Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nipo tayari kuhama nchi kama Magu atashinda Urais
Nitaondoa biashara zangu zote Tanzania na kuziamishia nchi zingine.
Nitaondoa watoto wangu wote Tanzania siwezi kuendelea kuishi kifala ndani ya nchi yangu Bora nikaishi kifala ugenini.
Kwanini naondoka? Kwa sababu sioni nchi ikiwa salama kiuchumi,kisiasa na kibiashara.
Hali itakuwa tete sana!
kutakuwa na mtikisiko mkubwa wa kiuchumi.
Naomba vijana niliokuwa nimewaajiri kwenye mishemishe zangu mnisamehe kama Magufuli atachaguliwa tena kuwa Rais kwa miaka mingine 5.
Mimi nitaongeza mtaji mkubwa tu kwenye biashara zangu. Na ikiwezekana tuwasiliane ili wale watakaotoka kwako waje niwaajiri.
Sio kutekwa tuu wengi wameuwawa kibiti.
Mwenyekiti wa halmashaur kigoma ambaye alikuwa diawan wa ccmToka umezaliwa umeshawahi kuona au kusikia kiongozi wa CCM ametekwa wala kukamatwa na Polisi?
Unatumia cha Arusha au musoma....Nipo tayari kuhama nchi kama Magu atashinda Urais
Nitaondoa biashara zangu zote Tanzania na kuziamishia nchi zingine.
Nitaondoa watoto wangu wote Tanzania siwezi kuendelea kuishi kifala ndani ya nchi yangu Bora nikaishi kifala ugenini.
Kwanini naondoka? Kwa sababu sioni nchi ikiwa salama kiuchumi,kisiasa na kibiashara.
Hali itakuwa tete sana!
kutakuwa na mtikisiko mkubwa wa kiuchumi.
Naomba vijana niliokuwa nimewaajiri kwenye mishemishe zangu mnisamehe kama Magufuli atachaguliwa tena kuwa Rais kwa miaka mingine 5.
Rubbish.Hili fungu la kuteka ndio unaita mtaji.
Rubbish.
Iyo siyo ahadi sema utajiua ili tuthibitishe maana kushinda ni lazima wewe ujiulizi maswali kanda ya ziwa kuna mkoa wa tabora,shinyanga,simiyu,hayo majimbo hayajawahi kuwa na upinzani wa kweli,alafu nenda dodoma,ruvuma,mbinga,njombe,manyara,mtwara,lindi,rukwa,mara kutoa kwa heche,Matiko na bulaya,dar watu hawatabiriki magu kaibadili dar sana lolote laweza kutokea ,pwani na morogoro nako lolote laweza kutokea tanga nako mambo yaleyale tegemeo lao kubwa upinzani ni mbeya,arusha na kilimanjaro nawaeleza hii hoja ya uhuru ni mitandaoni tu lakini aslimia 80 ya watanzania ambao wanaishi vijijini na miji midogo ambao wametengenezewa lami na mataa na zahanati wao kazi yao asubuhi shambani na barabarani jioni nyumbani wote watamchagua magu machinga wanavyomfurahia jamaa kawapa uhuru wa biashara zao wao vitambulisho sio is hu.Nipo tayari kuhama nchi kama Magu atashinda Urais
Nitaondoa biashara zangu zote Tanzania na kuziamishia nchi zingine.
Nitaondoa watoto wangu wote Tanzania siwezi kuendelea kuishi kifala ndani ya nchi yangu Bora nikaishi kifala ugenini.
Kwanini naondoka? Kwa sababu sioni nchi ikiwa salama kiuchumi,kisiasa na kibiashara.
Hali itakuwa tete sana!
kutakuwa na mtikisiko mkubwa wa kiuchumi.
Naomba vijana niliokuwa nimewaajiri kwenye mishemishe zangu mnisamehe kama Magufuli atachaguliwa tena kuwa Rais kwa miaka mingine 5.
Mwache ahame mkuuIyo siyo ahadi sema utajiua ili tuthibitishe maana kushinda ni lazima wewe ujiulizi maswali kanda ya ziwa kuna mkoa wa tabora,shinyanga,simiyu,hayo majimbo hayajawahi kuwa na upinzani wa kweli,alafu nenda dodoma,ruvuma,mbinga,njombe,manyara,mtwara,lindi,rukwa,mara kutoa kwa heche,Matiko na bulaya,dar watu hawatabiriki magu kaibadili dar sana lolote laweza kutokea ,pwani na morogoro nako lolote laweza kutokea tanga nako mambo yaleyale tegemeo lao kubwa upinzani ni mbeya,arusha na kilimanjaro nawaeleza hii hoja ya uhuru ni mitandaoni tu lakini aslimia 80 ya watanzania ambao wanaishi vijijini na miji midogo ambao wametengenezewa lami na mataa na zahanati wao kazi yao asubuhi shambani na barabarani jioni nyumbani wote watamchagua magu machinga wanavyomfurahia jamaa kawapa uhuru wa biashara zao wao vitambulisho sio is hu.
Anza maandalizi ya kuhama SasaNipo tayari kuhama nchi kama Magu atashinda Urais
Nitaondoa biashara zangu zote Tanzania na kuziamishia nchi zingine.
Nitaondoa watoto wangu wote Tanzania siwezi kuendelea kuishi kifala ndani ya nchi yangu Bora nikaishi kifala ugenini.
Kwanini naondoka? Kwa sababu sioni nchi ikiwa salama kiuchumi,kisiasa na kibiashara.
Hali itakuwa tete sana!
kutakuwa na mtikisiko mkubwa wa kiuchumi.
Naomba vijana niliokuwa nimewaajiri kwenye mishemishe zangu mnisamehe kama Magufuli atachaguliwa tena kuwa Rais kwa miaka mingine 5.
Mkuu unakuwa kama akina hati ya mshahara bana.Nipo tayari kuhama nchi kama Magu atashinda Urais
Nitaondoa biashara zangu zote Tanzania na kuziamishia nchi zingine.
Nitaondoa watoto wangu wote Tanzania siwezi kuendelea kuishi kifala ndani ya nchi yangu Bora nikaishi kifala ugenini.
Kwanini naondoka? Kwa sababu sioni nchi ikiwa salama kiuchumi,kisiasa na kibiashara.
Hali itakuwa tete sana!
kutakuwa na mtikisiko mkubwa wa kiuchumi.
Naomba vijana niliokuwa nimewaajiri kwenye mishemishe zangu mnisamehe kama Magufuli atachaguliwa tena kuwa Rais kwa miaka mingine 5.