CCM wanamtwika Magufuli mzigo asiouweza
Kuinadi ccm inabidi uvae sura ya nyani.watu walishaichoka ccm. Hata Magufuli mwenyewe inambidi awe anaongea mpk maneno ya kwenye maandiko (biblia) ili aonewe huruma. Waaapi.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
CCM wanamtwika Magufuli mzigo asiouweza
Ujinga na upumbavu mtupu?
Hivi unadhani na watu wa Magufuli wakianza kufanya hiki kinachofanywa na wajinfa wakisaidiana na wapumbavu kutakuwa na amani katika kampeni za uchaguzi.
Mshukuru watu wa upande wa Magufuli ni wastaarabu na wanafahamu dhana ya kukubali kutokubaliana katika msingi wa demokrasia.
Mkuu kuwa mkweli wa nafsi yako. Chama kinachoandaa fujo na propaganda chafu unakijuaHao ni vijana wanaopangwa kuleta fujo. Sasa wa CCM nao wakiwaletea fujo tutabaki? Chadema use common sense. Matusi kwenu na kila kitu.Huwezi kushinda kwa kuhonga na propaganda za hivyo.
Unahasira sana mkuu, pole sana maana hamkuyatarajia haya. NB; WENYE NCHI WAMEAMUA KUFANYA MABADILIKO.Ujinga na upumbavu mtupu?
Hivi unadhani na watu wa Magufuli wakianza kufanya hiki kinachofanywa na wajinfa wakisaidiana na wapumbavu kutakuwa na amani katika kampeni za uchaguzi.
Mshukuru watu wa upande wa Magufuli ni wastaarabu na wanafahamu dhana ya kukubali kutokubaliana katika msingi wa demokrasia.
Issue ya Burkina Faso na Tanzania hazina uhusiano wowote usichanganye mambo Tanzania ni nchi ya demokrasia wananchi ndiyo wanahamua.
umesahau alichokisema pombe kahama alisema kuna watu watakuja kuwadanganyeni wakija wazomeeni,nayeye alitaka kudanganya watu kazomewa.UKAWA mjifunze siasa za kuvjmiliana. Kama tukiendekeza zomea zomea sijui kama tutafanikiwa kimaendeleo. Ndo maana wenye akili wanawakimbia. Wanabaki wajinga tu na malofa
Huo haukuwa mkutano halali kajipendekeza mwenyewe kusimama barabarani eti aongeze idadi ya mikutano ya papo kwa papo.Kabla ya kusifia huu uhuni jiulize, je wewe unaweza kwenda kwenye mkutano wa mgombea usiyemtaka kwenda kuimba jina la mgombea mwingine? Ukiona huwezi kufanya hivyo jiulize, what is wrong with these kids?
UKAWA mjifunze siasa za kuvjmiliana. Kama tukiendekeza zomea zomea sijui kama tutafanikiwa kimaendeleo. Ndo maana wenye akili wanawakimbia. Wanabaki wajinga tu na malofa
Wanajikalia bila kufanya kazi, halafu ndio wanaleta vurugu za kihuni namna hiyo. Kama wanahitaji lowasa wasubili kura. Kupiga kelele kwa kuhongwa kutakusaidia nini. Chadema kuna kitu kimemisi somewhere kilikuwa chama flesh sasa kinakuwa na kuongozwa na wahuni.
Tanzania hamna kiongozi anayeongeza muda wa kuongoza kubadili katiba kila baada ya miaka miatano uchaguzi wa kidemokrasia.Kwani mwanzo huwa inaanzaje?
Kilichotokea baada ya kupita hapo town magufuri akasema ngoja atoe kichwa awasalimu ndipo mziki ukaanza akujua watu wamechoka akadhani watamsikiliza ha ha alichokipata anajua mwenyewe.
Tanzania hamna kiongozi anayeongeza muda wa kuongoza kubadili katiba kila baada ya miaka miatano uchaguzi wa kidemokrasia.
vizuri hao km wanaakili wangemkataa ndani ya box.. lakini huko ni kuonesha kuwa lowasa anasapoti ya wahuni pekee...
Hiyo siyo nguvu ya umma ila ni uhuni.
Uhuni mtu yeyote akiamua anaweza kuufaya, lakini matokeo yake ni kuvujika kwa amani.
Kama wao wameshaamua kuwa wanamtaka Lowassa nini kinawapeleka kwenye mkutano wa Magufuli?
Inaonekana kabisa kuwa kuna kundi lililojiandaa kufanya fujo na walishaandaa camera wapige hii picha ya video.
Ukawa badala ya kuchekelea vitu kama hivi inabidi mvikemee kwa sabau watanzania hawapendi vurugu, hawatamchagua mtu anayeandaa vikundi vya vurugu.
Tunaisambaza hii video tuone kama mamvi atafanya mikutano Kanda ya Ziwa!