Elections 2015 Magufuli akutana na nguvu ya Umma Mbeya, azomewa, aambiwa wanamtaka Lowassa

Elections 2015 Magufuli akutana na nguvu ya Umma Mbeya, azomewa, aambiwa wanamtaka Lowassa

Ni uhuni ambao unapunguza kura za ukawa toka kwa watu wastaarabu. Kama wewe umeshaamua unamtaka Lowassa huna sababu ya kwenda kupiga kelele kwenye mkutano wa Magufuli.

Kama kuna chama kisichokuwa na ustaarabu duniani ni CCM,Mfano i.Kauli ya goli la mkono ii.Kauli za Bulembe iii.Matusi ya Mkapa Jangwani na Bukoba vs Kibajaj + Msukuma iv.Nunua nunua wasani na Viongozi wa upinzani v.Mashabiki kugaiwa tiketi na mabango taifa vi.Ulaghai wa kisiasa wa Masaburi etal NB:LOWASSA ANATOSHA!
 
"I am politicians " by magufuli

Politiziano(politicians), ukisoma ulaya unakumbana na lugha za asili ya kilatini nazo ni kifaransa,Spanish, na kireno,pia kiitaliano. Sasa herufi Z inatamkwa (tz), kumbe ujue mazingira gani ametoka na unaona kabisa ndio bado kuchanganya lugha. Kwa msomi wala hana shida kwani anajua kukosea lugha sio shida kwani lugha nyingi zinakuchanganya katika kuzungumza. Kumbe unapohukumu ujue mazingira ya msomi ndio uhukumu. Se vuoi di imparare diversi lingua è così la vita di cambiamento. Take care.
 
Ujinga na upumbavu mtupu?

Hivi unadhani na watu wa Magufuli wakianza kufanya hiki kinachofanywa na wajinfa wakisaidiana na wapumbavu kutakuwa na amani katika kampeni za uchaguzi.

Mshukuru watu wa upande wa Magufuli ni wastaarabu na wanafahamu dhana ya kukubali kutokubaliana katika msingi wa demokrasia.

Maguful anawatu gani zaid ya pesa za kununua watu utafikiri ni bidhaa
 
UHUNI kila mtu anauweza ila tumestaarabika...nadhani CCM wanapaswa kuanza mbinu hizi za kutuma vijana wao kwenye mikutano ya UKIWA ili tuone nani ataumia kama sio huyo mamvi....

Ukiona watu wanashabikia uhuni huu jua nao ni wahuni na wanywa viroba...

Unamfundisha mwalimu kushika chaki?.
 
UHUNI kila mtu anauweza ila tumestaarabika...nadhani CCM wanapaswa kuanza mbinu hizi za kutuma vijana wao kwenye mikutano ya UKIWA ili tuone nani ataumia kama sio huyo mamvi....

Ukiona watu wanashabikia uhuni huu jua nao ni wahuni na wanywa viroba...

Uhuni ccm walianza kitambo, hivi majuzi wamebomoa gari la sugu
 
Ni uhuni ambao unapunguza kura za ukawa toka kwa watu wastaarabu. Kama wewe umeshaamua unamtaka Lowassa huna sababu ya kwenda kupiga kelele kwenye mkutano wa Magufuli.
X-pen inauma sana ila ni dawa na sharti upate 5MIU injection 6hrly haina namna.

Pole sana ,naona imewauma sana wazee wa siasa chafu.
 
Two wrongs dont make a right sikukubaliana na kauli hiyo iliyotolewa na ya kukosa nidhamu pia na hata pia umeona sikubaliani na alichofanyiwa mgombea wa UKAWA Nzega kuzomewa pia.

Lakini swala la watu kuleta fujo kwenye mikutano ya wenzao lina madhara zaidi viongozi wa CCM wamekuwa mara nyingi wakiwataka wafuasi wao kukaa mbali na kwenye mikutano ya wenzao au wakienda basi wasikilize kwa amani that is responsible politics.

Lakini viongozi wa UKAWA awafanyi hivyo kukemea matendo ya wafuasi wao in their perspective hizi ni political points bila ya kujali athari zinazoweza tokea lets face it hawa ni watu ambao wanaweza jirushia kiji-bomu kwenye mkutano wao kama walivyofanya Arusha kwa sababu za kisiasa tu wapate public sympathy.

Mbowe ni kiongozi mzuri wa kuwaweka watu kwenye mstari ndani ya chama lakini si akili ya chama kwenye siasa za jamii kwa upande wangu amekuwa akichekewa sana na kwa muda mrefu kwa aina ya kauli zake na siasa zake nje ya saccos yake.

Kwani alietupa Bomu Arusha hatumjui???? Si mtu savimbi aliuwa watu halafu anajifanya kwenda kutubu kwa TB Joshua. Hiyo laana itamtafuna yeye na kizazi chake.
 
mmmh hii video clip imenistua kidogo.Sikujua Wananchi wanaichukia CCM kiasi hiki
 
Mshahara kuingizwa siyo kosa cha msingi kabla ya kumtuhumu huyu mhusika je alizichukua hizo fedha zilizokuwa kwenye payroll?Kama alichukua basi ni mwizi na anastahili kushitakiwa na ni aibu kwa taifa hivyo Rais amuondoe mara moja kwenye hiyo nafasi baada ya kufanya uchunguzi kwa kuwasiliana na serikali ya Botswana,na wakati Uchunguzi unafanyika basi asimamishwe kazi kwa muda.Pili kama hakuwa na nia mbaya kwanini baada ya kukubali kazi nyingine asiwandikie barua waajiri wake kwamba hata endelea na kazi hapa inaonyesha kwamba alikuwa na nia ya kutenda kosa?Achunguzwe na hatufai anatia nchi doa na ameshavuruga credibility ya watanzania nchini Botswana.

Nakujibu kwa kuwa nimeona utulivu Fulani ktk andishi lako.

Kama kuna uvunjaji wa taratibu na vyombo vya dola vikawa fair kwa pande ZOTE naamini tusingefika huko.

Shida ni pale kosa linapofanywa kwanza na Ccm police na tume wakakaa kimya then Ukawa wanapofanya kosa hilo na zaidi Polisi wana kuwa na hofu ya double standard hiyo tayari ni shida.

Umezungumzia kauli za mbowe vipi kuhusu maneno ya bulembo kuwa Ccm haiwezi kuachia ikulu na tume imesema ni ya kisiasa, ukweli ni kuwa MTU asiye na ufahamu Mkubwa aliyeamua kumpa kura Lowasa anaweza asiende kupiga kura . kwanini apoteze muda wakati Ccm haitaachia ikulu kwa kura??

NINATAMANI TUFIKE MAHALI VYAMA VYOTE VIFANYE SIASA ZA HAKI, NA VYOMBO VYA DOLA NA TUME VIWE HURU KUFANYA KAZI ZAO.

LKN HAYO SIO RAHISI ISIPOKUWA KWA HISANI YA CCM AU KWA KUING'OA CCM TUJIPANGE UPYA, NAFASI TULIYONAYO KWA SASA NI KUITOA CCM ILI TUANZE UPYA.
 
Halafu hizo video ndizo zinaonesha ni kwa namna gani UKIWA inaungwa mkono na watu wasiojitambua....
 
Ujinga na upumbavu mtupu?

Hivi unadhani na watu wa Magufuli wakianza kufanya hiki kinachofanywa na wajinfa wakisaidiana na wapumbavu kutakuwa na amani katika kampeni za uchaguzi.

Mshukuru watu wa upande wa Magufuli ni wastaarabu na wanafahamu dhana ya kukubali kutokubaliana katika msingi wa demokrasia.

huo ulioongea hapo ni utumbo.. kama ameenda kambi ya upinzani ulitaka wafanyeje. hiyo pia ni message kwake kukubaliana na hali halisi mimi sijaona kosa lao. wewe ni sawa na mgombea ubunge wa moshi na watu wake kupiga watu wanaoonyesha kuwa wako tofauti na yeye.
 
umesahau alichokisema pombe kahama alisema kuna watu watakuja kuwadanganyeni wakija wazomeeni,nayeye alitaka kudanganya watu kazomewa.

Halafu watu wanaongea kwa kupotosha wananchi mpk wanasahau. Aliongea hivyo Magufuli kahama hakujua hatapiga hatua tatu bila mungu kumuumbua.
 
Hiyo siyo nguvu ya umma ila ni uhuni.

Uhuni mtu yeyote akiamua anaweza kuufaya, lakini matokeo yake ni kuvujika kwa amani.

Kama wao wameshaamua kuwa wanamtaka Lowassa nini kinawapeleka kwenye mkutano wa Magufuli?

Inaonekana kabisa kuwa kuna kundi lililojiandaa kufanya fujo na walishaandaa camera wapige hii picha ya video.

Ukawa badala ya kuchekelea vitu kama hivi inabidi mvikemee kwa sabau watanzania hawapendi vurugu, hawatamchagua mtu anayeandaa vikundi vya vurugu.

Mkuu hizi ndo siasa za bongo. Hii nipande zote wala usikemee ukawa tu. Ccm majuzi hapa waliwavalisha vijana flana za Chadema, wakawapanga waandamane dhidi ya Chadema. Mwishowake wakakamatwa nakuhojiwa wakakiri kutumwa na Masabuli.

Hivisasa huku ubungo, kunavijana wamepewa tenda yakuhakikisha popote itakapoonekana picha ya Kubenea inachanwa. Haya yanafanyika nawatu wanaona. Uchafu nimwingi sana kusema kweli nikisema nikuolodheshee kilatukio tutakesha.

Lakini mambo haya kwautashi wangu waasisi wake nihao Ccm. Malanyingi wamekuwa watu wakuanzisha vurugu wakijiona wao ndowenye haki ktk kilakitu. Nachakusikitisha wakifanya wao sioni watukama nyinyi mkikemea. Ila ikifanywa naupande wapili ndotunaona watu mkijitokeza kulaumu kanakwamba ndoleo vitendo hivi vinaanza.
 
Back
Top Bottom