technically
JF-Expert Member
- Jul 3, 2016
- 12,706
- 52,355
Toka umezaliwa umeshawahi kuona au kusikia kiongozi wa CCM ametekwa wala kukamatwa na Polisi?Ni lini mara ya mwisho uliwahi kusema ukweli katika maisha yako? Sasa hivi hauishi Tanzania halafu unasema utahama nchi, kwa nini unakuwa muongo kama mtoto? angalau mtoto anaweza kujitetea kwamba bado anakuwa na anajifunza wewe una utetetzi gani wa kuwa kama mtoto? Hakuna sababu ya kudanganya wakati mwingine.
Ninyi mtahama nchi na Technically! Ahahahahahahah!Sasa si utuajiri ambao bado hatujaajiriwa?
Toka umezaliwa umeshawahi kuona au kusikia kiongozi wa CCM ametekwa wala kukamatwa na Polisi?
Inahitaji maarifa mengi kuutambua ujinga wakoSiyajui maisha yao wote!
Sio kutekwa tuu wengi wameuwawa kibiti.Toka umezaliwa umeshawahi kuona au kusikia kiongozi wa CCM ametekwa wala kukamatwa na Polisi?