
Na hayo mambo ya kukodolewa macho njia nzima inaonyesha jinsi ulivyo looney.


-Pia nadhani unakumbuka Rais alilazimika kutembelea magereza mwezi November Mwaka jana na moja ya concerns zake ni kwamba food reserve ya taifa inakuputika and his estimation, wafungwa ndio wanaomaliza akiba hiyo, wanadoea vya bure, wafanye kazi ya kuzalisha chakula chao wenyewe. Inasemekana wafungwa wengi wanaachiwa huru kama njia ya kutanua national food reserve. What a deficit in policy making!

Kutembelea magereza au ziara ya kushtukiza UKONGA? Na akawapa 10bn za kujenga flats na zimeshaanza kujengwa?
Mbona unapenda ku-exagerrate mambo? Nakuwekea video ya aliyoyasema na hakuna mahali aliposema food reserve inapukutika. Inasemekana na nani kuwa wafungwa wanaachiwa? Acha uongo!



-Mwisho nadhani unakumbuka wakuu wa wilaya (makada wenu Lumumba) walionywa kwamba asisikike hata mmoja akilalamika wananchi wake wana njaa. Kwa vile wapo kutetea matumbo yao, most likely wengi watakuwa na taarifa juu ya njaa na pengine hata vifo vitokanavyo ba uhaba wa chakula lakini hawawezi kusema ukweli kuogopa kutumbuliwa, na badala yake kuwaletea vitakwimu ambavyo mnatembea navyo humu and elsewhere vifua mbele kwamba thats the absolute truth.

Inasikitisha sana.
Hehe, hizo taarifa si zingetolewa?
Labda nikwambie tu kuwa uhaba wa chakula si jambo geni na linaweza kutokea popote duniani wakati wowote. Na ukiamua kuilaumu serikali Fulani, kuhusu uhaba wa chakula uwe na sababu.

Nimekuonyesha kuwa takwimu hizi ndiyo prophets of doom wenzako kama Zitto Kabwe huzitumia. Kwani yeye ametumia takwimu gani kama siyo za BOT? Na wewe mwenyewe umenasa kwenye ulimbo na kuzitumia hizohizo na kuleta habari zako za vijiwe vya kangara talking about eight days.

You are funny dude!
 
Kwa mtu yeyote makini anayesoma hoja ya msingi katika mabandiko ya awali, hakuna siasa humo bali ni mjadala wa uchumi ambao unajikita katika kuangalia maendeleo ya uchumi mpana (macro) na athari zake katika uchumi wa households and firms (micro). Binafsi nimekuwa napata messages nyingi inbox kutoka kwa baadhi ya makada wenzako wa Lumumba wanaotazama mambo objectively wakisema kwamba kuna mengi sana ya msingi nimejadili na yanatakiwa kufanyiwa kazi.
Uliyoyasema hapo Bw. Mchunguzi ni kweli iliyoandikwa kwa wino wa dhahabu!
 
Siyo takwimu zangu, nimekuwekea mpaka video za watu wakihojiwa mitaani kuhusyu bei za mazao, na wanavyosema ni sawa na takwimu hizo. Na nimekupa mpaka link ya habari.
Najua hapo umeshaelewa.



mimi nakupa sehemu ya hiyo habari,


Jan 04, 2017

"Wakati Mbunge wa Kigoma Mjini (ACT-Wazalendo), Zitto Kabwe akidai kuwa hali ya chakula nchini siyo nzuri kutokana na uhifadhi mbaya, Serikali imesema hali ni shwari licha ya baadhi ya maeneo kutopata mvua za wastani.

Zitto alidai jana kuwa Ghala la Taifa la Chakula (SGR) lina hifadhi ya chakula kinachotosha kwa siku nane tu wakati Novemba 2015 kulikuwa na chakula cha kutosha miezi miwili.


Kwa mujibu wa Zitto, taarifa ya Benki Kuu ya Tanzania (BoT) ya Novemba inaonyesha kuwa Mamlaka ya Taifa ya Hifadhi ya Chakula (NFRA), imebaki na tani 90,476 tu za chakula ambacho amedai ni cha kutosholeza siku nane.


Hata hivyo, Waziri wa Kilimo, Mifugo na Uvuvi, Dk Charles Tizeba alijibu madai hayo ya Zitto akisema nchi ina chakula cha kutosha wala siyo cha siku nane wala mwezi pekee, bali zaidi.

Dk Tizeba alisema NFRA inakuwa na akiba ndogo kwa kuwa mwaka 2016 ndiyo ambao nchi ilipata mavuno makubwa ya tani milioni 16 ambazo hazikuwahi kutokea, hivyo maghala ya watu bado yana akiba kubwa ya chakula hivyo wakala haukununua chakula kingi."

Sasa wewe si utuwekee aliposema siku saba?




Kwanini uuze mbuzi kwa debe la mahindi? Hiyo ni akili kweli? Kwanini unaona habari kama hizi zinal maana?



Labda mwenzetu hujui bei za vyakula Tanzania. Haijawahi kutokea Morogoro ikawa na bei pungufu ya mahindi Zaidi ya Dar. Muulize mfanyabiashara yeyote. Morogoro mahindi ni expensive siku zote.
Na hayo mambo ya kukodolewa macho njia nzima inaonyesha jinsi ulivyo looney.




Kutembelea magereza au ziara ya kushtukiza UKONGA? Na akawapa 10bn za kujenga flats na zimeshaanza kujengwa?
Mbona unapenda ku-exagerrate mambo? Nakuwekea video ya aliyoyasema na hakuna mahali aliposema food reserve inapukutika. Inasemekana na nani kuwa wafungwa wanaachiwa? Acha uongo!




Hehe, hizo taarifa si zingetolewa?
Labda nikwambie tu kuwa uhaba wa chakula si jambo geni na linaweza kutokea popote duniani wakati wowote. Na ukiamua kuilaumu serikali Fulani, kuhusu uhaba wa chakula uwe na sababu.

Nimekuonyesha kuwa takwimu hizi ndiyo prophets of doom wenzako kama Zitto Kabwe huzitumia. Kwani yeye ametumia takwimu gani kama siyo za BOT? Na wewe mwenyewe umenasa kwenye ulimbo na kuzitumia hizohizo na kuleta habari zako za vijiwe vya kangara talking about eight days.

You are funny dude!


Kobello,
Unanikumbusha Kobello wa kwenye gazeti la sani, alikuwa haishi vituko.

Ni sababu kama hizi ndio zinanifanya nirudie tena na tena kwamba you lack intellectual humility. Let me explain what you are expected of as an intellectual kabla sijajadili hoja zako:

Ungekuwa mtu makini na unayejituma mwenywe kutafuta ukweli badala ya kusubiri upandikiziwe ukweli kichwani kama njia ya kulipatia tumbo lako mileage, mjadala wetu ungekuwa na manufaa sana sio kwetu sisi tu bali kwa wale wote wanaofuatilia. Mtu yoyote mwenye akili timamu anaona kwa uwazi kabisa kwamba katika sakata hili, Serikali inaacha maswali mengi kuliko majibu.

Hoja kwamba akiba iliyopo NFRA inatosha kwa siku saba should have stimulated you intellectually, hasa iwapo ungekuwa unatazama mambo kwa lensi ya utaifa, ‘over and beyond partisan politics’. Unachofanya sasa ni kinyume. Na mbaya zaidi, bila ya kujijua, unashabikia maafa na njaa inayotunyemelea. Pengine haujui kwamba janga la njaa huwa halichagui dini, kabila, wala itikadi za kisiasa. Njaa huwa linalikumba ‘taifa’. Ni muhimu ukalielewa hili.

I had always assumed that you are an intellectual only to learn later that you belong to a hybrid of jesters, demagogues and ideologues.

· As an intellectual you were supposed to tell your society how it looks like at this juncture – is it CROOKED? Is it UGLY? You are stuck with ‘HANDSOMENESS’ of the regime.

· As an intellectual you were supposed to articulate the fears and hopes in your society and in the process, warn it of the impending dangers and parade it into action.

· As an intellectual, you were supposed to help your society give meaning to and read meaning into what may look as routine, obvious, and innocuous. You waste time on routine things, danganya watu kwamba yaliyopo is the absolite truth ambayo ni dhambi to question.

You have definitely failed to play that role and obviously it’s out of both – fear, selfishness, arrogance and ignorance. Taifa linaangamia, nyinyi mnatembea vifua mbele. Kwa kweli hakuna tofauti na ugonjwa wa akili!

Had you played your role as an intellectual, ungekuwa una hoji badala ya kuishi mazingira ambayo Lumumba trains you not to question even common sense issues, not allowed to analyze beyond the absolute truth inayoratibiwa vyema na Lumumba.

Tuje kwenye hoja ya Waziri:
Based on the above and based on the conclusion reached on the basis of evidence and reasoning, kimsingi Waziri Chizeba hana tatizo na hoja ya Zitto kwamba tani 90,000 zilizopo NFRA katika hali ya sasa ni kiasi kidogo mno and warrants our concern including Zitto’s. By the way, iwapo ungekuwa makini, ungekuwa na kumbukumbu kwamba suala la food insecurity, famine and food inflation looming nilijadili, way before Zitto emerged nalo. Hoja yako kwamba Zitto ndio kaniamsha ni utaratibu wako ule ule wa kutafuta kila upenyo Lumumba waone umefanikiwa kuharibu huu uzi. Trust me, unaunogesha zaidi kwa sababu hauna hoja consistent and coherent. Huu uzi haujajengwa na bandiko moja, ni muendelezo wa so many issues raised about policy deficit iliyopo katika Nyanja mbalimbali pamoja na athari zake kwa taifa. If you are not holistic in discussing the issues raised, your atomistic approach will only render you aibu.

Turudi kwa Waziri Chizeba:
Anashosimamia Waziri wa Kilimo na Chakula ni the “UNKOWN”, lakini kwa vile you lack that capacity intellectually, hauwezi kuona hilo. The unknown factor anayosimamia Waziri ni kwamba kuna Food Reserve available over and beyond kuta za NFRA – kwamba kuna chakula kingi kwenye maghala binafsi. Its only based on this ‘unknown stock’ ndio anapingana na hoja ya Zitto. He doesn’t get into details na hoja ya 90,000 tons and seven days kwa sababu kimsingi anakubaliana nayo. Anazidi kuharibu pale anapojenga hoja kwamba – had the government known of the outcome, basi ingekusanya stock from private warehouses. Haikufanya hivyo kwa sababu serikali haikuona maana. Kauli hii ilitosha kumfukuzisha kazi mara moja. And trust me, this statement will come back hard on the government down the road.

Kingine cha ajabu ni pale Waziri anaposema kwamba kuna mahindi yanachepukia Kiteto sijui wapi wakati ushahidi upo wazi kwamba mahindi kule yamekauka. Wananchi bado hatuna uhakika iwapo hali ni shwari (food security), na ni kwa kwa sababu zipi za kuridhisha. Je:

- Ni kwa sababu kuna akiba ya kutosha katika maghala binafsi ya chakula?
- Je ni kwa sababu mahindi yameanza kuchepuka na serikali inasubiri kuyavuna hayo to replenish the stock at NFRA? Iwapo kweli yapo, itayanunua kwa utaratibu ule ule wa kunyonya wakulima - hati garani with fixed amount ambayo thamani by the time wanalipwa pesa inakuwa imeshaliwa na inflation kama mchwa?

Kama mkakati ni kwenda kununua stock kutoka hayo maghala binafsi, mbona serikali haisemi yapo wapi, kiasi gani, itaenda lini na imetenga kiasi gani kwa ajili ya zoezi hilo?

Serikali inasubiri nini kufanya hivyo and do away with the mounting fear across the nation?

Tumeona Waziri Mkuu leo ameenda kutembelea NFRA, lakini kwa akili zenu hili mtaeleza wananchi kwamba its ‘routine’ (again against whats expected of intellectuals). Tumezoea serikali ya awamu ya tano ya hapa kazi tu kufanya kazi kweli kweli – lini Waziri Mkuu ataenda kuyatembelea maghala binafsi kama alivyofanya leo kule NFRA? Kwanini asingeanza na hayo maghala binafsi na badala yake akaenda NFRA? Ina maana kila siku hapati taarifa za kiusalama including state of food security?

Waziri wa Kilimo na Chakula kasema pia kwamba – “Japo siwezi taja kiasi cha chakula kilichopo kwa sababu za kiusalama…”. Hapo hapo anasema kipo chakula cha kutosha kulisha taifa kwa muda mrefu. Sasa kama kuna uhakika wa chakula/food security, hizo sababu za kiusalama za kutolifahamisha taifa ni zipi? Hakuna mantiki. Ni ushahidi tosha kwamba hakuna chakula over and beyond kuta za NFRA. That’s the bottom line.

Nizungumzie kidogo kuhusu akiba ya chakula ya siku saba:
Given all the above, as an intellectual unatakiwa uwe na mtazamo huu – iwapo taifa litakumbwa na dharura (kitaifa), iwe ni man-made, natural disasters, or combined, maana yake ni kwamba uzalishaji, uvunaji na usambazaji wa mazao ya chakula utaathirika kwa kiwango kikubwa. As an intellectual (rejea roles of intellectuals katika jamii) kuna tatizo gani kuhoji:

· Hizi 90,000 tons na ushee zitatosha kulisha taifa kwa muda gani katika mazingira husika? Hivi unajua daily food consumption ya taifa ni kiasi gani?

Nimalizie kwa kukuelimisha tu kwamba, linapokuja suala la food security katika taifa, factors kuu tatu come to play:

1. Food Availability: upatikanaji wa chakula au the amount of food that actually exists (local production and other sources).

2. Food Production Stability: absence of instability in food production as well as income caused by crop failures, loss of employment (fall of disposable income), import bottlenecks, lack of exchange etc.

3. Food Accessibility i.e. of food supplies and it includes physical, social and economic access over time.

As intellectuals we were supposed to utilize such frameworks kuchambua mambo and inform the society accordingly. You definitely not endowed with such capacity.
 
Kobello,
Unanikumbusha Kobello wa kwenye gazeti la sani, alikuwa haishi vituko.

Ni sababu kama hizi ndio zinanifanya nirudie tena na tena kwamba you lack intellectual humility. Let me explain what you are expected of as an intellectual kabla sijajadili hoja zako:

Ungekuwa mtu makini na unayejituma mwenywe kutafuta ukweli badala ya kusubiri upandikiziwe ukweli kichwani kama njia ya kulipatia tumbo lako mileage, mjadala wetu ungekuwa na manufaa sana sio kwetu sisi tu bali kwa wale wote wanaofuatilia. Mtu yoyote mwenye akili timamu anaona kwa uwazi kabisa kwamba katika sakata hili, Serikali inaacha maswali mengi kuliko majibu.

Hoja kwamba akiba iliyopo NFRA inatosha kwa siku saba should have stimulated you intellectually, hasa iwapo ungekuwa unatazama mambo kwa lensi ya utaifa, ‘over and beyond partisan politics’. Unachofanya sasa ni kinyume. Na mbaya zaidi, bila ya kujijua, unashabikia maafa na njaa inayotunyemelea. Pengine haujui kwamba janga la njaa huwa halichagui dini, kabila, wala itikadi za kisiasa. Njaa huwa linalikumba ‘taifa’. Ni muhimu ukalielewa hili.

I had always assumed that you are an intellectual only to learn later that you belong to a hybrid of jesters, demagogues and ideologues.

· As an intellectual you were supposed to tell your society how it looks like at this juncture – is it CROOKED? Is it UGLY? You are stuck with ‘HANDSOMENESS’ of the regime.

· As an intellectual you were supposed to articulate the fears and hopes in your society and in the process, warn it of the impending dangers and parade it into action.

· As an intellectual, you were supposed to help your society give meaning to and read meaning into what may look as routine, obvious, and innocuous. You waste time on routine things, danganya watu kwamba yaliyopo is the absolite truth ambayo ni dhambi to question.

You have definitely failed to play that role and obviously it’s out of both – fear, selfishness, arrogance and ignorance. Taifa linaangamia, nyinyi mnatembea vifua mbele. Kwa kweli hakuna tofauti na ugonjwa wa akili!

Had you played your role as an intellectual, ungekuwa una hoji badala ya kuishi mazingira ambayo Lumumba trains you not to question even common sense issues, not allowed to analyze beyond the absolute truth inayoratibiwa vyema na Lumumba.

Mimi nakupa facts, na natumia takwimu ambazo wewe mwenyewe unazitumia. Publications unazotumia wewe ndiyo mimi nazitumia na nimeshakupa mifano jinsi unavyojibana mwenyewe kwa kutumia takwimu unazosema zipo cooked. Why do you use them?

Mimi najua Tanzania ni nchi masikini. I live and work in a very big economy, very rich and complicated economy, so I know what it takes to sustain such a big economy for a long time.Tanzania is nothing, it's not even fair to compare the two. Even my city's budget is bigger than Tanzania. Average budget per school kid is 11,000$ vs 30$ in Tanzania.

There is nothing new that you have said, nothing to me. Ila unatumia takwimu na kuzitafsiri kisiasa na kipropaganda na mimi sitakuacha. That is my contribution.

Sitakuacha kamwe na usitegemee hilo.Nimekuexpose Kamba zako nyingi tu na sasa hivi unayeyusha umehamisha magoli mpaka kufikia mjadala wa Food reserve. Hutoki hapa you are just tip-toeing.

Tuje kwenye hoja ya Waziri:
Based on the above and based on the conclusion reached on the basis of evidence and reasoning, kimsingi Waziri Chizeba hana tatizo na hoja ya Zitto kwamba tani 90,000 zilizopo NFRA katika hali ya sasa ni kiasi kidogo mno and warrants our concern including Zitto’s. By the way, iwapo ungekuwa makini, ungekuwa na kumbukumbu kwamba suala la food insecurity, famine and food inflation looming nilijadili, way before Zitto emerged nalo. Hoja yako kwamba Zitto ndio kaniamsha ni utaratibu wako ule ule wa kutafuta kila upenyo Lumumba waone umefanikiwa kuharibu huu uzi. Trust me, unaunogesha zaidi kwa sababu hauna hoja consistent and coherent. Huu uzi haujajengwa na bandiko moja, ni muendelezo wa so many issues raised about policy deficit iliyopo katika Nyanja mbalimbali pamoja na athari zake kwa taifa. If you are not holistic in discussing the issues raised, your atomistic approach will only render you aibu.

Unaweza kuwa na hoja kwamba Kagame ni mrefu kuliko Mwinyi na ukaishia hapo. Au ukawa mnafiki na muongo na kusema kuwa Kagame ni mrefu mara sita ya Mwinyi. Hapo watu makini watakuona wewe ni muongo na una exaggerate mambo kwa nia Fulani. Hapo ndipo patapokukosesha heshima. Especially usipoelezea kwanini umesema hivyo.

Kwa hiyo hapo ulipopigia mstari hapana maana yeyote ile.

Umeteleza ulipokadiria bajeti za sekta za elimu, afya na kilimo kwa kudhani kuwa bajeti za wizara ndiyo matumizi yote ya serikali kwenye sekta hizo. Je, ulitaka tunyamaze tu?

Umeteleza kwenye deni la taifa uliposema deni la nje limeongezeka mara saba kati ya 2010 - 2016 (Rejea post #21). Je ulitaka tunyamaze?

Ulisema hivi:

Uchambuzi:
Kwa mujibu wa Medium term Term Debt Management Strategy (2010), deni la nje lilifikia TZS takribani Trilioni saba. Kufikia Mwezi June 2015, deni la nje lilifikia USD 12.1 Billion, ambayo ilikuwa ni sawa na TZS takribani 25 trillion. Na kwa mujibu wa ripoti ya Benki Kuu (February 2016), deni la nje limefikia $15.6 Billion, ambayo ni sawa na takribani TZS Trilioni 33. Kwa mwaka 2010, deni la nje lilichukua 71% ya deni lote la taifa, na kufikia June 2015, takwimu hii ilishuka kidogo na kufikia (69%). Lakini kwa mujibu wa ripoti ya (BOT), kufikia mwezi Januari 2016, deni la nje limefikia 79% ya jumla ya deni lote la taifa. Masuala muhimu matatu hapa:

- Moja ni kwamba – katika kipindi cha miaka mitano tu, deni la taifa liliongezeka kwa karibia MARA SABA.

- Pili, ndani ya miezi sita tu (June 2015 hadi December 2016), deni la taifa liliongezeka kwa $1.4 Billion, sawa na karibia TZS Trilioni Tatu.

- Tatu, deni la nje linazidi kuchukua sehemu kubwa ya jumla ya deni lote la taifa. Jamno la kutoa wasiwasi katika hili ni kwamba, tofauti na zamani ambapo sehemu kubwa ya deni la taifa ilikuwa ni concessional loans (low interest, fixed interest rate, long grace period, long maturity), ongezeko la deni la nje katika kipindi kuanzia 2009, limeambatana na vyanzo vingi vya ‘non-concessional commercial'

Deni halikuongezeka mara saba katika kipindi hicho (according to BOT).

Umeteleza kama mlenda uliposema kuwa NBS inapika data za inflation, tukasema tutafute inflation ya zao moja la mahindi na nikakupa mifano, wewe ukabaki tu kubwabwaja. Ulitaka tunyamaze? Katika hilihili umeteleza kwani ni wewe yuleyule uliyetumia inflation data za NBS kuonyesha kuna double digit inflation kwenye chakula (11%) na leo unasema 6% ni ya kupikwa? (rejea post #10)
2.3 Stabilization of the Macroeconomic environment (Uimarishaji/uthabiti wa Mazingira ya uchumi mpana wa nchi).

2.3.2 Mfumuko wa bei (Inflation)

Hiki ni kiashiria kingine muhimu cha kupima Afya ya uchumi mpana wa nchi. Swali ambalo linahitaji majibu chini ya serikali ya awamu ya tano, serikali ya “Mabadiliko” ni je, kuimarika kwa kiashiria hiki cha afya ya uchumi mpana wa “nchi” kinaleta matokeo gani kwenye uchumi wa “wananchi”


Umuhimu wa kiashiria hiki upo katika maeneo kadhaa:


Kwanza mfumuko wa bei una uhusiano wa moja kwa moja na gharama za maisha ya wananchi (purchasing power), katka kumudu mahitaji yao yanayohitaji matumizi ya fedha.

Pili, kwa kufuatilia kasi ya mfumuko wa bei (inflation rate), ni rahisi kuona ni kwa kasi gani ‘real wages’ (viwango vya mishahara baada yaku-correct for inflation) inaongezeka katika taifa. Kwa mfano, iwapo mfumuko wa bei kutoka mwaka mmoja kwenda mwingine ni 7%, real wage inapaswa kuongezeka kwa kasi kubwa kuliko ‘inflation rate’ ili angalau mwananchi husika aweze kumuda gharama za maisha angalau kwa kiwango cha awali. Kwa maana nyingine rahisi, inflation rate ikiwa ni 7% kama mfano, maana yake ni kwamba gharama za maisha zimepanda kwa 7%. Real wage ikiongezeka kwa kiasi sawa na hii 7% maana yake ni kwamba mwananchi mwenye mshahara husika ataweza kumuda maisha yale yale ya mwaka uliopita. Lakini ili maisha yake yawe bora zaidi, ongezeko la mshahara wake ni lazima liongezeke kwa kasi kuliko ‘inflation rate’ ya 7%.
Mmmmmh! really?

Ila food inflation at that time was 11%, so you were happy with (Y'all love double digit inflation, what a bunch of cowards!) So, this is what you said,


Vinginevyo holding other factors constant (Ceteris Paribus), kiwango cha mfumuko wa bei kikiwa kiatika tarakimu mbili (double digits), huwa ni ishara kwamba afya ya uchumi wa taifa sio nzuri. Na takwimu hii ikiwa katika tarakimu moja (single digit), ni ishara kwamba afya ya uchumi wa taifa ipo imara, kwa maana ya kwamba wananchi hawana haja na kuwa na wasiwasi juu ya mabadiliko ya gharama za maisha. Hii ndio sababu kuu kwanini Serikali wakati wote huwa inajitahidi kudhibiti mfumuko wa bei uwe chini ya 10%.



Kwa kipindi cha February 2015-February 2016, mfumuko wa bei (kwa wastani) ulirekodiwa kuwa karibia 6%. Kwa maana nyingine, katika kipindi husika, gharama za maisha ya mtanzania zilipanda kwa takribani 6%. Kwa wastani huu, maelezo ya kawaida ni kwamba serikali inafanya kazi yake vizuri kudhibiti mfumuko wa bei ili kuwezesha wananchi waendelee kumuda maisha yao ya kila siku.


Swali linalofuatia ni je – UHALISIA UPO VIPI?


Tukichukua ripoti ya mwezi wa pili Wastani wa mfumuko wa bei kwa kipindi cha mwisho kilichoripotiwa na serikali kupitia idara ya takwimu (NBS), wastani wa mfumuko wa bei kwa kipindi cha ‘January 2015 hadi January 2016’ ni kama 6%. Kwa wastani huu wa tarakimu moja (single digit), tafsiri ya moja kwa moja kama tulivyokwisha ona ni kwamba afya ya uchumi wa nchi ni nzuri, hivyo wananchi walio wengi kuwa katika nafasi nzuri ya kuendelea kumudu gharama za maisha kama kawaida. Lakini wastani huu huwa haielezei uhalisia wote upo vipi. Tujadili hili kidogo katika sehemu inayofuata:

Tukiachana na wastani wa mfumuko wa bei kwa katika kipindi husika 6%:

· Je hali ipo vipi katika bei ya bidhaa na huduma moja moja?

· Je, tukiangalia mfumuko wa bei katika bidhaa ambazo huchukua sehemu kubwa ya mapato ya wananchi walio wengi, tunaona nini?


Kwa mujibu wa idara ya Takwimu ya Taifa (NBS), bidhaa za vyakula na vinywaji (soft drinks) zinachukua karibia asilimia 40 ya matumizi ya kipato cha wananchi walio wengi. Kwa maana hii, mfumuko wa bei kwenye bidhaa moja moja za Vyakula ndio takwimu muhimu zaidi kwa Serikali kuithibiti ili kuhakikisha kwamba gharama za maisha kwa watanzania walio wengi haziongezeki kwa kiwango cha kutisha. Kwa mujibu wa ripoti ya Mwezi February 2016, kwa kipindi cha January 2015 hadi January 2016, mfumuko wa bei za bidhaa za chakula unaonyesha kukaribia 11%.


Kwa kigezo kwamba ‘inflation’ ikidhibitiwa ndani ya tarakimu moja (single digits), wananchi walio wengi wanaweza kumudu gharama za maisha, basi wastani wa 6% unakidhi kigezo hicho. Lakini kama tulivyokwisha gusia, takwimu ya wastani huwa inaficha uhalisia wa mambo. Kama tulivyoona, wakati wastani wa mfumuko wa bei ni 6% kwa kipindi cha January 2015-January 2016, mfumuko wa bei on ‘food and non alcoholic beverages’ katika kipindi hicho hicho ni karibia mara mbili ya 6%, kwa maana ya 11%. Ndio maana katika kipindi husika, wananchi wengi wameendelea kushangaa iweje serikali iseme kwamba mfumuko wa bei umethibitiwa wakati maisha yao yakiendelea kuwa magumu, kwa mfano kwa kuangalia bei ya bidhaa za vyakula kama vile sukari, nyama nk.

Ukashauri hivi:


Hivyo basi kupitia jukumu la serikali la ‘uimarishaji na uthabiti wa uchumi mpana wa nchi kwa maslahi ya wananchi’ tulilojadili awali, wananchi wanatarajia ‘mabadiliko’ ya kweli ambayo yatahusisha pia udhibiti wa mfumuko wa bei za Vyakula, tatizo ambalo kwa miaka ming bado halijapatiwa ufumbuzi wa kudumu. Pia kama tulivyogusia awali, Serikali inatakiwa kuhakikisha kwamba ‘real wages’ kutoka mwaka mmoja kwenda mwaka mwingine zinaongezeka kwa kasi zaidi ya ile ya mfumuko wa bei katika ili wananchi waweze kumudu gharama za maisha yao ya kila siku.


Sasa mbona hutupi mrejesho wa hayo maswali kuhusu takwimu zako? I can go on and on ...


Turudi kwa Waziri Chizeba:
Anashosimamia Waziri wa Kilimo na Chakula ni the “UNKOWN”, lakini kwa vile you lack that capacity intellectually, hauwezi kuona hilo. The unknown factor anayosimamia Waziri ni kwamba kuna Food Reserve available over and beyond kuta za NFRA – kwamba kuna chakula kingi kwenye maghala binafsi. Its only based on this ‘unknown stock’ ndio anapingana na hoja ya Zitto. He doesn’t get into details na hoja ya 90,000 tons and seven days kwa sababu kimsingi anakubaliana nayo. Anazidi kuharibu pale anapojenga hoja kwamba – had the government known of the outcome, basi ingekusanya stock from private warehouses. Haikufanya hivyo kwa sababu serikali haikuona maana. Kauli hii ilitosha kumfukuzisha kazi mara moja. And trust me, this statement will come back hard on the government down the road.

Kingine cha ajabu ni pale Waziri anaposema kwamba kuna mahindi yanachepukia Kiteto sijui wapi wakati ushahidi upo wazi kwamba mahindi kule yamekauka. Wananchi bado hatuna uhakika iwapo hali ni shwari (food security), na ni kwa kwa sababu zipi za kuridhisha. Je:

- Ni kwa sababu kuna akiba ya kutosha katika maghala binafsi ya chakula?
- Je ni kwa sababu mahindi yameanza kuchepuka na serikali inasubiri kuyavuna hayo to replenish the stock at NFRA? Iwapo kweli yapo, itayanunua kwa utaratibu ule ule wa kunyonya wakulima - hati garani with fixed amount ambayo thamani by the time wanalipwa pesa inakuwa imeshaliwa na inflation kama mchwa?

Kama mkakati ni kwenda kununua stock kutoka hayo maghala binafsi, mbona serikali haisemi yapo wapi, kiasi gani, itaenda lini na imetenga kiasi gani kwa ajili ya zoezi hilo?

Serikali inasubiri nini kufanya hivyo and do away with the mounting fear across the nation?

Tumeona Waziri Mkuu leo ameenda kutembelea NFRA, lakini kwa akili zenu hili mtaeleza wananchi kwamba its ‘routine’ (again against whats expected of intellectuals). Tumezoea serikali ya awamu ya tano ya hapa kazi tu kufanya kazi kweli kweli – lini Waziri Mkuu ataenda kuyatembelea maghala binafsi kama alivyofanya leo kule NFRA? Kwanini asingeanza na hayo maghala binafsi na badala yake akaenda NFRA? Ina maana kila siku hapati taarifa za kiusalama including state of food security?

Waziri wa Kilimo na Chakula kasema pia kwamba – “Japo siwezi taja kiasi cha chakula kilichopo kwa sababu za kiusalama…”. Hapo hapo anasema kipo chakula cha kutosha kulisha taifa kwa muda mrefu. Sasa kama kuna uhakika wa chakula/food security, hizo sababu za kiusalama za kutolifahamisha taifa ni zipi? Hakuna mantiki. Ni ushahidi tosha kwamba hakuna chakula over and beyond kuta za NFRA. That’s the bottom line.

Nizungumzie kidogo kuhusu akiba ya chakula ya siku saba:
Given all the above, as an intellectual unatakiwa uwe na mtazamo huu – iwapo taifa litakumbwa na dharura (kitaifa), iwe ni man-made, natural disasters, or combined, maana yake ni kwamba uzalishaji, uvunaji na usambazaji wa mazao ya chakula utaathirika kwa kiwango kikubwa. As an intellectual (rejea roles of intellectuals katika jamii) kuna tatizo gani kuhoji:

· Hizi 90,000 tons na ushee zitatosha kulisha taifa kwa muda gani katika mazingira husika? Hivi unajua daily food consumption ya taifa ni kiasi gani?

Mazingira husika yapi? Inawezekana ikawa hata siku moja. Wewe tuonyeshe aliposema ni ya siku saba, usiyeyushe.

Nimalizie kwa kukuelimisha tu kwamba, linapokuja suala la food security katika taifa, factors kuu tatu come to play:

1. Food Availability: upatikanaji wa chakula au the amount of food that actually exists (local production and other sources).

2. Food Production Stability: absence of instability in food production as well as income caused by crop failures, loss of employment (fall of disposable income), import bottlenecks, lack of exchange etc.

3. Food Accessibility i.e. of food supplies and it includes physical, social and economic access over time.

As intellectuals we were supposed to utilize such frameworks kuchambua mambo and inform the society accordingly. You definitely not endowed with such capacity.
Are you?
 
Turudi kwa Waziri Chizeba:
Anashosimamia Waziri wa Kilimo na Chakula ni the “UNKOWN”, lakini kwa vile you lack that capacity intellectually, hauwezi kuona hilo. The unknown factor anayosimamia Waziri ni kwamba kuna Food Reserve available over and beyond kuta za NFRA – kwamba kuna chakula kingi kwenye maghala binafsi. Its only based on this ‘unknown stock’ ndio anapingana na hoja ya Zitto. He doesn’t get into details na hoja ya 90,000 tons and seven days kwa sababu kimsingi anakubaliana nayo. Anazidi kuharibu pale anapojenga hoja kwamba – had the government known of the outcome, basi ingekusanya stock from private warehouses. Haikufanya hivyo kwa sababu serikali haikuona maana. Kauli hii ilitosha kumfukuzisha kazi mara moja. And trust me, this statement will come back hard on the government down the road.

Sasa kama "unknown" ni sehemu ya total NFRA stocks, kwanini Waziri Tizeba angalau asitupe basi hiyo exact gross sum? Na pia atueleze hiyo gross quantity is sufficient to cover how many days/weeks/months.

Mwenyezi Mungu atunusuru tu maana kauli za Dk Tizeba ni hatari mno, hasa aliposema haya maneno hapa chini...
Waziri wa Kilimo na Chakula kasema pia kwamba – “Japo siwezi taja kiasi cha chakula kilichopo kwa sababu za kiusalama…”. Hapo hapo anasema kipo chakula cha kutosha kulisha taifa kwa muda mrefu. Sasa kama kuna uhakika wa chakula/food security, hizo sababu za kiusalama za kutolifahamisha taifa ni zipi? Hakuna mantiki. Ni ushahidi tosha kwamba hakuna chakula over and beyond kuta za NFRA. That’s the bottom line.


Ukiangalia movements za Serikali miezi ya karibuni zinaashiria wazi kuwa kuna tatizo kubwa mahali fulani :-

1) PM Majaliwa kutembelea NFRA MICHUZI BLOG: MAJALIWA AKAGUA MAGAHALA YA HIFADHI YA CHAKULA CHANG'OMBE DAR ES SALAAM

2) Dk Tizeba na majibu ya alichosema Zitto ambacho kwa uhalisia alinukuu sehemu ya ripoti ya BOT ya Novemba 2016. Zitto, Dk Tizeba wapingana hali ya chakula nchini

3) Reshuffles mfano Waziri Tizeba amemwagiza Katibu Mkuu... - Ministry Of Agriculture Livestock and Fisheries | Facebook

4) Taarifa na Ripoti mbalimbali za hali ya mavuno na chakula nchini kwa mwaka 2016/17
Watelekeza familia kwa njaa
http://www.habarileo.co.tz/index.ph...lima-sasa-kupumua-kuuza-nafaka-nje-kwa-vibali
Vihunzi vipya kwa JPM vyaibuka | Gazeti la Rai
 
Sasa kama "unknown" ni sehemu ya total NFRA stocks, kwanini Waziri Tizeba angalau asitupe basi hiyo exact gross sum? Na pia atueleze hiyo gross quantity is sufficient to cover how many days/weeks/months.

Mwenyezi Mungu atunusuru tu maana kauli za Dk Tizeba ni hatari mno, hasa aliposema haya maneno hapa chini...



Ukiangalia movements za Serikali miezi ya karibuni zinaashiria wazi kuwa kuna tatizo kubwa mahali fulani :-

1) PM Majaliwa kutembelea NFRA MICHUZI BLOG: MAJALIWA AKAGUA MAGAHALA YA HIFADHI YA CHAKULA CHANG'OMBE DAR ES SALAAM

2) Dk Tizeba na majibu ya alichosema Zitto ambacho kwa uhalisia alinukuu sehemu ya ripoti ya BOT ya Novemba 2016. Zitto, Dk Tizeba wapingana hali ya chakula nchini

3) Reshuffles mfano Waziri Tizeba amemwagiza Katibu Mkuu... - Ministry Of Agriculture Livestock and Fisheries | Facebook

4) Taarifa na Ripoti mbalimbali za hali ya mavuno na chakula nchini kwa mwaka 2016/17
Watelekeza familia kwa njaa
http://www.habarileo.co.tz/index.ph...lima-sasa-kupumua-kuuza-nafaka-nje-kwa-vibali
Vihunzi vipya kwa JPM vyaibuka | Gazeti la Rai
Tusubiri mpaka MARCH 1, 2017 Tuone kama bei ya unga wa mahindi haijapungua.
 
Sawa, at least umekiri kuwa bei ya mahindi iko juu.
Umeuvaa ulimbo kaka!

Bei ya mahindi huongezeka mwezi DEC na june - Aug.

Tanzania ina seasons mbili ambazo nazo zimegawanyika makundi mawili. Unimodal ya nyanda za juu na bimodal ya Pwani na Kaskazini.
Kwa hiyo price ya mahindi huwa determined na seasons.

Soma nilichoandika pia, kitakusaidia usipende kukumbatia informations za aina moja. The dude is crooked but I can't lie, I've learnt something from him.

Do the same usijinyime!
 
Mkuu Kobello,
Kwanini sehemu Kubwa ya maandishi yako unamjadili Mchambuzi badala ya hoja zake?

Na uchambuzi ni kuonesha matatizo yaliyopo,vyanzo vya matatizo ama viashiria na pia kutafuta ufumbuzi wa matatizo hayo,kwako ni tofauti.

Mimi ni msomaji mzuri na nawafuatilia kila hatua. You're missing intellectual integrity bro.

Tusaidieni kujadili kwa Kina na mapana.
 
Mgaya D.W

Nilianza hivi:-

Nipo part I, naomba source ya data zako hasa kwenye statistics.
Kama ni utafiti uliofany wewe mwenyewe, naomba methodology uliyoitumia .... like your sample size, sampling method etc... (sehemu ya afya)[/QUOTE
Hili lilikuwa swali langu la kwanza kwenye uzi huu.
Naomba ufafanuzi kuhusu hizi takwimu.
Swali langu la pili, hapo bado sijajibiwa na unaweza kuangalia tarehe.
View attachment 350788



View attachment 350787


View attachment 350789

View attachment 350790

View attachment 350791

Kwa data hizo hapo juu, fananisha kama LGAs zote zinafuata mkondo mmoja. Usibadili mjadala na kusema fedha hazitoshi. Fedha ndiyo hazitoshi na hazitotosha.
Ila ulichozungumza wewe ni policy kuwa Serikali inawekeza sana kwenye hospitali za wilaya kwenda juu. Wakati hayo majedwali yamekuonyesha jinsi LGAs mbalimbali zinavyo-allocate pesa zake (the issue here is allocation).
Allocation haijali uwingi wa fedha bali mipango ya fedha ulizonazo.
kuna halmashauri zinatoa fedha nyingi kwenye dispensaries na zingine kwenye hospitali za wilaya.

Pia umekosea ulipoainisha mfumo wa healthcare kwenye three-tier system as if central government ipo responsible for all the systems ...NO, No and No!! LGAs zinapanga matumizi independently.
Hiyo ni mifano current kabisa.
Comment yangu ambayo ni jibu baada ya kujibiwa na Nguruvi3,

Baada ya hapo, Mchambuzi akanijibu kwa mara ya kwanza hivi:-

Kobello, ni jadi yako kutupia humu jamvini michoro na data nyingi bila mpangilio ikiambatana na analysis kiduchu, ukitarajia kwamba tutakuwa mesmerized, hypnotized and bewitched. It’s not going to happen.

Kabla ya kuingia katika mjadala wa allocation, kwanza tujadili major sources of Revenues for Local Government Authorities (LGAs). Kama tulivyojadili throughout, Serikali kuu ndio main source of revenues for our Local Government Authorities (Serikali ngazi za halmashauri). Kuna aina kuu nne ya funding flows kutoka serikali kuu kwenda serikali ngazi za halmashauri:

1. Kwanza ni component ya ‘Recurrent Block grants’: Personal Emoluments (PE).

2. Pili ni component ya ‘Recurrent Block grants’: Other Charges (OC) Component.

3. Tatu ni Recurrent Subversions and Basket Funds.

4. Nne ni Development Grants and Development Funds.

Hivyo ndio jinsi gani modalities za LGA finances zilivyogawanyika. Katika mgawanyiko huu, ‘recurrent block grants’ imeendelea kuwa the major source of funding kwa serikali ngazi za halmashauri, as they represent over 50% (in some cases, karibia 80%) of LGAs funds in each financial year.

Swali linalofuata ni je:

· Hizi block grants zinaenda kugharamia vitu gani?

Jibu ni kwamba zinaelekezwa kugharamia ‘key public services delivery’ zifuatazo katika ngazi za halmashauri:

a) Health care (our main focus in this discussion).

b) Primary education (we will deal with this later).

c) Agriculture Extension services (we will deal with this later).

d) Water supply (we will deal with this later).

e) Road Maintenance (we will deal with this later).

f) General administration (e.g. salaries for senior employees) and compensation for revenues.

Baada ya kujadili hayo, sasa tuje kwenye hoja yako kuhusu “allocation”.

Mwaka 2004 chini ya Rais Mkapa, Baraza la Mawaziri lilipitisha ‘a formula based recurrent transfer system’ ambayo ililenga kuweka ‘grant ceilings’ kwa maeneo matano kati ya sita tuliyoona hapo juu. Maeneo hayo ni:

· Health care

· Primary education

· Extension services (Agriculture)

· Water supply (Rural)

· Road Maintenance (local)


Miaka miwili baadae (2006), serikali ikaja na ‘a formula based general purpose grant’ ambapo ‘local administration & compensation grants’, ziliunganishwa. Vigezo vilivyotumika kupitisha ‘formula’ husika ili kufanikisha resource “ALLOCATION” kwa serikali ngazi za Halmashauri ilizingatia ‘factors’ kuu tano kama ifuatavyo:

1. Population.

2. Number of School aged children (kwa ajili ya primary education grant).

3. Poverty count/incidence.

4. Infant Mortality rate kama proxy ya “burden of diseases” (kwa ajili ya sekta ya afya).

5. Distance from Council headquarters to service outlets kama proxy for “land area.”


Tujadili kidogo suala la ‘Burden of Diseases’.

Kwenye hili, tukumbushane kwamba kwa mujibu wa utafiti wa World Health Organization, 85% of the disease burden in the country can be addressed by available, cost-effective interventions.

Pia tukumbushane kwamba kwa mujibu wa tafiti mbalimbali including WHO, majority of the causes of ‘Morbidity” (or causes of disease burden) nchini ni magonjwa ya kuambukiza (Communicable Diseases), na sio non-communicable diseases. Miaka 56 baada ya Uhuru!

Mchanganuo wake ni kama ifuatavyo:


- Communicable diseases 60%

- Perinatal (magonjwa immediately before and after birth) 15%

- Non-Communicable diseases 10%

- Nutritional 5%

- Underdetermined 5%

- Injury 3%

- Maternal 2%


Muhimu

1. Hapo juu tumeona kwamba KIGEZO muhimu cha Serikali wakati wa kufanya grants “allocation” kwenye sekta ya Afya katika serikali ngazi ya Halmashauri zetu nchini ni “Infant Mortality rate kama proxy ya “burden of diseases”.

2. Kuna mgongano mkubwa baina ya ‘original design’ na ‘actual implementation’ linapokuja suala la formula – based recurrent grant system. Tofauti na design, in practice, each of the sectoral block inajengwa na sehemu kuu mbili ambazo ni:

- Component ya ‘Personal Emolument’ (PE)

- Component ya ‘Other Charges’ (OC)

Kati ya hizi mbili, sehemu kubwa ya funding flows kutoka serikali kuu kwenda serikali ngazi za halmashauri ni ‘Personal Emolument’ (PE), karibia 80% ya jumla ya block grants allocations zote. Kwa maana hii, ‘Personal Emolument’ (PE) inachukua sehemu kubwa zaidi ya financial resources zote katika ngazi ya LGAs.

3. Kwa kuazima maneno yako makuu matatu “UAUMUZI, UAMUZI, UAMUZI”, tofauti na malengo yaliyodhamiriwa katika ‘formula based grant system’, ‘Personal Emolument’ (PE) kwa kila Local Government Authority inaendelea kuwa determined in a ‘discretionary manner’ na Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma. Kwa maana hii, viwango vya rasilimali fedha kwa ajili ya ‘Personal Emolument’ (PE) kwa kila Local Government Authority haifuati the formula based “allocation”.
Mpaka hapo tulipofikia, je unaweza kuniambia nani alianza kumshambulia mwenzake personally?

Hata hivyo, mimi nilimjibu hivi (kwa sababu hapa tunajadiliana).
Bado nipo very calm.


Nimekupa majedwali, jibu maswali.
Angalia bandiko lako # 38. Halafu ndiyo ujibu maswali. Bandiko hilo linazungumzia allocation of funds. Kwanini unatapatapa? Kaa kwenye mstari.

1. Kwanini Ukerewe inaallocate hela nusu ya Nkasi kwenye dispensaries?
2. Kwanini Ukerewe inaallocate more kwenye hospitali ya wilayani?

Hao ndio wa kuwaambia, wanadil na allocation kwa sababu hizo takwimu zinaonyesha dhahiri jinsi halmashauri zilivyo na allocation powers.

Usibishe kwa kuniletea vimeo zaidi, they don't mean squat to me.
Hpo sasa akaendelea kunijibu hivi,
Hivi kumbe upo hapa kubishana. Ndio psychological tactic mnayofundishwa Lumumba? Hapa tupo kujadiliana.

Unakimbia hoja ya msingi kwa sababu unajua hauna hoja yenye mashiko. Unajadili masuala ambayo hayana umuhimu wowote na tumeeleza hilo kwa kina. Akili ya kawaida ilitakiwa ikusaidie uelewe kwamba most of the funds zinazoenda LGAs zinatoka serikali kuu, na zinafuata allocation formula determined na serikali kuu. Hapo juu nimeeleza mapungufu ya mfumo huo, tena kwa kwenda huko huko kwako kwenye suala la 'allocation'. Hoja imekulemea unaanza ku panic.

Tutafika tu taratibu. Nikuulize - kipi muhimu zaidi katika kuboresha maisha ya wananchi, je ni kwa halmashauri kuwa na allocation powers au kuwa na taxation and revenue powers?
Sasa mpaka hapo, huoni kuwa jamaa alishaanza personal attacks? Hata hivyo mimi nilimjibu hivi:-

Kuwa na taxatibn powers ...
OK twende slowly, mind you tunajadiliana kuhusu vertical allocation of funds. Bandiko lako #38 linazungumzia allocation, au nimekpsea?

Fungu LA serikali kwenye sekta ya Afya ni asilimia 18 tu. Yaani 18% ya hela za afya za LGAs hutoka serikali kuu (That is not "most"). Na serikali kuu imetoa guidelines kuhusu mgawanyo ambapo 50% can be allocated to health centers na dispensaries.
Hii siyo sheria na halmashauri nyingi tu zina allocate up to 70% kwenye dispensaries na health centers.

Pia, pamoja na kuwa si kweli most of funds zinatoka serikalini, most of funds hazitoki halmashauri, ni 16% only.

Tatizo LA fedha lipo sekta zote, tunajua kuwa kodi zote hazitoshi Hata tumeamua kutoa 30% ya budget kwenye afya, bado hiyo ni kama 4bn$ na haitotosha. Hili hakuna ubishi.

Tunazungumzia bandiko lako #38 ambalo linachambua mfumo wa afya (politically).
Mpaka sasa:
1. Three tier analysis yako nilikuwa na kasoro kwa sababu haikubainisha responsibility ya LGAs.kwenye primary care.

2. Umedai serikali ndiyo source kubwa ya mapato, hii si kweli. Serikali hugharamia 18% of total healthcare ya halmashauri. Na haina sheria ya kulazimisha mgawanyo.

3. Nimekuonuesha jinsi Ukerewe inavyotoa 22% compare to Nkasi 42% na Mbinga 62% kwenye primary healthcare. Hii kukuthibitishia tu kuwa halmashauri zina allocation powers.

4. Nimwkuuliza data zako za bandiko #38 ulipozitoa, kwamba asilimia 75 inatumia primary health centers na clinics, wakati 25% inatumia za rufaa.
Je, what role hospitali za mkoa zinaplay? Hukuainisha role ya Ofisi ya rais tawala za mikoa kwenye afya na especially primary healthcare. What about them?

Sasa ukitaka watu wanyamaze inakuwa unakosea kwa sababu hizo flaws katika maandishi yako ni laza zijibowe, may be you purposely omitted or added something to stress a point, that's okay but just say it.

PS: Tusiende kwenye vijembe kuwa Mimi nimetumwa. Hatutafika popote cos I will hit back.

Lakini kabla ya hapo Mag3 alituonya na kusema hivi:-

Asanteni wachangiaji wote, mimi nachota tu elimu na kwa kweli kwa kipindi hiki kifupi nimejifunza mengi tu ila naomba mvumiliane, mjue mnasomwa na watu kama mimi. Hii mada ni muhimu sana na ningeshukuru kama mjadala huu ungeweza kuwafikia wahusika popote walipo serikalini...both Central and Local govts. Na kwa Mchambuzi asante kwa hoja makini pamoja na viambatanisho, kwa Kobello asante kwa hoja chokozi, zinakoleza mjadala na kwa Nguruvi3, hoja zako zinafikirisha...hivyo endeleeni tafadhali, tupo tunaofuatilia.

Naomba uniambie mpaka hapo wewe unaonaje huu mtiririko? Nani anamkashifu na kumkejeli mwenzie?

Akaendelea kunijibu hivi:-
1. Kwanini haujibu hoja yangu kuhusu intention vis a vis practice ya allocation system?

2. Kwa kutumia akili ndogo sana, je hauoni kwamba suala la 'out of pockets' ni ishara kwamba wananchi huko chini are willing to pay aidha via cost sharing au innovative taxes zenye manufaa kwa afya zao?

3. The 70% figure unayojadili, is it in the context of centralization au decentralization? Dont generalize facts!

4. Je mahitaji makubwa ya afya yapo wapi zaidi kati ya 'upper tier; and 'the lower tier' ya mfumo wa Afya nchini na 'fiscal arrangement' iliyopo inazingatia hilo kwa vitendo?

5. Iwapo kipindi A, a local government authority inakuwa responsible for 80% of revenues needed for development, then kipindi B, inashuka hadi 20%, huku the deficit ikiwa covered na transfers from central government, je hii ni kwa sababu LGAs cant fund themselves? Anaye force hoja mufilisi hapa ni nani?


Tumeeleza vyema na pia kutoa mifano. Inaonekana hausomi kinachoandikwa, pengine kwa sababu haupo hapa kueleweshana, kuelimishana na kujenga, bali kuvuruga na kubomoa flow of analysis and discussion kwa hisani ya akina Nape Lumumba.
Huu wote ni mtiririko wa hoja zangu na kejeli zake..... hapo wewe unaonaje? Niendelee?
 
Umeuvaa ulimbo kaka!

Bei ya mahindi huongezeka mwezi DEC na june - Aug.

Tanzania ina seasons mbili ambazo nazo zimegawanyika makundi mawili. Unimodal ya nyanda za juu na bimodal ya Pwani na Kaskazini.
Kwa hiyo price ya mahindi huwa determined na seasons.

Soma nilichoandika pia, kitakusaidia usipende kukumbatia informations za aina moja. The dude is crooked but I can't lie, I've learnt something from him.

Do the same usijinyime!

All the same Kobello. Mwezi March 2017 sio mbali tutakukutana panapo majaaliwa.
Ujue hata ukisogeza milingoti ya magoli hii mechi matokeo yake hayachakachuliki.
 
All the same Kobello. Mwezi March 2017 sio mbali tutakukutana panapo majaaliwa.
Ujue hata ukisogeza milingoti ya magoli hii mechi matokeo yake hayachakachuliki.
Haha .... nitaku-beep March.
 
Tusubiri mpaka MARCH 1, 2017 Tuone kama bei ya unga wa mahindi haijapungua.
Kobello,
Napenda kukumbusha juu ya ahadi yako....... ukizingatia kuwa mwezi Machi 2017 ndio huu na bei za unga wa mahindi bado ziko juu.
 
Tusubiri mpaka MARCH 1, 2017 Tuone kama bei ya unga wa mahindi haijapungua.
Sawa, at least umekiri kuwa bei ya mahindi iko juu...All the same Kobello. Mwezi March 2017 sio mbali tutakukutana panapo majaaliwa. Ujue hata ukisogeza milingoti ya magoli hii mechi matokeo yake hayachakachuliki.
Haha .... nitaku-beep March.
Kobello, Vipi Machi bado kufika Mkuu? Napenda kukumbusha juu ya ahadi yako....... ukizingatia kuwa mwezi Machi 2017 ndio huu na bei za unga wa mahindi bado ziko juu.
Ndio uzuri wa JF...inatunza kumbukumbu.
 
Zitapungua. Tuliza boli.
Sawa mheshimiwa, tuzidi kuvuta subira...! Kama tumeweza kuvuta kwa nusu karne, what's a month or two! In the same vein what's a year or two! How about a decade or two! Yeah, tutulize boli.
 
Sawa mheshimiwa, tuzidi kuvuta subira...! Kama tumeweza kuvuta kwa nusu karne, what's a month or two! In the same vein what's a year or two! How about a decade or two! Yeah, tutulize boli.
Right....
 
Back
Top Bottom