He is probably burning in hell (if in fact there is hell)Yes,because he had their intelligence reports.Magufuli was so committed to the development of our country,that he could not tolerate anybody hindering the achievement of that noble goal,and for that I say cheers JPM,where ever you are.
Mla rushwa na mwizi mkubwa yule, commitment gani unaiongelea hapa? Yeye alikuwa committed kutumia Kodi zetu kujenga Kijiji chake cha Chato miundombinu mikubwa kama internaty Airport.Yes,because he had their intelligence reports.Magufuli was so committed to the development of our country,that he could not tolerate anybody hindering the achievement of that noble goal,and for that I say cheers JPM,where ever you are.
You will also rot in hell,so why rejoice for the death of anybody,whatever the case may be.Anyway that is what evil people do,they always forget that they will also die.Mla rushwa na mwizi mkubwa yule, commitment gani unaiongelea hapa? Yeye alikuwa committed kutumia Kodi zetu kujenga Kijiji chake cha Chato miundombinu mikubwa kama internaty Airport.
Rot in Hell Magufuli
I know I will die and God will judge me based on my deeds. However I didn't kill anybody like Magufuli, nor didn't I steal or squander public properties like him.You will also rot in hell,so why rejoice for the death of anybody,whatever the case may be.Anyway that is what evil people do,they always forget that they will also die.
The extreme hate you have for Magufuli shows that you came across his wreath for something evil you did.Whatever he did to you for your evil,I salute him.Rest in peace Comrade Maguli.
Muuaji na mbinafsi tu yule,labda ulipata teuzi zake za hivyo zile.Mimi sio Msukuma,ni Mpare,and what you call Sukuma gang does not even exist,it is a myth aimed at discrediting the good which Magufuli has done for this nation for your selfish and evil ambitions.Shame on you.
Nimalizie tu kwa kusema,ni mtu mjinga tu,muovu,aliyekuwa anafaidi kutokana na uozo ulio kuwepo Tanzania,na asiyeitakia mema nchi yetu, atakayesema Magufuli hakuitendea haki nchi yake as President.
Hata ukimpamba vipi,sisi wote tulishuhudia alivyokuwa ndili, mkatili, mfurahia mauaji, n.k.JPM tutakukumbuka daima!
Kumbuka tu siku za kumuaga JPM alipofariki ndiyo utajua kwa kiasi gani alipendwa na wengi.
Wachache wenye nguvu hadi leo wanaendea kufinance movement ya kumtweza JPM, mwaka moja baada ya kufariki!
Ni kitu kinachoshangaza kwamba kuna vyama vya siasa wametenga muda na fedha za kuendelea kumchamfua mtu aliyekwish fariki zamani!
Sababu, alisimamia ukweli uliokubalika sana na wengi, kwa hiyo vyama hivyo vinavyoendeshwa kwa uongo na propaganda chafu vinaelewa si chochote ukilinganisha na aliyoamini na kusimamia Magufuli.
Kwa hiyo kwa akili zao suluhu ni kumchafua ili wapate ahueni ya kutokosolewa kwa mifano mkzuri ya JPM!
Na kwa sababu wenye sauti kwenye vyombo vya habari ni wachache, wana set agenda zisizoendana na matatizo na matamanio ya wengi!
Fikiria kipindi cha Magu, sukari ikipanda kwa shilingi 300 kelele za nyumbuzu nchi nzima na hata vyombo vya kimagharibi!
Sasa hivi maisha yamekuwa magumu sababu bei za vitu zimepanda mnooo, lakini usikii wale waliokuwa wanaongoza kwa kelele wakisema lolote!
Bei ya petroli juu, mafuta ya kula imepaa, vifaa vya ujenzi ni balaa, nk,
Magu stood for masses, na aliahidi yuko tayari kufa kwa ajili yao! Msimamo haukubadilika hadi mauti.
Alikuwa kiongozi mwenye maono na alisimamia utekelezaji kwa juhudi na ubunifu wa hali ya juu.
Jina la Tanzania lilipaaa kwa wapenda maendeleo ya kweli.
Na katika kufikia ndoto zake hakucheka na wakwapua mali za nchi, wawe watanzania wenzetu au mashitika ya kinyonyaji ya nje!
Wengi hatukushangazwa na propaganda za vyombo vya habari vya mabeberu kumpaka matope Magu, ndivyo wsnavyofanya kila kukicha!
Rest in Peace uncle Magu.
Wapi 1.5 T zetu?Mapenzi tele kwake[emoji172][emoji172][emoji172]
Labda jembe kako.Lazima tumkumbuke jembe letu
Maombolezo ni mobilization tu.Anayekula chai na bamia wala haijui JF.
Wewe ni sadist tu ambaye uliingia kwenye anga za marehemu kwa sababu za uovu wako,ukawajibishwa,huna lolote.
Mimi ni Mtanzania niishiye kijijini and I like him dearly,and I know what my neighbours talk of him.
Alikuwa kipenzi cha Watanzania,hakuna Rais ambaye ameshawahi kupendwa na watu wa kawaida kama Magufuli.
Maombolezo ya msiba wake yanathibitisha hili.
KaburiniWapi 1.5 T zetu?
TukanaLabda jembe kako.
Mtu amefungwatu hivyo, ameharibu uchaguzi kwa kiwango kisicho vumilika huyu, au unataka tukutukane
Kwa hiyo kwa Mkapa hapakuwa na mobilization au hata kwa Mwalimu.Wewe huna lolote,ninyi mnaojiita wa mjini ndio wengi mlikutana na his wreath,sasa mna-mobi lize watu ili ionekana walimchukia,kwa hiyo walichukia utendaji wake.Si kweli,Tanzanians loved him,because he loved them.Maombolezo ni mobilization tu.
Huko vijijini ni ngome ya CCM na ngome ya CCM, tafiti zinaeleza kuwa ni kujaa kwa mis informed persons.
Unapokwenda kinyume na matakwa ya Watanzania kujiletea maendeleo yao kwa kushirikiana na mabeberu ku-sabotage, unataka serikali committed to bringing development to its' people ikufanyeje,ikuchekee na ikupe zawadi?That cannot happen,serikali makini lazima ikushuhulikie.Ni serikali ya kijuha tu itakayoMuuaji na mbinafsi tu yule,labda ulipata teuzi zake za hivyo zile.
Rubbish per seKwa hiyo kwa Mkapa hapakuwa na mobilization au hata kwa Mwalimu.Wewe huna lolote,ninyi mnaojiita wa mjini ndio wengi mlikutana na his wreath,sasa mna-mobi lize watu ili ionekana walimchukia,kwa hiyo walichukia utendaji wake.Si kweli,Tanzanians loved him,because he loved them.
Ninyi pigeni kelele at the top of your voices,hamtabadilisha mawazo ya Watanzania,they loved Magufuli for what he stood:their development and protecting the countries' resources.
Kabisa Ila nakuelewaMimi sio Msukuma,ni Mpare,and what you call Sukuma gang does not even exist,it is a myth aimed at discrediting the good which Magufuli has done for this nation for your selfish and evil ambitions.Shame on you.
Nimalizie tu kwa kusema,ni mtu mjinga tu,muovu,aliyekuwa anafaidi kutokana na uozo ulio kuwepo Tanzania,na asiyeitakia mema nchi yetu, atakayesema Magufuli hakuitendea haki nchi yake as President.