Hama kuanzia sasa!Nipo tayari kuhama nchi kama Magu atashinda Urais
Nitaondoa biashara zangu zote Tanzania na kuziamishia nchi zingine.
Nitaondoa watoto wangu wote Tanzania siwezi kuendelea kuishi kifala ndani ya nchi yangu Bora nikaishi kifala ugenini.
Kwanini naondoka? Kwa sababu sioni nchi ikiwa salama kiuchumi,kisiasa na kibiashara.
Hali itakuwa tete sana!
kutakuwa na mtikisiko mkubwa wa kiuchumi.
Naomba vijana niliokuwa nimewaajiri kwenye mishemishe zangu mnisamehe kama Magufuli atachaguliwa tena kuwa Rais kwa miaka mingine 5.
Kumbuka tu huu ni wakati wa kuvumiliana mkuu, hatuwezi kufanana kiitikadi wala mapenzi. Binafsi sio shabiki wala mfia CCM, ilà I like Magu, napenda siasa zake. Pole kwa kuumia ilà acha kunilamba "dislike", sio poa kabisa.Nakereka nikiona kijana anaishabikia CCM..Tena Kama nnakumudu ndo kabisa! On a serious note unanikera balaa
Hahhhaahhaa.......Ngoja nivumilieKumbuka tu huu ni wakati wa kuvumiliana mkuu, hatuwezi kufanana kiitikadi wala mapenzi. Binafsi sio shabiki wala mfia CCM, ilà I like Magu, napenda siasa zake. Pole kwa kuumia ilà acha kunilamba "dislike", sio poa kabisa.
Hicho kicheko kimeonyesha ukubali wako[emoji23][emoji23]. Halafu ujuwe nakupenda, hizi siasa tu[emoji39]Hahhhaahhaa.......Ngoja nivumilie
Ah sitaki Tena...najifikiria nikuweke tu kwa ignore list had uchaguzi upite...! Mapendooooo daimaaaa😣Hicho kicheko kimeonyesha ukubali wako[emoji23][emoji23]. Halafu ujuwe nakupenda, hizi siasa tu[emoji39]
Hapo mwisho ndio umepatia, ukiniweka ignore utakuwa umenionea sana...Ah sitaki Tena...najifikiria nikuweke tu kwa ignore list had uchaguzi upite...! Mapendooooo daimaaaa😣
Mkuu anza kutembea kuelekea mpakani kabisaaa!Nipo tayari kuhama nchi kama Magu atashinda Urais
Nitaondoa biashara zangu zote Tanzania na kuziamishia nchi zingine.
Nitaondoa watoto wangu wote Tanzania siwezi kuendelea kuishi kifala ndani ya nchi yangu Bora nikaishi kifala ugenini.
Kwanini naondoka? Kwa sababu sioni nchi ikiwa salama kiuchumi,kisiasa na kibiashara.
Hali itakuwa tete sana!
kutakuwa na mtikisiko mkubwa wa kiuchumi.
Naomba vijana niliokuwa nimewaajiri kwenye mishemishe zangu mnisamehe kama Magufuli atachaguliwa tena kuwa Rais kwa miaka mingine 5.
Anatumia vpn, yuko uswiss sasa hivi keshahamaIla bavicha mna mikwara sana, vp umeshahama nchi? Mmiliki wa kitambulisho cha mjasiriamali nyuma ya keyboard na id fake anajikuta mfanya biashara wa kimataifa😀
technically unaitwa huku!? Bado upo TZ au?Ila bavicha mna mikwara sana, vp umeshahama nchi? Mmiliki wa kitambulisho cha mjasiriamali nyuma ya keyboard na id fake anajikuta mfanya biashara wa kimataifa😀
Haya achia wengine nafasi hioMimi nitaacha kazi ya utumishi wa umma. Ahadi niliyoitoa miezi mingi iliyopita