chakii
JF-Expert Member
- Sep 15, 2013
- 20,834
- 26,217
Mtarajiwa Magufuli akiona vipi awaachie ccm yao maana wanamchomekea baba wawa mpaka anapiga pushapu kunusuru ccm bado wanasisiemu wanamzunguka ku muharibia
CCM wanamtwika Magufuli mzigo asiouweza
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mtarajiwa Magufuli akiona vipi awaachie ccm yao maana wanamchomekea baba wawa mpaka anapiga pushapu kunusuru ccm bado wanasisiemu wanamzunguka ku muharibia
Hiyo siyo nguvu ya umma ila ni uhuni.
Uhuni mtu yeyote akiamua anaweza kuufaya, lakini matokeo yake ni kuvujika kwa amani.
Kama wao wameshaamua kuwa wanamtaka Lowassa nini kinawapeleka kwenye mkutano wa Magufuli?
Inaonekana kabisa kuwa kuna kundi lililojiandaa kufanya fujo na walishaandaa camera wapige hii picha ya video.
Ukawa badala ya kuchekelea vitu kama hivi inabidi mvikemee kwa sabau watanzania hawapendi vurugu, hawatamchagua mtu anayeandaa vikundi vya vurugu.
Bavicha bana sasa hapo nguvu ya ipo wapi hao wahuni wachache wanaopiga kelele?
Wapiga kura wametulia majumbani hawana fujo.
Endeleeni kujifariji mtakimbia humu baada ya uchaguzi.
Nipo kotekote. Mark my words CCM ijiandae kuwekwa kwenye majumba ya ukumbusho baada ya 25th Oktoba.Mkuu nakushauri rudi kwenye jukwaa lako la wakubwa siasa uziwezi.
Kamanda nilidhani uliondoka na rais wetu wa miyoni Padre Slaa kumbe umemtosa umebakia kula kuku na fisadi.Tunahitaji kura za wahuni, wavuta bangi, machangudoa na wengineo walio kwenye muktadha huo
Mbona mnalialia sana?Kama ni kweli walimzuia.Ni kosa kisheria.Anayeamua mtu kuwa raisi ni mpiga kura.Huwezi zuia mgombea wa chama kingine na kumwambia tunamtaka mgombea wetu.Inaelekea hao waliozuia hawajui sheria wala chochote.Hivi magari ya washawasha yangewamwagia maji na wakawapiga virungui wangesema wanaonewa?
Huwezi zuia msafara wa chama kisicho chako au kuuingilia msafara wa chama kingine.CHADEMA elimisheni hao wahuni weni na wanywa viroba.CCM ikiamua kumfanyizia huyo mtu wenu msije piga yowe.
Jeshi la polisi nalo likakamae lisiachie ujinga kama huo ujirudie tena
vizuri hao km wanaakili wangemkataa ndani ya box.. lakini huko ni kuonesha kuwa lowasa anasapoti ya wahuni pekee...
Tunaisambaza hii video tuone kama mamvi atafanya mikutano Kanda ya Ziwa!
Issue ya Burkina Faso na Tanzania hazina uhusiano wowote usichanganye mambo Tanzania ni nchi ya demokrasia wananchi ndiyo wanahamua.Hao mnaowaita wahuni ndio waliomkimbiza madarakani rais wa Burkina Faso, sasa anaishi uhamishoni kama house boy.
Kabla ya kusifia huu uhuni jiulize, je wewe unaweza kwenda kwenye mkutano wa mgombea usiyemtaka kwenda kuimba jina la mgombea mwingine? Ukiona huwezi kufanya hivyo jiulize, what is wrong with these kids?
Ujinga na upumbavu mtupu?
Hivi unadhani na watu wa Magufuli wakianza kufanya hiki kinachofanywa na wajinfa wakisaidiana na wapumbavu kutakuwa na amani katika kampeni za uchaguzi.
Mshukuru watu wa upande wa Magufuli ni wastaarabu na wanafahamu dhana ya kukubali kutokubaliana katika msingi wa demokrasia.
Ni uhuni ambao unapunguza kura za ukawa toka kwa watu wastaarabu. Kama wewe umeshaamua unamtaka Lowassa huna sababu ya kwenda kupiga kelele kwenye mkutano wa Magufuli.
Issue ya Burkina Faso na Tanzania hazina uhusiano wowote usichanganye mambo Tanzania ni nchi ya demokrasia wananchi ndiyo wanahamua.