Elections 2015 Magufuli akutana na nguvu ya Umma Mbeya, azomewa, aambiwa wanamtaka Lowassa

Elections 2015 Magufuli akutana na nguvu ya Umma Mbeya, azomewa, aambiwa wanamtaka Lowassa

Ushindi hatokani na makelele au kunyoosha vidole juu. Wakiendelea hivi hata sisi tutawajibu

Mtajibu !!!!

Kwani aliyeanzisha siasa chafu ni nani?
Amejinyea
Ni mgonjwa sana
Ikulu haina fungu la mazishi
.
.
.
N.k
Hizi nilikuwa siasa nzuri.

Ukinipiga ngumi SIO lzm nikurudishie ngumi naweza tumia chochote kile hata teke km Sina namna nanuna tu
 
Kilichotokea baada ya kupita hapo town magufuri akasema ngoja atoe kichwa awasalimu ndipo mziki ukaanza akujua watu wamechoka akadhani watamsikiliza ha ha alichokipata anajua mwenyewe.
 
Kweli wewe ni mfungwa, hauhitaji tafiti za Twaweza kujua kwamba Wananchi Wamekichoka CCM, hata ninyi mnaofaidika na ufisadi wao mkiitetea hamtashinda, hakuna siku Nuru ilishindwa na giza,,,


CCM OUT

Usihukumu pichani bila kujua. Tunahitaji mabadiliko ila sio Lowasa. Hafai hatari. Na anakifanya chama kizuri kuwa cha wahuni. Utaenda ikulu kwa kelele au kura na sera? We vipi.
 
Na bado uxhnd 70% hatutaki fujo hawana jipya ndo maana kakimbia chama tawala coz mafisad hawahitajik
 
UHUNI kila mtu anauweza ila tumestaarabika...nadhani CCM wanapaswa kuanza mbinu hizi za kutuma vijana wao kwenye mikutano ya UKIWA ili tuone nani ataumia kama sio huyo mamvi....

Ukiona watu wanashabikia uhuni huu jua nao ni wahuni na wanywa viroba...
 
Pia waweza kuwa wamelipwa kufanya fujo! Hizi ni fujo ambayo tume ya uchaguzi lazima iiangalie kwa mapana yake!

Kimewauma eeh mnaita tume ya uchaguzi ifanye nn wakati mnasimama majukwaani kumtusi Lowasa mbona Ukawa haikuta tume. Kweli mkuki kwa nguruwe....
 
Issue ya Burkina Faso na Tanzania hazina uhusiano wowote usichanganye mambo Tanzania ni nchi ya demokrasia wananchi ndiyo wanahamua.

Democrasia ya goli la mkono?!!!!! au ya kununua tafiti?!! au ya kumnunua Lipumba na dr!!!!!!!? au ya kumpiga risasi Mwangosi!! ipi ya kumweka ndani mgombea ubunge wa chadema dodoma!!! au ile ya kusema hamtaachia ikulu.

Boknafaso nako walikuwa wakijitapa kuwa kuna democrasia hivi hivi!!!!! Hata bokinafaso nayo ilianza hivi hivi raisi akawa kichwa ngumu wananchi wakaichukua nchi yao!!! Juzi eti anataka tena kurejea kwa mapinduzi ya watu watatu wako lupango now wananyea ndooo!!! achieni nchi tuu maana mtanyea ndooo na wengine mtahama nchi mkiendelea na ujinga wa ccm ni ile ile!!!!!!

Someni alama za nyakati!!!! Vumilieni tuuu sii wanampa ujumbe tu magufuli kuwa mwaka huu ni manadiliko na Lowassaaaaaa?!!!
 
Ungewapa ccm ushauri huo. wanatukana matusi ya nini kama hawamtaki lowasa si wasubiri tu tar. 25?
Lowasa kawachagulieni magufuli akaondoka zake bila matusi lakini wenzenu kila kukicha wanamtukama tu lowasa. Au wanamtukana ili kupunguza hasira kwa kuwachagulia magufuli halafu akaondoka kwenda upande wapili!?
Wewe unaona Lowassa tu kutukanwa sababu unampenda.

JK kila siku anatukanwa humu na pro-Chadema tena unatukana ugonjwa tezi dume ndiyo ulikuwa wimbo humu.

Bahati nzuri Mungu mkubwa kawapa Lowassa matusi kwa JK yameisha sasa wao ndiyo wanalalamika.

Mimi siwezi kutukana ugonjwa wa mtu.
 
Mbeya pipooooooooooo.....z
mamaye magufuli wasema haja tahiriwa mwbieni akatahiriwe kwanza ili aje aendelee na kampeni...
 
Bogasi hawawezi kujua wala kuelewa maana hawajui vya kuchinja ila vyakunyonga
 
Democrasia ya goli la mkono?!!!!! au ya kununua tafiti?!! au ya kumnunua Lipumba na dr!!!!!!!? au ya kumpiga risasi Mwangosi!! ipi ya kumweka ndani mgombea ubunge wa chadema dodoma!!! au ile ya kusema hamtaachia ikulu.

Boknafaso nako walikuwa wakijitapa kuwa kuna democrasia hivi hivi!!!!! Hata bokinafaso nayo ilianza hivi hivi raisi akawa kichwa ngumu wananchi wakaichukua nchi yao!!! Juzi eti anataka tena kurejea kwa mapinduzi ya watu watatu wako lupango now wananyea ndooo!!! achieni nchi tuu maana mtanyea ndooo na wengine mtahama nchi mkiendelea na ujinga wa ccm ni ile ile!!!!!!

Someni alama za nyakati!!!! Vumilieni tuuu sii wanampa ujumbe tu magufuli kuwa mwaka huu ni manadiliko na Lowassaaaaaa?!!!
Kamanda uchaguzi bado mbona unaanza kalalamika au unajiami kabisa.
 
Vipi yule alitemdhalilisha Lowasa eti alijinyea Ccm ilishatoka kumkemea.


Ccm wameasisis siasa chafu na wao ndio watakao umia
Two wrongs dont make a right sikukubaliana na kauli hiyo iliyotolewa na ya kukosa nidhamu pia na hata pia umeona sikubaliani na alichofanyiwa mgombea wa UKAWA Nzega kuzomewa pia.

Lakini swala la watu kuleta fujo kwenye mikutano ya wenzao lina madhara zaidi viongozi wa CCM wamekuwa mara nyingi wakiwataka wafuasi wao kukaa mbali na kwenye mikutano ya wenzao au wakienda basi wasikilize kwa amani that is responsible politics.

Lakini viongozi wa UKAWA awafanyi hivyo kukemea matendo ya wafuasi wao in their perspective hizi ni political points bila ya kujali athari zinazoweza tokea lets face it hawa ni watu ambao wanaweza jirushia kiji-bomu kwenye mkutano wao kama walivyofanya Arusha kwa sababu za kisiasa tu wapate public sympathy.

Mbowe ni kiongozi mzuri wa kuwaweka watu kwenye mstari ndani ya chama lakini si akili ya chama kwenye siasa za jamii kwa upande wangu amekuwa akichekewa sana na kwa muda mrefu kwa aina ya kauli zake na siasa zake nje ya saccos yake.
 
Wa Magifuli pia wapo kila aendako lowassa, ila wao wako na ustaarab, wataongea kwenye boksi la kura. Sijawahi ona vijana wa lowassa walio na ustaarab.
 
Pro-Chadema kuweni wavumilivu October 25 siyo mbali kama mnaamini nyie ni nguvu ya umma subirini mpige kura siyo kuleta fujo kwenye mikutano ya vyama vingine.

Hata kama hamkubaliani na huyo mgombea fujo za nini wafuasi wao nao wakijibu kwa mgombea wenu mtakuwa wavumilivu.

Fanyeni siasa za kistaarabu msiwe malofa.

Kama za kuhutubia mkutanoni mbele ya mgombea wenu Magufuri kuwa lowasa kajinyea sio mkuu ?
 
Back
Top Bottom