Uchaguzi 2020 Magufuli akishinda tena Urais mimi nahama Nchi

Uchaguzi 2020 Magufuli akishinda tena Urais mimi nahama Nchi

Ungekuwa Bakhresa au Mo hii ingekuwa habari!
 
Jiandae kuhama, mimi nilihama zamani sana nitarudi akiondoka 2050 maana naona kuna kampango chinichini ka kutaka aongezewe awe rais wa maisha.
 
Nipo tayari kuhama nchi kama Magu atashinda Urais

Nitaondoa biashara zangu zote Tanzania na kuziamishia nchi zingine.

Nitaondoa watoto wangu wote Tanzania siwezi kuendelea kuishi kifala ndani ya nchi yangu Bora nikaishi kifala ugenini.

Kwanini naondoka? Kwa sababu sioni nchi ikiwa salama kiuchumi,kisiasa na kibiashara.

Hali itakuwa tete sana!

kutakuwa na mtikisiko mkubwa wa kiuchumi.

Naomba vijana niliokuwa nimewaajiri kwenye mishemishe zangu mnisamehe kama Magufuli atachaguliwa tena kuwa Rais kwa miaka mingine 5.

Anza kuhama sasa hivi, usisubiri matokeo, unacho ota kwenye usingizi wako ni jua litokee Magharibi kwenda Mashariki. For the your team of employees who serves in your company, please contact me in my JF inbox, those who qualify shall be absolved in my legally runned businesses.
 
Wakati wewe unahama wengine kuna wengine wanasubiri ashinde warudi nyumbani kutakuwa kumenoga sana.
 
Magufuli atakuwa rais tena wa hawamu ya inayofuata na hutahama nchi mkuu
 
Nipo tayari kuhama nchi kama Magu atashinda Urais

Nitaondoa biashara zangu zote Tanzania na kuziamishia nchi zingine.

Nitaondoa watoto wangu wote Tanzania siwezi kuendelea kuishi kifala ndani ya nchi yangu Bora nikaishi kifala ugenini.

Kwanini naondoka? Kwa sababu sioni nchi ikiwa salama kiuchumi,kisiasa na kibiashara.

Hali itakuwa tete sana!

kutakuwa na mtikisiko mkubwa wa kiuchumi.

Naomba vijana niliokuwa nimewaajiri kwenye mishemishe zangu mnisamehe kama Magufuli atachaguliwa tena kuwa Rais kwa miaka mingine 5.
Unatumia cha Arusha au musoma....
 
Ungeanza tu kufungasha virago mapema na kufanya booking
 
Nipo tayari kuhama nchi kama Magu atashinda Urais

Nitaondoa biashara zangu zote Tanzania na kuziamishia nchi zingine.

Nitaondoa watoto wangu wote Tanzania siwezi kuendelea kuishi kifala ndani ya nchi yangu Bora nikaishi kifala ugenini.

Kwanini naondoka? Kwa sababu sioni nchi ikiwa salama kiuchumi,kisiasa na kibiashara.

Hali itakuwa tete sana!

kutakuwa na mtikisiko mkubwa wa kiuchumi.

Naomba vijana niliokuwa nimewaajiri kwenye mishemishe zangu mnisamehe kama Magufuli atachaguliwa tena kuwa Rais kwa miaka mingine 5.
Iyo siyo ahadi sema utajiua ili tuthibitishe maana kushinda ni lazima wewe ujiulizi maswali kanda ya ziwa kuna mkoa wa tabora,shinyanga,simiyu,hayo majimbo hayajawahi kuwa na upinzani wa kweli,alafu nenda dodoma,ruvuma,mbinga,njombe,manyara,mtwara,lindi,rukwa,mara kutoa kwa heche,Matiko na bulaya,dar watu hawatabiriki magu kaibadili dar sana lolote laweza kutokea ,pwani na morogoro nako lolote laweza kutokea tanga nako mambo yaleyale tegemeo lao kubwa upinzani ni mbeya,arusha na kilimanjaro nawaeleza hii hoja ya uhuru ni mitandaoni tu lakini aslimia 80 ya watanzania ambao wanaishi vijijini na miji midogo ambao wametengenezewa lami na mataa na zahanati wao kazi yao asubuhi shambani na barabarani jioni nyumbani wote watamchagua magu machinga wanavyomfurahia jamaa kawapa uhuru wa biashara zao wao vitambulisho sio is hu.
 
Iyo siyo ahadi sema utajiua ili tuthibitishe maana kushinda ni lazima wewe ujiulizi maswali kanda ya ziwa kuna mkoa wa tabora,shinyanga,simiyu,hayo majimbo hayajawahi kuwa na upinzani wa kweli,alafu nenda dodoma,ruvuma,mbinga,njombe,manyara,mtwara,lindi,rukwa,mara kutoa kwa heche,Matiko na bulaya,dar watu hawatabiriki magu kaibadili dar sana lolote laweza kutokea ,pwani na morogoro nako lolote laweza kutokea tanga nako mambo yaleyale tegemeo lao kubwa upinzani ni mbeya,arusha na kilimanjaro nawaeleza hii hoja ya uhuru ni mitandaoni tu lakini aslimia 80 ya watanzania ambao wanaishi vijijini na miji midogo ambao wametengenezewa lami na mataa na zahanati wao kazi yao asubuhi shambani na barabarani jioni nyumbani wote watamchagua magu machinga wanavyomfurahia jamaa kawapa uhuru wa biashara zao wao vitambulisho sio is hu.
Mwache ahame mkuu

Anamtisha nani


[emoji3]
 
ajawahi kushinda chochote bila kubebwa, safari hii mbebaji Mungu alimpenda zaidi hatupo nae baada ya kumaliza kazi yake duniani
 
Nipo tayari kuhama nchi kama Magu atashinda Urais

Nitaondoa biashara zangu zote Tanzania na kuziamishia nchi zingine.

Nitaondoa watoto wangu wote Tanzania siwezi kuendelea kuishi kifala ndani ya nchi yangu Bora nikaishi kifala ugenini.

Kwanini naondoka? Kwa sababu sioni nchi ikiwa salama kiuchumi,kisiasa na kibiashara.

Hali itakuwa tete sana!

kutakuwa na mtikisiko mkubwa wa kiuchumi.

Naomba vijana niliokuwa nimewaajiri kwenye mishemishe zangu mnisamehe kama Magufuli atachaguliwa tena kuwa Rais kwa miaka mingine 5.
Anza maandalizi ya kuhama Sasa
 
Nipo tayari kuhama nchi kama Magu atashinda Urais

Nitaondoa biashara zangu zote Tanzania na kuziamishia nchi zingine.

Nitaondoa watoto wangu wote Tanzania siwezi kuendelea kuishi kifala ndani ya nchi yangu Bora nikaishi kifala ugenini.

Kwanini naondoka? Kwa sababu sioni nchi ikiwa salama kiuchumi,kisiasa na kibiashara.

Hali itakuwa tete sana!

kutakuwa na mtikisiko mkubwa wa kiuchumi.

Naomba vijana niliokuwa nimewaajiri kwenye mishemishe zangu mnisamehe kama Magufuli atachaguliwa tena kuwa Rais kwa miaka mingine 5.
Mkuu unakuwa kama akina hati ya mshahara bana.
 
Back
Top Bottom