Elections 2015 Magufuli akutana na nguvu ya Umma Mbeya, azomewa, aambiwa wanamtaka Lowassa

Elections 2015 Magufuli akutana na nguvu ya Umma Mbeya, azomewa, aambiwa wanamtaka Lowassa

vizuri hao km wanaakili wangemkataa ndani ya box.. lakini huko ni kuonesha kuwa lowasa anasapoti ya wahuni pekee...
 
Huo umati umeuona mkuu???hao raia unaowaona wamefanya hvyo kwa mapenzi yao kwa ukawa na lowasa,hajalipwa m2 hpo, hata m2mie pesa zenu kuwalipa vijana kufanya hvyo kama kawaida yenu hamuwezi kupata umati mkubwa kama huo wa kumzomea lowasa #hiyo ni nguvu ya umma walo siyo uhuni!!!
Mkuu kama mnajiamini mna nguvu ya umma mnahangaika nini sasa si msubiri October 25 tuone hizo nguvu ya umma.
 
Na bado hzo bangi znawachanganya uxhnd pale pale bila wasi,dalili zmeonekana hao ni kama bendera tar 25 Oct mawazo yao yatabadilika
 
vizuri hao km wanaakili wangemkataa ndani ya box.. lakini huko ni kuonesha kuwa lowasa anasapoti ya wahuni pekee...
Tunahitaji kura za wahuni, wavuta bangi, machangudoa na wengineo walio kwenye muktadha huo
 
Bavicha bana sasa hapo nguvu ya ipo wapi hao wahuni wachache wanaopiga kelele?

Wapiga kura wametulia majumbani hawana fujo.

Endeleeni kujifariji mtakimbia humu baada ya uchaguzi.

hehehehehe....
 
Ujinga na upumbavu mtupu?

Hivi unadhani na watu wa Magufuli wakianza kufanya hiki kinachofanywa na wajinfa wakisaidiana na wapumbavu kutakuwa na amani katika kampeni za uchaguzi.

Mshukuru watu wa upande wa Magufuli ni wastaarabu na wanafahamu dhana ya kukubali kutokubaliana katika msingi wa demokrasia.

Kumbe inawaingia eeehhh. Na bado.
 
Kwa hadhi yako kamanda mpaka umeamua ku-comment manake imeku-touch na dawa imekuingia sawasawa. Tulia kamanda japo sindano inauma lakini sharti usitikise makalio isijevunjikia takoni ikawa balaa.
Teh teh teh!!

Kamanda angalieni sana hawa wahuni wanapunguza kura za Ukawa.

Hata Kamanda Mzito Kabwela kachukia sana.
 
Last edited by a moderator:
Dah hatariiiii mbeya hawataki mchezo wamekinukisha mbaya.

Mtarajiwa Magufuli akiona vipi awaachie ccm yao maana wanamchomekea baba wawa mpaka anapiga pushapu kunusuru ccm bado wanasisiemu wanamzunguka ku muharibia
 
Sijaelewa wazuia msafala na kudai wanataka Lowasa how?
Tutajie eneo ?
Maana apo naona pia makada wa CCM na pia vijana wa CDM kama kawaida yao kuuleta fujo kwenye kusanyiko LA CCM rejea Sugu kupita kwenye mkutano wa Shitambala zaidi ya Mara mbili.
Fujo hazijengi kaa chini sikiliza hoja ufanye maamuzi no wonder Mtikila husema wanakazia viroba na bhangi such that kistaarabu unawaponyoka kabisa

Hao wavuta bhangi na viroba kura zao ndio mwiba mkali wakuichoma ccm. Mna dharau sana nyie mafisiem hivi mnajionaga nyie ccm mataaaaawi sana eeh! Ndio maana Mkapa akawatukana wananchi wapumbavu na malofa? Haya sasa malofa hapo wamewaonyesha ubora wao.
 
Hiyo siyo nguvu ya umma ila ni uhuni.

Uhuni mtu yeyote akiamua anaweza kuufaya, lakini matokeo yake ni kuvujika kwa amani.

Kama wao wameshaamua kuwa wanamtaka Lowassa nini kinawapeleka kwenye mkutano wa Magufuli?

Inaonekana kabisa kuwa kuna kundi lililojiandaa kufanya fujo na walishaandaa camera wapige hii picha ya video.

Ukawa badala ya kuchekelea vitu kama hivi inabidi mvikemee kwa sabau watanzania hawapendi vurugu, hawatamchagua mtu anayeandaa vikundi vya vurugu.

Kumbe inawaingia eeehhh na bado. Yalokuwa yanafanywa dar kutengeneza vijana mlichekelea. Hahaaa hayo ndo mabadiliko na bado.
 
Mbeya Leo asubuhi alipokuwa anaenda Mbarali Wananchi walizuia msafara wake na kumwambia wanataka mabadiliko na mtu wa kuyaleta mabadiliko ni Lowassa
Mabadiliko hawayapati kwa mdoli kamwe, mabadiliko ni kwa Magufuli pekee
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom