Elections 2015 Magufuli akutana na nguvu ya Umma Mbeya, azomewa, aambiwa wanamtaka Lowassa

Elections 2015 Magufuli akutana na nguvu ya Umma Mbeya, azomewa, aambiwa wanamtaka Lowassa

Kama ni kweli walimzuia.Ni kosa kisheria.Anayeamua mtu kuwa raisi ni mpiga kura.Huwezi zuia mgombea wa chama kingine na kumwambia tunamtaka mgombea wetu.Inaelekea hao waliozuia hawajui sheria wala chochote.Hivi magari ya washawasha yangewamwagia maji na wakawapiga virungui wangesema wanaonewa?

Huwezi zuia msafara wa chama kisicho chako au kuuingilia msafara wa chama kingine.CHADEMA elimisheni hao wahuni weni na wanywa viroba.CCM ikiamua kumfanyizia huyo mtu wenu msije piga yowe.

Jeshi la polisi nalo likakamae lisiachie ujinga kama huo ujirudie tena

Wahuni na wanywa viroba wametokana na serikali gani?viroba vinauzwa Zambia wengine ndugu zenu hata kama wamekosea matusi hayajengi.
 
Hawakuletwa na malori lskini! Ila amewakuta wamejikalia zao njiani wakiwa hawana ajira ya uhakika ma labda wakiwa wanawakimbia mgambo
Nasikia kawaambia hapa kazi tu,

Watu hawanakazi wako kijiweni wewe unawaambia #Hapakazi tu ni kama kuwasanifu.
 
Mrundi ni wewe mfungwa.mm ni mtanzania halisi.

# hapa ni kazi tu. Achana na warundi wenye majungu,umbea na fujo. Wamegawa chama kizuri kwa fisi. Mfungwa anaangalia mtu sio chama.
 
Ujinga na upumbavu mtupu?

Hivi unadhani na watu wa Magufuli wakianza kufanya hiki kinachofanywa na wajinfa wakisaidiana na wapumbavu kutakuwa na amani katika kampeni za uchaguzi.

Mshukuru watu wa upande wa Magufuli ni wastaarabu na wanafahamu dhana ya kukubali kutokubaliana katika msingi wa demokrasia.
wapumbavu tu wananyweshwa viroba na kulipwa. huku mtaani wanazunguka na bodaboda kushusha bendera za mashina za ccm usiku. sijui wanadhani watamuingiza lowassa ikulu kwa hila na mazingaumbwe baada ya kushindwa kumuhonga kila mtu?
 
Hahahahaaa hahahaaa kuzomewa kubaya sana, kuna kumaliza kisaikolojia kabisa aiseee, Kwanini hakupiga push ups kidogo? Dah

Hahahahahaaaa nadhani angepiga pushup wananchi wangeacha kumzomea wamshangilie
 
Issue ya Burkina Faso na Tanzania hazina uhusiano wowote usichanganye mambo Tanzania ni nchi ya demokrasia wananchi ndiyo wanahamua.

Kamwambie hayo Mzee wa Kuwait anayeifananisha Tanzania na Libya ya Gadafi ,Kuwait ya Saddam Hussein au Rwanda.

Aache huo uchochezi, Vitisho na upotoshaji mara moja.
 
# hapa ni kazi tu. Achana na warundi wenye majungu,umbea na fujo. Wamegawa chama kizuri kwa fisi. Mfungwa anaangalia mtu sio chama.

Kama akilini mwako ni Magufuli, basi wewe utakuwa kilaza wa kutupwa.
 
Hivi ukiulizwa leta evidence ya utaratibu wa CDM kufanya mikutano inayo jirekodi na CCTV kama kwenye ule mkutano wa Arusha walivyofanya unayo?

Halafu yeye ndio mtu pekee mwenye evidence ya video ya tukio, the whole thing is amateurish but then you dont expect extensive planning kwa mtu alieshia form six na kufeli halafu apange mkakati ni Lema; i dont think it a mission kuona nani muhusika wa bomu la Arusha. Halafu watu hawa ndio wapewe nchi kweli, serikari ya Tanzania inamchekea sana Mbowe huo ndio ukweli wenyewe.

Kama mlisema Lowassa mwizi wa Richmond na mpaka leo serikali ina kigugumizi itakuwa Mbowe?
 
Hiyo siyo nguvu ya umma ila ni uhuni.

Uhuni mtu yeyote akiamua anaweza kuufaya, lakini matokeo yake ni kuvujika kwa amani.

Kama wao wameshaamua kuwa wanamtaka Lowassa nini kinawapeleka kwenye mkutano wa Magufuli?

Inaonekana kabisa kuwa kuna kundi lililojiandaa kufanya fujo na walishaandaa camera wapige hii picha ya video.

Ukawa badala ya kuchekelea vitu kama hivi inabidi mvikemee kwa sabau watanzania hawapendi vurugu, hawatamchagua mtu anayeandaa vikundi vya vurugu.

Hahahhahaahahhahaaaaa yani umeandika upuuuuuziiiii!!! Umetia aibu kama makufuli wenu hahahahaaaaaa
 
Mbeya Leo asubuhi alipokuwa anaenda Mbarali Wananchi walizuia msafara wake na kumwambia wanataka mabadiliko na mtu wa kuyaleta mabadiliko ni Lowassa



siku ya kufa nyani miti yote hutereza
 
Last edited by a moderator:
Two wrongs dont make a right sikukubaliana na kauli hiyo iliyotolewa na ya kukosa nidhamu pia na hata pia umeona sikubaliani na alichofanyiwa mgombea wa UKAWA Nzega kuzomewa pia.

Lakini swala la watu kuleta fujo kwenye mikutano ya wenzao lina madhara zaidi viongozi wa CCM wamekuwa mara nyingi wakiwataka wafuasi wao kukaa mbali na kwenye mikutano ya wenzao au wakienda basi wasikilize kwa amani that is responsible politics.

Lakini viongozi wa UKAWA awafanyi hivyo kukemea matendo ya wafuasi wao in their perspective hizi ni political points bila ya kujali athari zinazoweza tokea lets face it hawa ni watu ambao wanaweza jirushia kiji-bomu kwenye mkutano wao kama walivyofanya Arusha kwa sababu za kisiasa tu wapate public sympathy.

Mbowe ni kiongozi mzuri wa kuwaweka watu kwenye mstari ndani ya chama lakini si akili ya chama kwenye siasa za jamii kwa upande wangu amekuwa akichekewa sana na kwa muda mrefu kwa aina ya kauli zake na siasa zake nje ya saccos yake.

Unaujua unafiki was viongozi was ccm? na wanaosema lowasa mgonjwa so ni viongozi? wanaosema amejinyea si ni viongozi? walijitokeza kukemea Duni alipozomewa Nzega? je masaburi anayelipa vijana kuandamana kwenda ufipa siyo kiongozi? ni nani alijitokeza kukemea! hawa ni vijana tu waliopigika na maisha hawana hata kadi ya chadema ni matunda ya utawala mbovu was ccm
 
UKAWA mjifunze siasa za kuvjmiliana. Kama tukiendekeza zomea zomea sijui kama tutafanikiwa kimaendeleo. Ndo maana wenye akili wanawakimbia. Wanabaki wajinga tu na malofa

Wewe ujingawako kikamtu anafahamu humu jf,wajinga unawafahamu wewe?mjue TIBAIJUKA,MAGUFULI.KIKWETE,NAPE,JANUARY.hao ndio wajinga wenzio sio sisi.
 
Kama akilini mwako ni Magufuli, basi wewe utakuwa kilaza wa kutupwa.

# hapa ni kazi tu. Ukawa matusi yote bebeni. Sababu wengi wenu ni photocopy. Original kichwani ni kazi tu.Bebeni hao.
 

Attachments

  • 1443363685646.jpg
    1443363685646.jpg
    16.8 KB · Views: 191
Nina hakika hapo ndio kajua kuwa hata shinda
 
Kama mlisema Lowassa mwizi wa Richmond na mpaka leo serikali ina kigugumizi itakuwa Mbowe?
Kuiba ni dhambi lakini siasa zinazoweka maisha ya watu hatiani ni dhambi zaidi. Sasa mwizi na mtu anaependa siasa za fujo wakikutana ndio dhambi kubwa kwa bwana godi na sheria za nchi zinatueleza.

Nakushauri achana UKAWA kwa sasa jamaa ni hatari kwa taifa; tumia akili tu wala si kingine. Magufuli analengo la kuwanyoosha wote.
 
Back
Top Bottom