Uchaguzi 2020 Magufuli 2020: Jogoo la Shamba linapowika mjini, wa mjini hujaribu kujitutumua!

Uchaguzi 2020 Magufuli 2020: Jogoo la Shamba linapowika mjini, wa mjini hujaribu kujitutumua!

Naona umeweka avatar ya kike. Both ways hufai

Sent using Jamii Forums mobile app
Thread imejaa ukweli mtupu. Hii nchi kuna watu wanadhani (kama kina Zitto) kuwa rais ni lazima uwe na ma-complication ya kusafiri na kuhudhuria mikutano mikubwa mikubwa. Haya yanatusaidiaje kama nchi? Hatuwataki watu wa aina hii na wafie mbali!
 
Hujui kuwa Rais ni Kiongozi Mkuu wa Serikali, Mkuu wa nchi na Amiri Jeshi Mkuu?

Kumbuka watendaji wa kata ni sehemu ya watendaji wa serikali ambao kiongozi wao mkuu ni Rais wa Tanzania.
Najua Unaelewa Vizuri unachokitetea.
Kwanini kwanini Watendaji na kuwepo kuwafukuza waandishi? Siri ipi haswaaa ilikuwa inafichwa? Muopeni Mungu, unafiki si Mzuri kabisa kwa mwanaume haswa!
 
Mkuu, Mwanakijiji ni ukweli kabisa Mheshimiwa kwa yale anayoyafanya kwa maendeleo ya kiuchumi ya vitu, yanaonekana na kuthibitika kabisa mbele za macho ya Watanzania. Lakini katika suala la uvunjaji wa katiba na sheria, kupindisha kwa maelekezo yake kuhusu kanuni, uminyaji wa haki za binadamu na pia uhuru wa vyombo vya habari, haya ni baadhi ya maeneo ambayo sauti ya kuwika kwake yanatia dosari ktk uongozi wake.
 
Najua Unaelewa Vizuri unachokitetea.
Kwanini kwanini Watendaji na kuwepo kuwafukuza waandishi? Siri ipi haswaaa ilikuwa inafichwa? Muopeni Mungu, unafiki si Mzuri kabisa kwa mwanaume haswa!
Hakuna ninachokitetea kwa sababu siwezi kutetea suala ambalo halipo!

Kikao cha mpango kazi serikalini hakiwezi kuwa kama mkutano wa hadhara ndio maana kuna sheria na kanuni za utumishi wa umma ikiwa ni pamoja na kutunza siri za serikali!
 
Thread imejaa ukweli mtupu. Hii nchi kuna watu wanadhani (kama kina Zitto) kuwa rais ni lazima uwe na ma-complication ya kusafiri na kuhudhuria mikutano mikubwa mikubwa. Haya yanatusaidiaje kama nchi? Hatuwataki watu wa aina hii na wafie mbali!
Yote sawa, unadhani huyu ana haiba ya kwenda kusimama mbele za watu kuzungumza.
Ngoja nikupe history:
1. Nyerere alikuwa msomi wa kweli.. alijua kiingereza.. alisafiri maana alijiamini kwa kuzungumza na hakukishabikia kiswahili ki hivyo.
2. Mkapa msomi, alijua kiingerez vema. Alisafiri . hakushabikia kiswahili hivyo...
3. Mwinyi hakuwa msomi, hakujua kiingereza, hakusafiri.. alishabikia kiswahili lugha anayoiweza.
4. JK alikuwa msomi, alijua kiingereza, alisafiri. Hakushabikia kiswahili
5. Jiwe "msomi" hajui kiingereza, hasafiri.. anakishabkia kiswahili anachokijua!
 
Ni kwakuwa uchaguzi sio huru na haki

Sent using Jamii Forums mobile app
Maneno ''uchaguzi huru na haki'' ni relative!

Kwa Tanzania, yoyote anayeshindwa katika Uchaguzi hudai uchaguzi haukuwa huru na haki!

Nakumbuka hata CCM waliposhindwa katika Uchaguzi mdogo wa Jimbo la Arumeru Mashariki mwaka 2012 walidai uchaguzi haukuwa huru na haki!
 
Yote sawa, unadhani huyu ana haiba ya kwenda kusimama mbele za watu kuzungumza.
Ngoja nikupe history:
1. Nyerere alikuwa msomi wa kweli.. alijua kiingereza.. alisafiri maana alijiamini kwa kuzungumza na hakukishabikia kiswahili ki hivyo.
2. Mkapa msomi, alijua kiingerez vema. Alisafiri . hakushabikia kiswahili hivyo...
3. Mwinyi hakuwa msomi, hakujua kiingereza, hakusafiri.. alishabikia kiswahili lugha anayoiweza.
4. JK alikuwa msomi, alijua kiingereza, alisafiri. Hakushabikia kiswahili
5. Jiwe "msomi" hajui kiingereza, hasafiri.. anakishabkia kiswahili anachokijua!
Kwa hiyo kujua kiingereza kwako ndiyo uongozi bora?
 
Kitu pekee na kikubwa mnachoudhi na kukera watu ni kujidai kujisahaulisha kabisa kuhusu UVUNJWAJI MKUBWA WA KATIBA, SHERIA NA HAKI ZA BINADAMU.

Hivi kama mlihitaji ndege, reli, flyovers n.k sasa MKOLONI mlimfukuza wa nini? Mimi nadhani wote wanaomsapoti Magufuli ni "wapumbavu wa shamba". Hivi Rais anawezaje kuvunja katiba aliyoapa kuilinda kisa tu anajenga reli na nyinyi ndio mkamuhesabu eti KAWIKA MJINI?? Je hawezi kuleta hayo anayoyaita maendeleo huku akiheshimu UTU na KATIBA YA JMT?

Watu kama nyinyi inaelekea mlikasirishwa sana na kitendo cha NYERERE kudai uhuru.
 
It will take ages after him to get us as such again.Mungu azidi kumuweka.
 
Huyo anawikia vijijini kwa wanyonge wenzake. Kakimbia Dar- slaam. Mbwembwe nyingi ni huko vijijini huku mjini akija kimya kimya.
 
Hivi Uhuru wa kuongea si bado upo ngoja niongee ukweli,
Wanafunzi elimu ya juu tunapata tabu tukopesheni jamani tutalipa yani tunashindwa kusoma kwa kukosa pesa
 
Hakuna mnyonge ambae leo afurahii kumpata huyu Mzalendo..
Mfano..
Sukari kilo 1800 kwenda 2500-2800
Bando ya bati za kawaida..kutoka 188800-220000 leo 320000
Ajira kwa wahitu kila mwaka..Leo mjiajiri wenyewe.
Wakulima wa Dengu,Kahawa,Korosho ..
Sasa mnyonge gani ambae atashindwa kumkubali na kumshangilia JPM...

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hivi unaweza kushindana peke yako alafu ukashindwa ? au mashindano ya bila upinzani bado ni mashindano..., kwenye hiki kinyanganyiro hakuna mshindi bali mshindwa ambaye ni Tanzania
 
Back
Top Bottom