Bavicha bana sasa hapo nguvu ya ipo wapi hao wahuni wachache wanaopiga kelele?
Wapiga kura wametulia majumbani hawana fujo.
Endeleeni kujifariji mtakimbia humu baada ya uchaguzi.
Huo umati umeuona mkuu???hao raia unaowaona wamefanya hvyo kwa mapenzi yao kwa ukawa na lowasa,hajalipwa m2 hpo, hata m2mie pesa zenu kuwalipa vijana kufanya hvyo kama kawaida yenu hamuwezi kupata umati mkubwa kama huo wa kumzomea lowasa #hiyo ni nguvu ya umma walo siyo uhuni!!!