Uchaguzi 2020 Magufuli akishinda tena Urais mimi nahama Nchi

Uchaguzi 2020 Magufuli akishinda tena Urais mimi nahama Nchi

Iyo siyo ahadi sema utajiua ili tuthibitishe maana kushinda ni lazima wewe ujiulizi maswali kanda ya ziwa kuna mkoa wa tabora,shinyanga,simiyu,hayo majimbo hayajawahi kuwa na upinzani wa kweli,alafu nenda dodoma,ruvuma,mbinga,njombe,manyara,mtwara,lindi,rukwa,mara kutoa kwa heche,Matiko na bulaya,dar watu hawatabiriki magu kaibadili dar sana lolote laweza kutokea ,pwani na morogoro nako lolote laweza kutokea tanga nako mambo yaleyale tegemeo lao kubwa upinzani ni mbeya,arusha na kilimanjaro nawaeleza hii hoja ya uhuru ni mitandaoni tu lakini aslimia 80 ya watanzania ambao wanaishi vijijini na miji midogo ambao wametengenezewa lami na mataa na zahanati wao kazi yao asubuhi shambani na barabarani jioni nyumbani wote watamchagua magu machinga wanavyomfurahia jamaa kawapa uhuru wa biashara zao wao vitambulisho sio is hu.
Well said Mkuu.
 
Very true, yani akishinda ile kauli tutalima kwa kutumia meno itatimia kwa sababu kuu 2. Mosi, hakuna tena cha kupoteza kwa kuwa hahitaji tena kura yako. Pili atalipiza kisasi cha wengi kutomchagua/mkataa pamoja na madaraja yake alojenga.
 
Nipo tayari kuhama nchi kama Magu atashinda Urais

Nitaondoa biashara zangu zote Tanzania na kuziamishia nchi zingine.

Nitaondoa watoto wangu wote Tanzania siwezi kuendelea kuishi kifala ndani ya nchi yangu Bora nikaishi kifala ugenini.

Kwanini naondoka? Kwa sababu sioni nchi ikiwa salama kiuchumi,kisiasa na kibiashara.

Hali itakuwa tete sana!

kutakuwa na mtikisiko mkubwa wa kiuchumi.

Naomba vijana niliokuwa nimewaajiri kwenye mishemishe zangu mnisamehe kama Magufuli atachaguliwa tena kuwa Rais kwa miaka mingine 5.
Kama unaamini JPM atashindwa we tayari ushakuwa FALA tu!
Kwa hiyo ondoka zako mapema.
 
Na hii corona sijui ni wapi watakupokea, Magufuli ameshashinda Urais tunachofanya ni kukamilisha tu ratiba ya uchaguzi
 
Nipo tayari kuhama nchi kama Magu atashinda Urais

Nitaondoa biashara zangu zote Tanzania na kuziamishia nchi zingine.

Nitaondoa watoto wangu wote Tanzania siwezi kuendelea kuishi kifala ndani ya nchi yangu Bora nikaishi kifala ugenini.

Kwanini naondoka? Kwa sababu sioni nchi ikiwa salama kiuchumi,kisiasa na kibiashara.

Hali itakuwa tete sana!

kutakuwa na mtikisiko mkubwa wa kiuchumi.

Naomba vijana niliokuwa nimewaajiri kwenye mishemishe zangu mnisamehe kama Magufuli atachaguliwa tena kuwa Rais kwa miaka mingine 5.
We uwezi kuama kama ujaama adi sa ivi
 
Anza tu kuwapa wafanyakazi wako haki zao mapema siyo uje kutoroka na haki za watu.
Safari njema ya kuhama nchi,huwa hawatuwataki wakimbia tatizo kama wewe.
 
Nipo tayari kuhama nchi kama Magu atashinda Urais

Nitaondoa biashara zangu zote Tanzania na kuziamishia nchi zingine.

Nitaondoa watoto wangu wote Tanzania siwezi kuendelea kuishi kifala ndani ya nchi yangu Bora nikaishi kifala ugenini.

Kwanini naondoka? Kwa sababu sioni nchi ikiwa salama kiuchumi,kisiasa na kibiashara.

Hali itakuwa tete sana!

kutakuwa na mtikisiko mkubwa wa kiuchumi.

Naomba vijana niliokuwa nimewaajiri kwenye mishemishe zangu mnisamehe kama Magufuli atachaguliwa tena kuwa Rais kwa miaka mingine 5.
Madaraka ya kutokana na ndagu ni hatari sana!
 
Nipo tayari kuhama nchi kama Magu atashinda Urais

Nitaondoa biashara zangu zote Tanzania na kuziamishia nchi zingine.

Nitaondoa watoto wangu wote Tanzania siwezi kuendelea kuishi kifala ndani ya nchi yangu Bora nikaishi kifala ugenini.

Kwanini naondoka? Kwa sababu sioni nchi ikiwa salama kiuchumi,kisiasa na kibiashara.

Hali itakuwa tete sana!

kutakuwa na mtikisiko mkubwa wa kiuchumi.

Naomba vijana niliokuwa nimewaajiri kwenye mishemishe zangu mnisamehe kama Magufuli atachaguliwa tena kuwa Rais kwa miaka mingine 5.
Huna madhara yoyote!

Nilidhani kwamba hoja yako ni Magufuli akishinda tena utahama Nchi Kwa sababu tu ya nguvu ya upinzani ulio na nguvu na uhakika wa kumwondoa?

Kumbe unahama kumkomoa Raisi!! Hama tu mkuu, Kwa sababu ni lazima ashinde
 
Nipo tayari kuhama nchi kama Magu atashinda Urais

Nitaondoa biashara zangu zote Tanzania na kuziamishia nchi zingine.

Nitaondoa watoto wangu wote Tanzania siwezi kuendelea kuishi kifala ndani ya nchi yangu Bora nikaishi kifala ugenini.

Kwanini naondoka? Kwa sababu sioni nchi ikiwa salama kiuchumi,kisiasa na kibiashara.

Hali itakuwa tete sana!

kutakuwa na mtikisiko mkubwa wa kiuchumi.

Naomba vijana niliokuwa nimewaajiri kwenye mishemishe zangu mnisamehe kama Magufuli atachaguliwa tena kuwa Rais kwa miaka mingine 5.
sasa hiyo biashara yako ya kuuza vitunguu ndiyo unatutisha nayo? anza tu kuondoka maana tunasubiri kuapishwa kwa JPM tu kwani wewe ulitaka nani awe rais?
 
Back
Top Bottom