Tony254
JF-Expert Member
- May 11, 2017
- 16,017
- 16,431
Ninawashauri wakenya waungane na kufanya kazi na Magufuli badala ya kushindana naye.
Kenya bado walimu wetu wataenda Sauzi Afrika, kwa hivyo hatujanyang'anywa fursa. Ramaphosa amewaonea huruma akaamua kuwapa fursa kidogo hata hivyo KE itapewa asilimia kubwa ya fursa kushinda TZ.