Uchaguzi 2020 Magufuli akishinda tena Urais mimi nahama Nchi

Uchaguzi 2020 Magufuli akishinda tena Urais mimi nahama Nchi

Okay
giphy.gif
 
Mkuu hongera saana kama una biashara zako za kuweza kuhamishiwa nchi zingine na ukapata muda wa kuzozana hapa JF.

Na kuandika ulichoqndika. Hongera saana. Ni nadra kufikori kuna wenye biashara zao wanakimbizana na media huku wakitumia media kuiattack serikali.

Hongera saana mkuu... bila unafiki hongera saana.
 
Lisu mleta mada uhame Mara ngapi kwenda ubelgiji? Si ulishahama na familia tayari?
 
Mkuu hongera saana kama una biashara zako za kuweza kuhamishiwa nchi zingine na ukapata muda wa kuzozana hapa JF.

Na kuandika ulichoqndika. Hongera saana. Ni nadra kufikori kuna wenye biashara zao wanakimbizana na media huku wakitumia media kuiattack serikali.

Hongera saana mkuu... bila unafiki hongera saana.
Sidhani kama ataelewa
 
Nipo tayari kuhama nchi kama Magu atashinda Urais

Nitaondoa biashara zangu zote Tanzania na kuziamishia nchi zingine.

Nitaondoa watoto wangu wote Tanzania siwezi kuendelea kuishi kifala ndani ya nchi yangu Bora nikaishi kifala ugenini.

Kwanini naondoka? Kwa sababu sioni nchi ikiwa salama kiuchumi,kisiasa na kibiashara.

Hali itakuwa tete sana!

kutakuwa na mtikisiko mkubwa wa kiuchumi.

Naomba vijana niliokuwa nimewaajiri kwenye mishemishe zangu mnisamehe kama Magufuli atachaguliwa tena kuwa Rais kwa miaka mingine 5.
Noted for future reference!
 
Wewe Matamushi yako na maombi yako hayazidiani na ya wale madada poa.

Wewe si ndio yule uliombea Corona nje Tanzania ukizani utamukoa magufuli halafu ikiaanza na Bwana wako Mbowe.

Baba Zima linatoa ahadi za hovyo na Kama baba ndo unaakili za hivi Sijui hao Watoto watakuwa na Akili gani.
Utake usitake Magufuli ndo rais wa 2020/2025.
Shame on you.
 
Mpaka sasa kwa comments nilizosoma anko Magu ndo Rais 2020 - 2025!
 
Hakuna kuhama nchi tubaki wote humu humu,unataka kwenda Weee tubanane tu hapa hapa mipaka itafungwa ukitaka kuhama nchi yetu nxuri
 
Nipo tayari kuhama nchi kama Magu atashinda Urais

Nitaondoa biashara zangu zote Tanzania na kuziamishia nchi zingine.

Nitaondoa watoto wangu wote Tanzania siwezi kuendelea kuishi kifala ndani ya nchi yangu Bora nikaishi kifala ugenini.

Kwanini naondoka? Kwa sababu sioni nchi ikiwa salama kiuchumi,kisiasa na kibiashara.

Hali itakuwa tete sana!

kutakuwa na mtikisiko mkubwa wa kiuchumi.

Naomba vijana niliokuwa nimewaajiri kwenye mishemishe zangu mnisamehe kama Magufuli atachaguliwa tena kuwa Rais kwa miaka mingine 5.
hatopata kura za kutosha - hilo nina uhakika wa 100%.

lakini shida ipo kwa wapambe (yaani NEC, polisi, TISS, nk) - hapo ndipo shida ipo na hapo ndipo Uzimbabwe unaweza kushamiri nchini post-October 2020.
 
Sina tatizo na CCM nina tatizo na aliyeiweka CCM kwa mfuko
 
Nipo tayari kuhama nchi kama Magu atashinda Urais

Nitaondoa biashara zangu zote Tanzania na kuziamishia nchi zingine.

Nitaondoa watoto wangu wote Tanzania siwezi kuendelea kuishi kifala ndani ya nchi yangu Bora nikaishi kifala ugenini.

Kwanini naondoka? Kwa sababu sioni nchi ikiwa salama kiuchumi,kisiasa na kibiashara.

Hali itakuwa tete sana!

kutakuwa na mtikisiko mkubwa wa kiuchumi.

Naomba vijana niliokuwa nimewaajiri kwenye mishemishe zangu mnisamehe kama Magufuli atachaguliwa tena kuwa Rais kwa miaka mingine 5.
Hayo hayatuhusu,, we kimbia tu, uende ufanywe kama J Floyd
 
Anza mandalizi kabisa ya kuhama hamisha kitu kimoja moja mpaka november utakuwa kushamaliza vitu vyako vyote
 
Nipo tayari kuhama nchi kama Magu atashinda Urais

Nitaondoa biashara zangu zote Tanzania na kuziamishia nchi zingine.

Nitaondoa watoto wangu wote Tanzania siwezi kuendelea kuishi kifala ndani ya nchi yangu Bora nikaishi kifala ugenini.

Kwanini naondoka? Kwa sababu sioni nchi ikiwa salama kiuchumi,kisiasa na kibiashara.

Hali itakuwa tete sana!

kutakuwa na mtikisiko mkubwa wa kiuchumi.

Naomba vijana niliokuwa nimewaajiri kwenye mishemishe zangu mnisamehe kama Magufuli atachaguliwa tena kuwa Rais kwa miaka mingine 5.
Wewe mkora ni unknown kabisa ni sawa na tonye la maji kwenye bahari.
Ukwende tu nyie ndio umloiletea Tanzania nakama hadi tumeanza kupata earthquake na mambo yenu ya sosodoma. bwege wee
 
Back
Top Bottom